Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hiyo, sema lini nikutowe nikakununulie mpya![emoji848][emoji848][emoji848]Oyaa niuzie hiyo simu [emoji23]
Kifuniko cha asali kwenye avatar yako kinashawishi ngono! [emoji39][emoji39]AISEEEEEEEEEEEEEEE POLE SANA
Umeandika la msingi wanaume mpaka mpewe ngono ndo hutoa msaada, bila hivo simlaumu huyo Binti maisha ni changamoto Sana, hafu na huyu mwanaume mjinga ana mke ana mchunga mchepuko ili iweje, pia kumnyang'anya simu ni utoto si alimtumiaTatizo mkisaidia mnataka na ngono aisee. Sometimes saidia tu afu uwe kama umetoa sadaka tu, mabinti wanapitia mengi. Saidia then fanya yako, na hiyi inatokana na kununua sana mbunye sasa unaona huwezi msaidia mtoto wa kike bila kumla.
Hapo ungetoa zako msaada ukasepa, iyo mbunye angeileta mwenyewe ni wewe sasa ukatae au upige na umpotezee mazima.
Kaaaahhh! [emoji23][emoji23], Usimtie wasiwasi mwenzioKula vizuri, fanya mazoezi, pumzisha mwili wako. Ukizingatia haya utaishi kwa matumaini.
Anamchunga kabisa eti hataki awe na mwingine zaidi yake ilhali yeye ana mke au hataki nae binti aolewe. Kifupi jamaa hakua na nia na msaada wake alitaka amtumie binti kingono kadri atakavyo yeye.Umeandika la msingi wanaume mpaka mpewe ngono ndo hutoa msaada, bila hivo simlaumu huyo Binti maisha ni changamoto Sana, hafu na huyu mwanaume mjinga ana mke ana mchunga mchepuko ili iweje, pia kumnyang'anya simu ni utoto si alimtumia
Wanaume huwa Wana ka ubinafsi flani katumia shida za Binti kumtumia kingono na Bado ana mchunga na akae akijua mwanamke akijua una mke hakutilii maanani zaidi ya kukudanga tu na kuwapanga wengi,so huwa na wonder mwanaume anayelinda mchepuko na Tena kuunyamg'anya vitu loh. Vepe ingekuwa Binti yake ana shida then mtu aanze kumtumia kingono ili apate analo hitaji?Anamchunga kabisa eti hataki awe na mwingine zaidi yake ilhali yeye ana mke au hataki nae binti aolewe. Kifupi jamaa hakua na nia na msaada wake alitaka amtumie binti kingono kadri atakavyo yeye.
Kikubwa hapo angemuweka wazi uyo manzi ni nini na nini anachokitaka toka kwake sio unamnunulia mavitu kibao ukitegemea ajiingeze, nae alimuona jamaa kama wahongaji wengine tu wasiojua pesa zao watumie vipi.
Hakuna vya bure wacha waliweUmeandika la msingi wanaume mpaka mpewe ngono ndo hutoa msaada, bila hivo simlaumu huyo Binti maisha ni changamoto Sana, hafu na huyu mwanaume mjinga ana mke ana mchunga mchepuko ili iweje, pia kumnyang'anya simu ni utoto si alimtumia
Sasa kama mtu anaulizwa kama amepima anabaki analia tu, unadhani kuna nini hapo.Kaaaahhh! [emoji23][emoji23], Usimtie wasiwasi mwenzio
Inawezekana na yeye huyo binti Ana wasiwasi Kama jamaa maana amepita na wengi.Sasa kama mtu anaulizwa kama amepima anabaki analia tu, unadhani kuna nini hapo.
KabisaaaaHaya maneno huwa tunayaongea tukiwa kwenye hofu. Trust me, ukipima na ukawa poa mbona utaendelea tu kuwapelekea moto.
Wewe kakachukue kenyewe kakapine kwanzaMkuu sidhani hapa natetemeka sijui nitaanzia wapi kwenda kupima.
Msilalamike Sasa mkipangwa kwa wivu wenu, uchi wake ni mtaji wa kumweka mjiniHakuna vya bure wacha waliwe