Jamani ukerewe daaaah !

Jamani ukerewe daaaah !

Jamaa hiyo safari inakutaka uambatane na jeshi la mbinguni. Unapanda zaidi ya usafiri aina tano? Ahsante Mungu wamenipeleka Musoma. Nikipitia hapa NAIROBI mda kidogn natokelezea mzigoni. Ila usife moyo. BWANA MUNGU ALIYE MWONGOZA ELIA JANGWANI ATAKUPIGANIA. Fanya kazi yako kwa moyo. Elekeza panapokutaka. Omba bila kikomo. Halafu nimeona ukipata mke KULE UKEREWE.

Maelezo mengine mazuri yanamuandaa kisaikojia ila hapo bold unamtisha mkuu unless kama amesema anatoka wapi? kama anatoka Dar kwa mfano atapanda Bus moja kwa moja mpaka Mwanza au Ndege then anachukua meli anatia timu Ukerewe, na hata kama akipitia hiyo njia ya Nairobi mkitoka wote wewe utashuka Musoma utamwacha kwenye gari baada ya saa 1 anashuka Bunda anachukua gari mpaka Kisorya anavuka kuingia Ukerewe akiamua anapitiliza Mwanza anafanya shoping then anachukua meli mchana anakwenda Ukerewe tena wewe unaweza ukatumia usafiri wa aina nyingi kuliko yeye maana ukifika Musoma inabidi uchukue Hiace mpaka mjini alafu unachukua bodaboda mpaka Mwisenge kati lakini yeye akifika Ukerewe anachukua begi tu kila sehemu panafikika hata kwa miguu.
 
Maelezo mengine mazuri yanamuandaa kisaikojia ila hapo bold unamtisha mkuu unless kama amesema anatoka wapi? kama anatoka Dar kwa mfano atapanda Bus moja kwa moja mpaka Mwanza au Ndege then anachukua meli anatia timu Ukerewe, na hata kama akipitia hiyo njia ya Nairobi mkitoka wote wewe utashuka Musoma utamwacha kwenye gari baada ya saa 1 anashuka Bunda anachukua gari mpaka Kisorya anavuka kuingia Ukerewe akiamua anapitiliza Mwanza anafanya shoping then anachukua meli mchana anakwenda Ukerewe tena wewe unaweza ukatumia usafiri wa aina nyingi kuliko yeye maana ukifika Musoma inabidi uchukue Hiace mpaka mjini alafu unachukua bodaboda mpaka Mwisenge kati lakini yeye akifika Ukerewe anachukua begi tu kila sehemu panafikika hata kwa miguu.

Mimi nilifikiri yangu rahc kumbe ndo hivyo? Unamaanisha nikipanda gari inanitolea tofauti na mjini? My goodness what the hell is my journey? Lakini hata huko kwetu tunapotoka haina maana kuwa ni kuzuri saana. Ni ile mtu hajui aendako. Ila powa tu. Mimi nitatia guu hadi musoma.
 
Mkuu ni kweli kwamba kuna njia mbili kwenda Ukerewe yaani njia ya Bunda na kupitia Mwanza ila inategemea unatokea wapi, njia ya Bunda ni nzuri kwa wale wanaotokea Musoma, Tarime njia inayotokea Kenya kupitia Sirari na wilaya zote za mkoa wa Mara pamoja na wale wanaotokea Arusha kupitia Karatu, Ngorongoro, Serengeti. Kwani ukifika Bunda inakuchukua kama saa moja mpaka kufika Kisorya then unapanda ferry kwa dakika kama 20 to 30 hivi unaingia Ukerewe (umbali umezidi kidogo pale kigamboni ferry)

Mwanza ni kwa wale wanaotoka mikoa hii mingine yaani inayoingia Mwanza kwa kuunganisha barabara itokayo Dar to Mwanza pia kwa wale wanaotoka Kigoma na Bukoba kwa kuwa lazima wapiti Mwanza kwanza hivyo wakifika Mwanza wanapanda meli kwa masaa 4 then wanafika Ukerewe japokuwa wengine hasa wenye private transport na waogopa kusafiri kwenye maji hupenda kupitia Bunda kasha wanavuka dakika chache kwa ferry. Ukerewe inaundwa na visiwa viwili cha Ukala na Nansio (ambacho ndio unaingia kwa pande zote na ndicho kinabeba jina la Ukerewe na ni makao makuu ya wilaya). Ukifika Nansio then unapanda kivuko kingine kwenda Ukala unasafiri kama dakika 45 majini. Kwa kifupi ukiambiwa Ukerewe ujue kuna Nansio na Ukala na visiwa vingine vidogo vidogo kama ilivyo Unguja na Pemba kwa Zanzibar. Kwahiyo peleleza ujue umepangiwa Ukala au Nansio ili upate picha halisi wakati unakwenda.

