Jamani nimekutana na hii Kadhia. Wanawake kuweni wasafi basiii Khaaaaah!

Huko ulipokula umejuaje hakukatakata chakula huku jikoni inanuka kinyesi?
 
Kumbe hata 'nya' ya mwanamke huwa inanukaga? Nilidhani ni kubwa ya kwetu tu wanaume
 
Aisehhh nakumbuka jamaa mmoja nae alilalamika kama we we Ila yeye ilikua ni mama muuza mmoja hvi yani makucha mikono yote halafu ndio anashughulika sana anakata kata mboga yani jamaa alitapika baada ya kugundua pale kumbe anamtoto mchanga
 
Aisehhh nakumbuka jamaa mmoja nae alilalamika kama we we Ila yeye ilikua ni mama muuza mmoja hvi yani makucha mikono yote halafu ndio anashughulika sana anakata kata mboga yani jamaa alitapika baada ya kugundua pale kumbe anamtoto mchanga
Aiee shida sana
 


Huyo alikufanyia makusudi tu kwani alitaka utapike kwa sababu alishajuwa ulikwenda kula msosi wa nguvu baada ya misa na yeye alikuwa na njaa kwa sababu hukumpa offer.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anachosha huyu jamaa,kutwa kusimanga wanawake na kujisifia pesa
Lingekuwa na pesa lingeshinda humu[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…