Wewe ndiwe una akili mbovu, huoni kuwa uko jehanamu TZ, au labda kama uko TISS! hata ukiwa CCM ukaona umefika ni kutojitambua tu! Kama ukoo wako wanakula m.a.v.i, we uko TISS unakula piza, hujitambui!Akili yake mbovu huyo...yani hiki kibibi akili ushuzi ndio hero.
Huyo siyo kiongozi ni mnafiki kama wewe
Huo ushujaa wa huyo mvita bangi ni upi?Leo nilkuwa sehem nakunywa khwa. Bwana mmoja alisema neno limenifikirisha sana. Huyo bwana aliropoka kuwa "kuliko kufa Mange kimambi ni bora wafe wanaume wa dar milion moja" Tuliangua vicheko vya kutosha ila baadye niliwaza sana hya maneno.
Yani kufa Mange Kimambi ni bora wafe watu million moja. Hii imenipa tafsiri kuwa mange kimambi kwa sasa anaplay part kubwa sana kama wistle blower hapa Tanzania.
Mange kimambe amekuwa kama chanzo kikubwa sana ya kuvujisha mambo ambayo yanatokea nyuma ya pazia ya serkali yetu.
Ujasiri wa huyu dada sio wa kawaida. MANGE KIMAMBI ANAUJASIRI WA KISHUJAA.
Sasa Amekuwa si mtu wa kupuuzwa kama ilivyokuwa apo zamani. Ametusaidia watanzania wengi (Tunaojielewa) kuconnect dots. Wengi tumefunguka macho na masikio yetu. Tumegundua kuwa serkali ilikuwa unatusikilizisha na kutuonesha matango pori.
Nakupa big up Dada Mange. Tupo kwenye hya mapambano pamoja. Keep it up. You are the Hero.
Wapo ambao hamta nielewa ila ipo siku mtaelewa.
Clauds walimchamba sana Mange, ila leo wanaona umuhimu wake.
Kwahio wew Mange ndio Hero wako?Wewe ndiwe una akili mbovu, huoni kuwa uko jehanamu TZ, au labda kama uko TISS! hata ukiwa CCM ukaona umefika ni kutojitambua tu! Kama ukoo wako wanakula m.a.v.i, we uko TISS unakula piza, hujitambui!
Angalia usije mtukana baba yako au mama yako,Kwahio wew Mange ndio Hero wako?
Hivi wew ni me au ke? Tuanzie hapo kwanza...
Bi.tch is little more than a conceited, self aggrandizing, irrational, vulgar cunt. Only one other individual shares these same traits with her...Nyani "The Boss Lady" Ngabu.
Mnataka muishi kwa kutegemea wanaume wa Dar, hao wa mikoani wamefanya kipi wkt wakuu wa mikoa wao kila siku wananyanyasa watu. Kila mtu apambane na hali yake, Nendeni kaishini nyinyi Dar kwani nani kawazuia mng'ang'anie huko porini?Ni wanamme wangapi wa dar wamepaza sauti zao kulalamika juu ya mkuu wa mkoa wao kma mange? Ukipata jibu utoe na idadi ya wanaime wote wa dar. Jibu utakalopata ni kuwa ao waliobakia hwana maana katika jamii ya dar
You are right on the money broBi.tch is little more than a conceited, self aggrandizing, irrational, vulgar cunt. Only one other individual shares these same traits with her...Nyani "The Boss Lady" Ngabu.