Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Umeanza mbali kumbe ulitaka tu tujue mlikuwa mnamiliki TV (Kideo) miaka ya 80
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Mwambie bwana, ili naye amalizie maisha yake kwa uchungu na aibu vile vile . Hawanaga maana hao sawa na vibaka
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Ridhisha moyo wako kwa kumsamehe na kusahau maovu yake aliyowafanyia.....
 
Hawa mabaharia tokea kitambo wapo[emoji23]
IMG-20200816-WA0001.jpg
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Jambazi na familia yake uliwafahamu, au mlikuwa majirani wakakimbia?
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.

Jizi ni shenzi tu hata likizeeka. Nenda kampe madongo yake.
 
Aiseee 1988 mlikua na na tv?? Bibi mkubwa wangu alininua 1995 supra 20" aisee nilijizolea marafiki kedekede duuuu tumetoka mbali sana!!!!
 
Mkuu kwahio unataka ukampe vijembe?
Mwandikie Barua, Nenda Kichwa kichwa Asipokutoa ubongo, Unafika huko Marehemu Baba yako Akulambe na wewe vibao kwa kujitakia kifo,

Kwanza kwa maeneo hayo Si Ajabu Mwane naye ni Mjeda, ana stress za kumuuguza dingi.
Yaani Hapo unacheza Mtoto wa simba au simba mzee.
 
kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Pole kwa kukutana na hayo..

1988 sio kweli.. kwamba ndizwo za kwanza nchini.. kuna tulimiliki miaka kabla.. na tulibadili kwendana na kitokacho.. hata kutumia satellite.. kuchekiki vya nje ya nchi.. betamax..
Yote ni kheriiiii
 
Back
Top Bottom