finn miles
Senior Member
- Dec 24, 2020
- 126
- 193
Amini nakwambia hao 6 sio wengi, huyo nimsafi malaika kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oyaa niuzie hiyo simu [emoji23]
Dah pole sana mkuuLeo juma3 ila mood yangu haiko sawa.
Takribani miezi 8 nyuma nilifahamiana na kadada kamoja kamodo kazuri keupe ila takoless nikarusha nyavu baada ya kama wiki
Acha kuzunguka mbuyu ...kama huyo demu angekua na msimamo haya yasingemkuta. Hapo wamekutana wahuni wawili. .so hakuna wa kulaumiwa ... Unazungumziaje wale bodaboda aliowapanga kisa hela ya chakula ...nao n ubinafsi anajiangalia yeye tuuWanaume huwa Wana ka ubinafsi flani katumia shida za Binti kumtumia kingono na Bado ana mchunga na akae akijua mwanamke akijua una mke hakutilii maanani zaidi ya kukudanga tu na kuwapanga wengi,so huwa na wonder mwanaume anayelinda mchepuko na Tena kuunyamg'anya vitu loh. Vepe ingekuwa Binti yake ana shida then mtu aanze kumtumia kingono ili apate analo hitaji?
🤣🤸👇Ila mzee una roho ngumu! Umejua anakulana na watu sita, still ukaenda kukagonga alafu ukaache!
Hata UKIMWI usipime. Kaanze dozi!.
Kulia kwake huko ni majibu tosha!.
Ukapiga dryLeo juma3 ila mood yangu haiko sawa.
Takribani miezi 8 nyuma nilifahamiana na kadada kamoja kamodo kazuri keupe ila takoless nikarusha nyavu baada ya kama wiki
Siwezi kufa njaa na Nina mtaji nitulie tu Tena huyo dada mstaarabu sana lohAcha kuzunguka mbuyu ...kama huyo demu angekua na msimamo haya yasingemkuta. Hapo wamekutana wahuni wawili. .so hakuna wa kulaumiwa ... Unazungumziaje wale bodaboda aliowapanga kisa hela ya chakula ...nao n ubinafsi anajiangalia yeye tuu
Ametutia aibu sana. Takoless unapiga mara moko halafu unakimbia sanaaYaan mtoa mada kanipandisha jazba sana,,yaan demu takoless unaanzeje kuhudumia eti kumnunulia vitu vya ndani.kmmk walahi!..by the way hv wanaume wenzangu huwa mnawezaje kudate na hv vitakoless yaan unakuwa nacho longtime nauliza mnawezajee?
@cariha [emoji15][emoji15][emoji15][emoji2187][emoji2187]Siwezi kufa njaa na Nina mtaji nitulie tu Tena huyo dada mstaarabu sana loh
[emoji3][emoji3][emoji3] my mito ur badly missed aisee.@cariha [emoji15][emoji15][emoji15][emoji2187][emoji2187]
Usipime subiri dalili, acha kujitweka stress RELAXMkuu sidhani hapa natetemeka sijui nitaanzia wapi kwenda kupima.
Mlisema wa chuo K zinabana.Don run away KamandaLeo juma3 ila mood yangu haiko sawa.
Takribani miezi 8 nyuma nilifahamiana na kadada kamoja kamodo kazuri keupe ila takoless nikarusha nyavu baada ya kama wiki kakajaa. Baada ya kufahamiana sana ndo nikajua kalisoma IFM na ni yupo tu amepanga anafukuzia kazi mjini hapa. Inshort alikuwa kama kakata tamaa na anaishi kwa kuunga unga. By that time alikuwa hana smartphone alikuwa na kasimu ka Nokia tu kadogo.
Nitaleta mrejesho