Jamani tuache masihara. Hizi pisi kali ni hatari kuliko Corona

Jamani tuache masihara. Hizi pisi kali ni hatari kuliko Corona

Duh kama vipi acha nizunguke na wewe kwenye mishe zako ukifa niziendeleze au?

Ila niamini mimi bro ngoma haujapata. Yaani hii ni 100%
Mkuu sidhani hapa natetemeka sijui nitaanzia wapi kwenda kupima.
 
Tatizo mkisaidia mnataka na ngono aisee. Sometimes saidia tu afu uwe kama umetoa sadaka tu, mabinti wanapitia mengi. Saidia then fanya yako, na hiyi inatokana na kununua sana mbunye sasa unaona huwezi msaidia mtoto wa kike bila kumla.

Hapo ungetoa zako msaada ukasepa, iyo mbunye angeileta mwenyewe ni wewe sasa ukatae au upige na umpotezee mazima.
 
Tatizo mkisaidia mnataka na ngono aisee. Sometimes saidia tu afu uwe kama umetoa sadaka tu, mabinti wanapitia mengi. Saidia then fanya yako, na hiyi inatokana na kununua sana mbunye sasa unaona huwezi msaidia mtoto wa kike bila kumla.

Hapo ungetoa zako msaada ukasepa, iyo mbunye angeileta mwenyewe ni wewe sasa ukatae au upige na umpotezee mazima.
Jamaa si alisema aliitaka toka mwanzo sio ilikuja baada ya kumsaidia. Ila aliingia kichwa kichwa sana.
 
Mkuu sidhani hapa natetemeka sijui nitaanzia wapi kwenda kupima.
Ishu kama yako ilimtokea rafiki yangu na yeye yupo humu ila ngoja niassume angetaka kukusaidia ili kukupa amani.

Ila wewe ngoma huna.
 
Wanaume ni wabinafsi sana. Yeye anachepuka, ila KE akichepuka ni ma. L.a.ya. au ndiyo mnatembelea nyota ya polygamist in nature?!!! mxiew zenu
Unaweza beba mimba ya wanaume wawili kwa wakati mmoja.?

Mwanaume anaweza akawapa mimba wanawake anaotaka yeye kwa wakati mmoja.

Tafakari hili alafu njoo na sababu ya kutaka usawa kwenye hayo mambo
 
Jamaa si alisema aliitaka toka mwanzo sio ilikuja baada ya kumsaidia. Ila aliingia kichwa kichwa sana.
Anhaaa kumbe ni hivo, nilidhani anasaidia kwakua demu ana shida. Kumbe shida ni mbususu tu.
 
Mkuu una akili nzuri sana, yaani humjuwi demu vizuri lakini unamchapa bila kinga, ujasiri huu unautoa wapi? Anyways, wewe ni mjanja, hongera sana.
Wengi tunaanguka hapa mkuu, wala usimseme jamaa kama vile yeye ndio wa kwanza kula bila ndom...
 
Kama sijakuelewa hapo mwanzo. Umesema mtu mwenyewe "takoless" sasa atakuwaje pisi kali? Unaelewa maana ya pisikali wewe?
Yaan mtoa mada kanipandisha jazba sana,,yaan demu takoless unaanzeje kuhudumia eti kumnunulia vitu vya ndani.kmmk walahi!..by the way hv wanaume wenzangu huwa mnawezaje kudate na hv vitakoless yaan unakuwa nacho longtime nauliza mnawezajee?
 
Back
Top Bottom