Jambazi Mstaarabu

Jambazi Mstaarabu

Mkuu huwa wanafanya hivyo kama njia ya kuitafuta part2

i hate these guys!!

ndio maana mi huwa nazizimia sana movie na tamthilia za kikorea!

jumong, slave hunter, city hunter na zinginezo!!

huwezi kukutwa character anaoneshwa akiwa kwenye gari akiwa anapoteza tuu muda! unless kuna sababu!
 
hahaha amenifurahisha uyo kaka jambaz...... ila ukweli ni kwamba wanaaibisha Tanzania yetu na watanzania ndio sisi. hawa bongo movie hata tukiwaponda haisaidi bado wako palepale......watafute shule kwanza
 
KakaJambazi huyo ni wewe au? Nasikia Irene Uwoya ndio kaiweka, hivi nia yake ampige kijembe alieigiza au yeye ndio kaigiza? Mi sura yake siijui fresh.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la Bongo Movie ni kiburi kutokana na vijisenti kidogo wanavyolipwa na Step Entert. Kiburi chao kimejaa ujuaji wa hatari.Lazima wakubali kukosolewa na wakubali shule (si lazima iwe formal education) ni muhimu.

Waache kusingizia bajeti na vifaa while hata sehemu za kawaida sana wanafanya makosa ya kijinga.Kwa mfano hiyo picha iliyowekwa kwenye hii mada inahitaji bajeti ya kiasi gani huyo mtu kuvaa viatu?:A S-confused1::A S-confused1:
 
Jambazi kavua viatu kuogopa kuchafua nyumba ya watu,sasa itakuwaje kama akimpiga huyo mtu risasi na damu zikamwagika hapo chini!
Kuna vitu vingine sio lazima uende shule ili uvifanye kwa ufanisi.
 
bongo muvi bonga lala bongo muziki..
Taaluma isio vigezo na ubongo hautumiki
 
Back
Top Bottom