Jambazi Mstaarabu

Jambazi Mstaarabu

jambazi kapendeza hivyo....jambazi gani mstaarabu anaenda kuiba anavuwa viatu kama anaingia msikitini.
mwenye nyumba tuliyoshootiya aligoma kabisa kuingia na viatu dakika za mwishoni so hatukuwa na jinsi.
 
Hili Suala La Movie Za Hapa Kwetu Limeku a Likiongelewa Sana Ila Wasanii Wetu Bado Wala Hawataki Kuskia Maoni Ya Watazamaji Zaidi zaidi wanazidi Kujiaibisha Tuuu!! Huo Ndo Ukweli Jamani!!

Af mkiulizwa Ooh Tunataka Bongo Movie Ifike Kimataifa!!

attachment.php

attachment.php
 
Mkuu umegundua kitu cha msingi sana!! Ukitoa vipaji vya hawa waigizaji wetu lakini wana upeo mdogo sana kuhusu filamu.

Unakuta mtu anarekodi eti yupo peke yake kwake anajiambia "nataka niende mjini lakini ngoja kwanza ninywe maji alafu niondoke" alafu mnaonyeshwa anavyoenda kwenye friji kuchukua maji na kunywa then anatoka anafunga mlango anaenda kwenye gari anaikagua matairi na injini then anapanda gari anaondoka mnaonyeshwa hadi anavyokata kona ya mwisho!!!

Mkuu huwa wanafanya hivyo kama njia ya kuitafuta part2
 
atachments Hzoo Hapo
 

Attachments

  • Bongo Move Bongo Lala.jpg
    Bongo Move Bongo Lala.jpg
    69 KB · Views: 346
  • Bongo Movie Bongo Lala1.jpg
    Bongo Movie Bongo Lala1.jpg
    64.2 KB · Views: 334
Hili Suala La Movie Za Hapa Kwetu Limeku a Likiongelewa Sana Ila Wasanii Wetu Bado Wala Hawataki Kuskia Maoni Ya Watazamaji Zaidi zaidi wanazidi Kujiaibisha Tuuu!! Huo Ndo Ukweli Jamani!!

Af mkiulizwa Ooh Tunataka Bongo Movie Ifike Kimataifa!!

tatizo shule baba!!

yani hawa hata ukiwaambia kitu joint venture hawataki kuelewa!!!

hebu jaribu kuchunguza kuna kuna entertainment ngapi ambazo zinazaa movie 'punk' mjini ni ngapi!!

ngoja nijaribu kuzikumbuka

1. masai entertainment...... huyu yuko buguruni rozana (jamani mi hapa nilishalizwa!!!! sijarudi mpaka leo!)

2. endless fame ... under wema sepetu.. (nilishamtembelea akaniletea nyodo!!!! mpaka leo jibu hajanipa! nimetupilia kushoto!!)

3. jerusalemu films ... (under jb... angalau huyu anasema kidogo)

4. RJ COY ... under ray and johari!

5. nisha entertainment

6. jack wolper nae ana coy yake.

7. rose ndauka's


8. kanumba the great,

...... and so on down there!!!

hawa woote ukiwaambia waungane hamna anaeelewa!!!


elimu nayo ina sehemu yake katika maisha hasa katika kutafuta mafanikio endelevu!!
 
Bastola toi....tundu kubwa hivyo ni la kurushia maji sio risasi
 
Unavaa gloves mikononi ili usiache ushahidi, sasa huyu yuko pekupeku, nyayo si zinaacha alama?
 
Hayo ndio mashariti ya mwenye nyumba mkuu, si unajua cha kuomba hakina nyongeza. (mwenye nyumba kawapa nyumba ila kawaambia wahakikishe hawaingii na viatu ndani wataingiza bacteria). tetete.
 
Jambazi hana viatu ni mstaalabu sana, pili huyu dada anaonekana amevaa taulo pozi la kulala lakini mkononi amevaa saa kuubwa. kama alikuwa out vile
 
mwenye nyumba tuliyoshootiya aligoma kabisa kuingia na viatu dakika za mwishoni so hatukuwa na jinsi.

hahahaha si kamera mani angekata miguu kama alivyo kata kwa mdada.
 
Back
Top Bottom