Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema tuTatizo kuna wanawake wanajirahisisha sana acha wachezewe tu yaani mtu anajishusha thamani anatoa mzigo kisa lifti ya gari? Yaani hata kama ingekuwa ni lifti ya ndege mimi eti mwanaume aniombe mzigo kisa kanipa lifti hayo majibu ambayo ningempa asingeamini masikio yake
Nayeye si amekula lift wajameni, nini mbaya hapo😀Ndio tena sio kidogo kabinti kawatu kakaliwa kakadanganywa
Lakini fresh tu, wengine wanamegwa hata lift hawajawahi kupewaLeo nimefurahia sana kituko kimetokea maeneo fulani nikaribu mastendi ya hapo na kwetu.
Mudada alizoea kupewa lift na jamaa inavyosemekana kila siku asubuhi kama miezi mitatu hivi anakuja kwa huyo dada na pia amelala naye mara kibao akizani ni tajiri.
Imepita miezi kama minne na huyu jamaa haji tena kwa msichana na wala hampi lift.
LEO MIDA YA SAA 11
Ameshuka kwenyw kidaladala akaona lile gari akalikimbilia julius julius subiri kwa maana lilipaki mbele ya haice aliyokuwepo ndani yake halafu ilimshusha msichana .
Kushuka nakuita kwa sauti..
Gari ikasimimama ila sio yeye ni mtu mwingine kuhojiana yule alikuwa dereva na yupo off kwa leo .
Dar wadada tuweni makini wengine nivibarua tujipende kwani gari shillingi ngapi
Ndiyo nimemaanisha nilichokisema hivi wanaume mnatakaga wanawake tuwaogope eti?Unaposema kitu uwe unakimaanisha.. Huko kunaitwa kupumua huku umevaa headphones
Sijui umeielewa point yangu? Yaani nitoe mzigo kwa mwanaume kisa tu amenipa lift na siyo kisa nimempenda? Huyo dereva bodaboda kama ni mpenzi wangu na nimempenda mwenyewe haina shida ila nitoe kwa mwanaume yeyote tu eti kwa sababu kuna offer kanipa hata kama simpendi? No, Never.Unasema tu
Wewe mwenyewe ukute unatembea na waendesha bodaboda
WaaambieHili jua we halikupi tabu
Hahahaha tatizo na nyie wanaume wa siku hizi hamna mapenzi ya dhati na hamtimizi majukumu yenu kwetu sisi wanawake zenu sasa mnategemea nini?Haaaaaahaaaaa haya maneno ingekuwa kweli yanatoka moyoni mabebi zenu tusio na magari angalau tungekuwa na amani kuliko hv tinaishi roho juu juu tunajambishwa hadi na madereva wa ambulance!
😂 Gari ni status symbol wewe ndio maana wenye IST,Passo,Vits, Swift wanakandiwa ila wenye Kluger, Harrier na gari zingine za juu af ukute wana vimwili vya kibosile basi ni kama wana Visa za kuvulia chupi mjini. Na munawasifiaga kabisa humu.Tatizo kuna wanawake wanajirahisisha sana acha wachezewe tu yaani mtu anajishusha thamani anatoa mzigo kisa lifti ya gari? Yaani hata kama ingekuwa ni lifti ya ndege mimi eti mwanaume aniombe mzigo kisa kanipa lifti hayo majibu ambayo ningempa asingeamini masikio yake
Af we unajifanyaga hupendi hela eti ila in disguise kwenye hela unarojeka kama biskuti kwenye chaiHahahaha tatizo na nyie wanaume wa siku hizi hamna mapenzi ya dhati na hamtimizi majukumu yenu kwetu sisi wanawake zenu sasa mnategemea nini?
Wee upewe lift ya ndege mbona ukikaa tuu kwenye kitu kyupi tayari imelowana hahahahaTatizo kuna wanawake wanajirahisisha sana acha wachezewe tu yaani mtu anajishusha thamani anatoa mzigo kisa lifti ya gari? Yaani hata kama ingekuwa ni lifti ya ndege mimi eti mwanaume aniombe mzigo kisa kanipa lifti hayo majibu ambayo ningempa asingeamini masikio yake
Watawachaje kuwasifia wakati gari ndio kisu cha warembo....yaani kuna comfort gake bwana ukiwa na gari mwanamke anafeel comfortable....full kipupwe nini😂 Gari ni status symbol wewe ndio maana wenye IST,Passo,Vits, Swift wanakandiwa ila wenye Kluger, Harrier na gari zingine za juu af ukute wana vimwili vya kibosile basi ni kama wana Visa za kuvulia chupi mjini. Na munawasifiaga kabisa humu.
😁😁😁 af vinakuja kutaka sifa et mi hunigongi kisa gari! Nashukuru mungu bby wangu hababaikagi na hizo mambo maana ningepata tabu sana na huu wivu!Watawachaje kuwasifia wakati gari ndio kisu cha warembo....yaani kuna comfort gake bwana ukiwa na gari mwanamke anafeel comfortable....full kipupwe nini
Huendi mbinguni kwa uchoyo huoTatizo kuna wanawake wanajirahisisha sana acha wachezewe tu yaani mtu anajishusha thamani anatoa mzigo kisa lifti ya gari? Yaani hata kama ingekuwa ni lifti ya ndege mimi eti mwanaume aniombe mzigo kisa kanipa lifti hayo majibu ambayo ningempa asingeamini masikio yake