Wewe ungesema unatafuta wakumpikia jumla hapo ningekwelewa bado inahangaika na kazi tafuta wa ukweli wa kukuweka ndani hutachoka kabisaaaaJamani hali ngumu,
Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.
Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.
Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?
Niko Dodoma mjini.
Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.
Karibuni PM
Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
Najua sana wewe ni Ke na unaelekea kuwa Mshangazi sasa 😀Mie mwanamke bhana
naomba uni toe Mimi, maana mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro max 😂Kila mmoja humu nusu tajiri nusu masikini
Kweli mkuu nyumbani panachosha hasa pale unapokuwa ni jobless unanyanyaswa, kwa nini ufadhaike,Nyumbani kunachosha sana
Unataka wa vigezo gani weka vigezo huenda njia ikafunguka wakiona unayemtaka, naamini huwezi kosa.Hata huyo akijitokeza sawa
Kidumu,Usijali kiongozi nimekuja haraka sana nilipata taarifa
Kidumu chama cha majobless pro max
punguza dharau.. majibu gani hayo kwa mwajiri?Doh, siwezi.
Wali sawa.
Ila huu ugali ni mkubwa sana
Nitapata ulemavu wa mikono
Sawa, naweza kujisimamia mwenyewe pia kwa maana nilishawahi kuwa na ka-mgahawa ila Manispaa ikaja kuuvunja hivyo nikakosa sehemu ingine.Naweza nikafungua mama ntilie usimamie ama utanikimbia Mana nakufungulia wewe baadaye itakuwa unanilipa wewe , yaani Kila kitu nakupa labda nakuambia uwe unanipa let say 10k per day, unajua kupika Yale mapishi ya kitanga, naweza nitakufungulia baadaye ukanikimbia huku bado hela ya gu haijarudi. Inatakiwa uje uwe unawapikia wasukuma mpaka wanajilamba kidole kwa utamu. Sijajua Kama uko committed kiasi gani, Mana binadamu anabadilika fasta mno, yaani tokea nijue ubongo wa binadamu namuogopa kiumbe binadamu Ila pia ni mzuri,
Mie sintokuwa nakusimamia ujisimamie mwenyewe, yaani nalipia fremu,vyombo na chakula nanunua baadaye Sasa ndio unakuja utundu wako wa kuwavutia wateja wako, sijajua Kama unalo umbo na sura ambayo mteja anakula chakula anafurahi ama akikuona tu chakula kinashuka na anafurahi
Unaweza ukafanya kazi miaka mingapi ndio ukaniacha Mana bana binadamu anabadilika mno ndio mana anahitaji katiba, zile amri za Mungu , yaani unaweza ukapata dili la kulipwa milioni hotel ya kitalii ukaniacha hapa na sijarudisha hela yangu.Sawa, naweza kujisimamia mwenyewe pia kwa maana nilishawahi kuwa na ka-mgahawa ila Manispaa ikaja kuuvunja hivyo nikakosa sehemu ingine.
Amini nakwambia mimi ni mpishi hodari na wala hutojutia ukinipa hiyo nafasi
Ulikata tamaa mapemaDodoma wana wapishi wao mwaya.
Nilijaribu ila sikudumu.