Jambo gani ulishalifanya likakupa aibu ambayo hautaisahau?


he he he hii kali.....pole!


ha ha ha aibu yangu ni ndogo sana kwa hii!pole
 

Jamani unarudisha nyuma juhudi za NEMC
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli sina tukio la aibu.. Ngoja nisome tu vituko vya watu...
 
Nilipokosa penalt katika
mpira wa miguu,ambayo ingeipa timu yangu ushindi uwanja wa ushirika
moshi,wakati huo tulikuwa tuna ahadi nono kama tungeshinda

Hujui kulenga!
 

Utoto kazi! Yaani unatamani ku undo... Pole mwaya.
 

Unafikiri, yaani ni ubishi wangu tu, maana niliambiwa kbs kuwa tutafute gesti mitaa ya Bunda stendi mimi nikamkatalia,
Maana nilitaka wakwe zangu na mawifi wanione jinsi nilivyo na Adabu (mambo ya kupalilia ndoa)
Matokeo yake, yamekuwa kinyume, na aibu shuuuuuuu..... King'asti, acha tuu yaani sitakaa nisahau lile tukio.
 
Last edited by a moderator:
Mmmh kweli hii aibu, mchumba alielewa umekosea mlango kweli?
he he he nadhani asubuhi ulifungasha vyako!!!!!!

We Evelyn Salt Unafikiri hapo kuna kusubiria mchana ufike, thubutuuuuuu....
Saa 3 ileile tu, Nnshaaaaaa.........stendi
Mpaka mchuchu nikamuacha kwenye mataa, fanya mchezo na Nusu fumanizi nini...........!!!!!!!
Na ujanja wangu wote huu wa Mjini, nilibaki mdogo kama kifungo.
 
Last edited by a moderator:
Shhhhhhhh! Na wewe hauna siri? Afu uliporudi ukakausha si nikajiona mshindi. Nikajua haujasniff, lol.

Nianzie wapi. . .mf! Uliniachaje hoi. . .kumbe na wewe hua unafanyaga hivyo. . Binti mzuri vile nikawa najiwazia zangu, nikaongeza nguvu ya AC. . .halafu hata huku-notice nilivyo ongeza na nguvu ya perfume.
 

he he he ni matumaini yangu hukumpapasa ba mkwe!!!!!!!
 
Kura yangu ya 2005 nilimpa JK sababu ya haiba yake. Hili limenitia aibu
 
Mmmh TANMO ina maana ulikuwa chekechea! Duuuuuuh!
Karibu white party!

 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahahaha

 
Hahahahahahahahahaha

 
Nianzie wapi. . .mf! Uliniachaje hoi. . .kumbe na wewe hua unafanyaga hivyo. . Binti mzuri vile nikawa najiwazia zangu, nikaongeza nguvu ya AC. . .halafu hata huku-notice nilivyo ongeza na nguvu ya perfume.
Nimekununia hadi mwakani. Na hela zako staki.:shut-mouth:
 
Hahahaah!! Ningekuwa mimi na ibada ingeishia hapo, maana ningetoka na nisirudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…