Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 795
Bora ungepangiwa hata Tandahimba au Nkasi ukalime mashamba but Ukerewe labda uvue samaki. Huko kuna kamji kanaitwa Nansio ndio makao makuu ya wilaya. Miaka na miaka imepita hata hakaendelei. Watu ni wivu wa mafanikio ya wenzao na uchawi tu.