Jamani sisi wadada na magari tupunguze

Edelyn hujakutana na mtoa sound makini akiwa ameweka mkono kwenye usukani. Mzigo utautoa kwa kasi ya bombardier.
 
Edelyn hujakutana na mtoa sound makini akiwa ameweka mkono kwenye usukani. Mzigo utautoa kwa kasi ya bombardier.
Wanawake wanaodanganyika na hizo sound ni wale wenye tamaa wasiojua tabia za wanaume ila kwa sisi tunaojua tabia za wanaume utafikiri tumewazaa huwa tunajua tu hapa hana lolote mwache aendelee kupigia mbuzi gitaa kwa kifupi mimi siwezi kutoa mzigo kwa sababu yoyote ile isipokuwa kwa mapenzi yangu mwenyewe
 
Gari ni kati ya milioni 12 na kuendelea
 
Sisi tunaoendesha trekta mbona huwa hatupewi mizigo?, au sisi hatusimami kwenye mataa. Wanawake acheni double standard
 
Wewe usidanganyike na maneno...angalia vitendo....yaani kuna tofauti kubwa sana ukiwa na gari unawavua chupi utakavyo hadi raha jamani. Dah waendelee tuu kuyapenda magari ili tuwagegede vizuri na mjini bila mkoko hupati mrembo mzuri.
Woiii kwanza inategemeana na gari yenyewe😂😂
Sina gariii,sina byc ila kuna magari yanatia homa tu na muonekano Wake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unawatafta au wanakutafta, mfno kama mim unaanzia wapi kunitafta, ukijilengesha tuu tayari wewe nakuweka kundi la changudoa na unakuwa hauna thamani kwangu tena.
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…