Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui labda ni system mpya ya ujambazi kwenye movie zetu?
eti jamani, ushawahi ona jambazi kaingilia nyumba ya mtu, huku viatu kavulia mlangoni?
hii ni picha aliyopost irene uwoya kwa instagram..
watch out!
jambazi liko mpeku meeen!
Hawa kweli wanaigiza, bastola ndogo namna hio haiwezi Kuwa na tundu kubwa hivyo. Samahani
Mkuu umegundua kitu cha msingi sana!! Ukitoa vipaji vya hawa waigizaji wetu lakini wana upeo mdogo sana kuhusu filamu.
Unakuta mtu anarekodi eti yupo peke yake kwake anajiambia "nataka niende mjini lakini ngoja kwanza ninywe maji alafu niondoke" alafu mnaonyeshwa anavyoenda kwenye friji kuchukua maji na kunywa then anatoka anafunga mlango anaenda kwenye gari anaikagua matairi na injini then anapanda gari anaondoka mnaonyeshwa hadi anavyokata kona ya mwisho!!!
AAAAh,jamani amevua ili amnyatie vizuri asisikiwe!....
Hahahhaah duh kweli majambazi ya sasa ni wastaarabu
Sent from my BlackBerry - jamiiforums
Hapa hamna ustaraabu wala nini,tatizo wako kwenye nyumba ya mtu alafu mwenye nyumba yake"viatu no ndani ya nyumba" thats all!
Isse iyo ilkua cujambaz labda n kombolea.
alivyosimama na alivoshika bunduki havina ushirikiano
Bongo movie hawana mpya, wanakurupuka tu.
hahaa!! i guess... it was you!