Kwa ujumla wewe nenda ukapaone mwenyewe kwani maisha popote kikubwa wewe unatakiwa uwe na malengo in the next 10 years unataka uwe wapi na katika level ipi ya mafanikio kwani hata hawa wazee wetu tunaoona wamejenga Kapripoint-Mwanza, Shanty town – Moshi, Uzunguni au Area C na D kwa Dodoma, Upanga au Masaki au msasani au kule Wilolesi na Gangilonga kwa Iringa sio walianzia hapo kwani ukiwauliza wanaweza wakakuambia walianza maisha sehemu kama Chamchuzi au kijumbura huko Karagwe au Mapanda kule Mufindi lakini mwisho wa siku wanakula bata. Ni vizuri kwenda na kuona hali halisi kwani watz wengi tunaijua nchi kwa kuangalia ramani hivyo kuna maeneo mengine unaweza ukayaona ya ovyo kumbe kama umekwenda kimkakati unaweza piga hela na kuamua kujenga popote na kuanzisha maisha. Lakini hizi kazi wakati mwingine inaweza ikawa imepatikana katika ambalo hulipendi lakini kwa kwenda kwako huko inakukutanisha na marafiki wapya na mwisho wa siku unaongeza wigo mpana wa kuangalia fursa zingine au unaweza ukakutana na fursa nyingine pia

Kuhusu wanga mkuu hiyo inategemea na wewe kwani kama una tabia za kiwanga wanga hata kama upo Dar bado wanga watakuathiri, kiujumla nimependa ushauri wa Iselamagazi amesema wanga wapo ila wanarogana wao kwa wao hivyo kama na wewe ni mwanga itakua ngumu lakini kama sio mwanga basi utafanya kazi bila wao kukuathiri

asante sana mkuu Mungu azidi kukubariki.
 
Kuna meli ya mv. BUTIAMA kama sikosei itakupeleka jiji la Uk. Pako poa tu japo jiandae kisaikolojia kurogwa kuko nje nje ukiwazingua akina yego. Pia mamba wako nje nje hata kwenye maji ya kwenye kikombe anakubeba. Ukara island balaa tupu.
 
Mimi nilifikiri yangu rahc kumbe ndo hivyo? Unamaanisha nikipanda gari inanitolea tofauti na mjini? My goodness what the hell is my journey? Lakini hata huko kwetu tunapotoka haina maana kuwa ni kuzuri saana. Ni ile mtu hajui aendako. Ila powa tu. Mimi nitatia guu hadi musoma.
Yako ni rahisi inategemea unatokea huvyo usihofu mkuu, kumbe hata Musoma hujafika bado? nilidhani upo Musoma ndio nikaandika hivyo kuonyesha tu kwamba gari si tano na isitoshe mtu akishuka UK hana haja ya kupanda gari zaidi ya kutembea kwa miguu kwani Musoma utapanda daladala. Kama hujafika kimsingi Musoma ni kawaida nilivyosema hivyo nilikuwa namaanisha kwamba stand ya Musoma mjini ipo nje ya mji maeneo ya Bweri kama 5km hivyo kuingia mjini kati lazima upande hiace mpaka mji kati then itategemea unaishi wapi unaweza ukachukua boda (hii ni kawaida tu kama ilivyo Dar unaweza ukashuka Ubungo ukachukua Hiace mpaka labda BUGURUNI alafu ukamalizia na bodaboda hivyo usihofu nilikuwa najaribu kuonyesha haliya kumtia moyo kamanda maana kidogo ulimkatisha tamaa}
 
Kuna meli ya mv. BUTIAMA kama sikosei itakupeleka jiji la Uk. Pako poa tu japo jiandae kisaikolojia kurogwa kuko nje nje ukiwazingua akina yego. Pia mamba wako nje nje hata kwenye maji ya kwenye kikombe anakubeba. Ukara island balaa tupu.

mkuu nafata ushauri wa JODOKI amenena poa sana.
 
Yako ni rahisi inategemea unatokea huvyo usihofu mkuu, kumbe hata Musoma hujafika bado? nilidhani upo Musoma ndio nikaandika hivyo kuonyesha tu kwamba gari si tano na isitoshe mtu akishuka UK hana haja ya kupanda gari zaidi ya kutembea kwa miguu kwani Musoma utapanda daladala. Kama hujafika kimsingi Musoma ni kawaida nilivyosema hivyo nilikuwa namaanisha kwamba stand ya Musoma mjini ipo nje ya mji maeneo ya Bweri kama 5km hivyo kuingia mjini kati lazima upande hiace mpaka mji kati then itategemea unaishi wapi unaweza ukachukua boda (hii ni kawaida tu kama ilivyo Dar unaweza ukashuka Ubungo ukachukua Hiace mpaka labda BUGURUNI alafu ukamalizia na bodaboda hivyo usihofu nilikuwa najaribu kuonyesha haliya kumtia moyo kamanda maana kidogo ulimkatisha tamaa}

Kuna siku nilitoka mwanza nikapitia musoma japo tulienda mwendo hadi pale stendi halafu baadaye tukarudi kuelekea tarime sirari, migori, nairobi, namanga, arusha, moshi. Ila pale stendi ilikuwa kama dakika tano. Sikupasoma kivile. Ila nashukuru kwa maelezo yako kamanda wangu. Nitajitahdi kujipa moyo. Ahsante mkuu.
 
Kuna siku nilitoka mwanza nikapitia musoma japo tulienda mwendo hadi pale stendi halafu baadaye tukarudi kuelekea tarime sirari, migori, nairobi, namanga, arusha, moshi. Ila pale stendi ilikuwa kama dakika tano. Sikupasoma kivile. Ila nashukuru kwa maelezo yako kamanda wangu. Nitajitahdi kujipa moyo. Ahsante
mkuu.
Kumbe ramani unayo tayaari, ukifika stand then unachukua gari mpaka town, kama ilivyokuwa Moshi wakati wanatengeneza stand mpya magari yakitoka Dar wananchi wanashukia Ngangamfumuni then wanachua hiace wanaingia mjini kati
 
wadau
katika sehemu nilizokuwa sifikiri kufanya kazi wala moyoni mwangu
hakumo ni ukerewe. Hatimaye leo nimepangiwa niende huko. All in all only
God knows it.

Mkuu na ujue sio Wilayani bali vijiji vya Ukerewe, kila la heri na kazi njema.
 
Back
Top Bottom