Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza hasira mamaWanaume ni wabinafsi sana. Yeye anachepuka, ila KE akichepuka ni ma. L.a.ya. au ndiyo mnatembelea nyota ya polygamist in nature?!!! mxiew zenu
Haya maneno huwa tunayaongea tukiwa kwenye hofu. Trust me, ukipima na ukawa poa mbona utaendelea tu kuwapelekea moto.kuanzia leo nimeamua kupoa kwa sasa.
Huyu jamaa anaongea tu.Haya maneno huwa tunayaongea tukiwa kwenye hofu. Trust me, ukipima na ukawa poa mbona utaendelea tu kuwapelekea moto.
Jamaa si alisema aliitaka toka mwanzo sio ilikuja baada ya kumsaidia. Ila aliingia kichwa kichwa sana.Tatizo mkisaidia mnataka na ngono aisee. Sometimes saidia tu afu uwe kama umetoa sadaka tu, mabinti wanapitia mengi. Saidia then fanya yako, na hiyi inatokana na kununua sana mbunye sasa unaona huwezi msaidia mtoto wa kike bila kumla.
Hapo ungetoa zako msaada ukasepa, iyo mbunye angeileta mwenyewe ni wewe sasa ukatae au upige na umpotezee mazima.
Ishu kama yako ilimtokea rafiki yangu na yeye yupo humu ila ngoja niassume angetaka kukusaidia ili kukupa amani.Mkuu sidhani hapa natetemeka sijui nitaanzia wapi kwenda kupima.
Unaweza beba mimba ya wanaume wawili kwa wakati mmoja.?Wanaume ni wabinafsi sana. Yeye anachepuka, ila KE akichepuka ni ma. L.a.ya. au ndiyo mnatembelea nyota ya polygamist in nature?!!! mxiew zenu
Anhaaa kumbe ni hivo, nilidhani anasaidia kwakua demu ana shida. Kumbe shida ni mbususu tu.Jamaa si alisema aliitaka toka mwanzo sio ilikuja baada ya kumsaidia. Ila aliingia kichwa kichwa sana.
Wengi tunaanguka hapa mkuu, wala usimseme jamaa kama vile yeye ndio wa kwanza kula bila ndom...Mkuu una akili nzuri sana, yaani humjuwi demu vizuri lakini unamchapa bila kinga, ujasiri huu unautoa wapi? Anyways, wewe ni mjanja, hongera sana.
Yaan mtoa mada kanipandisha jazba sana,,yaan demu takoless unaanzeje kuhudumia eti kumnunulia vitu vya ndani.kmmk walahi!..by the way hv wanaume wenzangu huwa mnawezaje kudate na hv vitakoless yaan unakuwa nacho longtime nauliza mnawezajee?Kama sijakuelewa hapo mwanzo. Umesema mtu mwenyewe "takoless" sasa atakuwaje pisi kali? Unaelewa maana ya pisikali wewe?