Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilimsaliti mwanamke wangu ambae nimedumu nae kwa Miaka sita na Kuja kujua mchepuko anaruka na ungo iliniuma sana. Ukiachana na mambo ya kuniloga Mimi na mwanamke wangu. Yule dada aliniweza. Ila nimejifunza sana Hawa viumbe nawafaidi kwa macho. Sitaki stress za mapenzi [emoji4][emoji4]
Najutia kwanza yule mchawi alitupanga wanaume watatu. Mie niligonga mchana mwamba akagonga usiku alizima siku nzima akapelekwa hospital kijaziwa maji hapo tukakutana Kila mjinga kaleta kiepe, wakati mie nimeleta na mishikaki wana wameleta vipaja. Tena mjinga mmoja kaleta vipaja viwili wale wote[emoji23][emoji23][emoji23]
Paradiso ukipangiwa uje kwangu nitakutesa sana...Eti, kuliko kulazimisha mtu afungue PM
Kwa hiyo wewe unakula jeuri yako...Achague kufa au kula jeuri ake 😂
YesKwa hiyo wewe unakula jeuri yako...
Kwa hiyo unafanyiwa ubaya...
Mahusiano kitu cha ajabu sana. Umekutana na wanao kata mauno,af unaanza kumkumbuka ambaye alkuwa hakati mauno, ha ha ha ha haNyie acheni jamani....
Kuna mwanamke nilikuwa nae anaitwa tina,huyo demu alinipenda sana,alikuwa ananisikiliza kwa kila kitu,hata siku moja hakuwahi kunipinga kwa lolote,akili zangu za ujana zilikuwa za kipumbavu sana.
Nikaanza kumpotezea kimya kimya,demu akituma txt sijibu hata moja,nilimuachana kwa sababu ya kijinga eti kisa hakati mauno ninapo mgegeda.
Nilimnunulia simu ya gharama kwenye birthday yake tulivyokosana nikaichukua kwa lazima, Ile kupekua, nilikutana na ma vedio ya hovyo anatumia majamaa wengine roho iliniuma sana nikatamani ata nisingechukua Ile simu ningemuachia. Hadi leo nikikumbuka natamani hata nimfanyie kitu mbayaKatika maisha ya ujana tunakutana na mambo mengi sana, mengine ya kutisha na mengine ya kawaida. Binafsi katika ujana wangu nimepitia mambo mengi mazito, nimeumizwa sana katika mapenzi na nimeumiza sana wanawake.
Kati ya kitu siwezi kusahau katika maisha yangu na namuomba Mungu anisamehe na najutia sana ni mambo mawili;
Jambo la kwanza: Nilikuwa na mwanamke ambaye alinipenda na nilidumu naye miaka minne katika mahusiano huku akinisubiri kwamba ntamuoa, lakini kiukweli moyoni mwangu sikuwa na hata wazo la kumuoa zaidi ya kumnyandua tu. Hadi pale ambapo alinishtukia kwamba mimi siyo muoaji na hadi sasa huyo binti ameolewa na kwa ndoa kabisa.
Alikuwa ni mwanamke mwema sana kiukweli, namkumbuka sana katika maisha yangu. Kinachoniuma zaidi na namuomba Mungu wa mbinguni anisamehe sana ile dhambi ni kwamba huyo dada ameshatoa mimba zangu tatu. Hakuna kitu najutia kama kumlazimisha atoe mimba zangu mara tatu.
Najua wengi mtasema kwanini alikubali kutoa, sababu ni kwamba alikuwa ananiogopa sana akihisi akikataa nitamuacha na kwa kuwa alinipenda na kuniamini basi hakutaka kuniudhi, kifupi alikuwa ananisikiliza sana. Nakukumbuka sana ewe dada na Mungu akupe maisha marefu na naomba unisamehe sana.
Jambo la pili: Ni kwamba nimewahi kutoka kimapenzi na shemeji yangu (rafiki wa mpenzi wangu). Kwa kweli inaniumiza sana juu ya unafiki wangu niliokuwa naufanya. Ewe kijana jitahidi sana kuwa kijana mwema kwa jamii na kwa Mungu ili usije ukajutia sana hapo baadae kwa makosa unayoyafanya leo. Mungu atusaidie sana.
Je, wewe ni lipi linakufanya huwa unaniumia sana ulilowai kumfanyia mpenzi wako?
So mtoto wa mama mkubwa alikuwa anaangalia tu wakati dada yake anapigwa na wewe?Ninavyo visa vingi kwa kweli.
1. Nilimpiga mpz wangu kiasi Cha kumuumiza sababu nilimkuta anaongea na jamaa kwenye Giza. Kumbe n kaka ake mtoto wa mama ake mkubwa. Ana alama mdomoni mpaka leo
Aliponiambia sikutaka kumuamini. Baadae kuja kugundua ukweli daah inaniuma sana Hadi Leo.
Sasa hivi n rafiki yangu mkubwa, ameolewa na ana watoto watatu.
Ananiambiaga hajawahi kupigwa kama vile ktk maisha yake mpaka sasa.
Ndiyo, na soon nitalipiza ‘ubaya kwa ubayaKwa hiyo unafanyiwa ubaya...
Ulkua umepanga kula na kusepa kumbe moyoni anakucheka anajua gusa unate[emoji38]
Nyie acheni jamani....
Kuna mwanamke nilikuwa nae anaitwa tina,huyo demu alinipenda sana,alikuwa ananisikiliza kwa kila kitu,hata siku moja hakuwahi kunipinga kwa lolote,akili zangu za ujana zilikuwa za kipumbavu sana.
Nikaanza kumpotezea kimya kimya,demu akituma txt sijibu hata moja,nilimuachana kwa sababu ya kijinga eti kisa hakati mauno ninapo mgegeda.