Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

Pole Sisi miaka ya 198x... maeneo ya Kilimaewa Manzese Midizini Dar es salaam, Binti alitutapeli Mikate ya SIA( national milling breads) minne(4) Breads!!!

Mimi After 4 Years nikamwona Sehemu, nikaita wazazi tukamkamata.....Alilipa zaidi ya mikate....pole na Hongera no mercy no fear Alipe
 
Umeshindwa hata kuchukua kapicha ulikuta hata sisi wengine umeshawahi kukwala vitu vyetu
 
on point
 
[emoji23] [emoji23] mchane tu
 
Msamehe tu,kwa magonjwa na umri wake muda si mrefu atarudi mavumbini huyo
 
Sasa mambo gani haya yakunianika humu.?Njoo basi uniue kuliko kulialia humu. Sina cha kupoteza. Njoo uniue Njoo ulipize kisasi moyo wako ufurahi na utulie.
Watu wa chuga mibange Sana kwasauti ya mbasher
 
Usilipe baya kwa baya cha msingi nenda kawajulie hali ikiwezekana mpeleke hospital kama anashindwa kumudu gharama na msaidie kumuuguza...

Ethics especially based on natural law theory inasisitiza kuwa tusihalalishe baya kwa baya ila pia kumbuka

"Do unto others as you would have them do unto you...."
 
forgive and forget

kwenda kwa huyo mzee kumsuta ni kujitakia the unthinkable...move on achana nao

fikiri kama mtoto naye ni jambazi au bado pamoja na ugonjwa wake mzee bado ni jambazi mstaafu...eehh

au unataka mwanao kuja kusimulia namna nawe baba ulivyoibiwa kama babu yake na familia ya jsmbazi yuleyule!?
 
U r learning to write scripts keep it up mkuu
 
Jambazi mstaafu mtungie riwaya chapisha...

Gusia matukio yote mhimu aliyoyafanya...

Jina la kitabu... Kisadifu picha ya kwenye jalada..

Baada ya hapo fungasha nakala moja ya kitabu... Na vizawadi kidogo vya kuboost maisha...

Hakika atatubu mbele ya kaumu ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…