Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umepiga hesabu kwa kutumia kifaa gani?
Mtoa mada kasema mwaka 88'.
Sasa mwaka huo hadi leo ni 27tu?
Umeanza mbali kumbe ulitaka tu tujue mlikuwa mnamiliki TV (Kideo) miaka ya 80Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.
Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.
Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.
Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.
Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.
Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Mwambie bwana, ili naye amalizie maisha yake kwa uchungu na aibu vile vile . Hawanaga maana hao sawa na vibakaKweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.
Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.
Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.
Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.
Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.
Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Ridhisha moyo wako kwa kumsamehe na kusahau maovu yake aliyowafanyia.....Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.
Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.
Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.
Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.
Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.
Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Nchi haijapata Uhuru,watu wanaibaHawa mabaharia tokea kitambo wapo[emoji23]View attachment 1543473
Jambazi na familia yake uliwafahamu, au mlikuwa majirani wakakimbia?Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.
Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.
Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.
Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.
Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.
Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Umeona eenhh!!!!,Amerithi kisasi,eti anamlipia marehemu Baba yake.jinsi ulivyoandika nimejikuta nafurahi tu mkuu [emoji16][emoji16]. ila una roho ya kitusi maana kuwa na hasira ya kulipiza kisasi baada ya miaka 27 si haba
Mkuu nimependa hii kumbukumbu.Hawa mabaharia tokea kitambo wapo[emoji23]View attachment 1543473
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.
Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.
Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.
Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.
Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.
Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.