kuna week flan nilishinda chandi ya physics mda wote lkn bado mambo yakawa mseda msedaa.....nikagundua tu kwamba ujanja ni "kukomaa na chemistry and biology....hii physics itanitoa roho""Hahaha gravitation na rotation of rigid bodies ulimwachia nani asome???[emoji23]
Hizo law za Newton zinachanganya hehehe usipotulia utakuta first law umeweka kwenye third lawna derivation chache za newtons laws of motion then ndukiii ndefu
Si bora hapo,ukija kwenye calculation umejipinda na solution yako ndefu ukakosea kidogo mwishoni mwalim anakata yote au anakupa 0.5[emoji23]vinakela vimaksi vyake tu kwenye mtihani....
mara 1 mark....mara 1.5 mark....hapo umetoa definition za kutosha
Umri shemejiNi nini hakieleweki nikueleweshe shem?
Bebe kumbe umekula darasa,,uwe unanifundisha fundisha usiku nisije kukuabisha[emoji41]Somo ambalo sikuwahi kulipenda wala kufaulu ni hilo la densiti izi iko tu masi ova volyumu....physics ni somo gumu sana hili
Kwa kweli utatoka roho[emoji23] [emoji23] unakomalia kitu kinachanganya akili mpaka kichwa kinauma kwa sabu gani lakini?kuna week flan nilishinda chandi ya physics mda wote lkn bado mambo yakawa mseda msedaa.....nikagundua tu kwamba ujanja ni "kukomaa na chemistry and biology....hii physics itanitoa roho""
Sio mdogo wala sio mkubwa sanaUmri shemeji
18-25 si eti?Sio mdogo wala sio mkubwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]18-25 si eti?
Niliishia form one B kipenzi changu,umande na shule kuwa mbali vilinikatisha tamaaBebe kumbe umekula darasa,,uwe unanifundisha fundisha usiku nisije kukuabisha[emoji41]
Heee namuonaga dogo ana mavitabu makubwa sijui abort,nelkon,Lambert, university physics, BS, huku mimi kaka yake nina kibanga kampiga mkoloni,juma na uledi,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niliishia form one B kipenzi changu,umande na shule kuwa mbali vilinikatisha tamaa
[emoji23] bebe buana,hivi vitabu si niliviona chumbani kwako hiviHeee namuonaga dogo ana mavitabu makubwa sijui abort,nelkon,Lambert, university physics, BS, huku mimi kaka yake nina kibanga kampiga mkoloni,juma na uledi,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niambie bas shemeji na wew[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dogo anaviweka huko wenzie wasiazime,,,siunajua dogo langu ni john kisomo[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] bebe buana,hivi vitabu si niliviona chumbani kwako hivi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Me Nilikuwa nimemeza definition ya commerce
Sasa mshawasha ulikuwa kumsubiri teacher wa commerce aje aulize kwanza "what is the meaning of commerce? "[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani siku alivyoingia nilifurahi balaa. Nikajikakamua kujibu halafu hata hakunisifia [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Embu niombe basi msamaha kwa shem kwani wewe huoni alivyonikalia pabaya?Dogo anaviweka huko wenzie wasiazime,,,siunajua dogo langu ni john kisomo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahah!!Niambie bas shemeji na wew[emoji23]