Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
Pole Sisi miaka ya 198x... maeneo ya Kilimaewa Manzese Midizini Dar es salaam, Binti alitutapeli Mikate ya SIA( national milling breads) minne(4) Breads!!!Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 raskazone tanga nimeliona Leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale mabibo jeshini linaumwa Figo miguu imevimba balaa.
Kilichofanya nimtambue ni kovu lake Juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.
Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.
Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.
Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.
Sifarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Mimi After 4 Years nikamwona Sehemu, nikaita wazazi tukamkamata.....Alilipa zaidi ya mikate....pole na Hongera no mercy no fear Alipe