Jambo gani ulishalifanya likakupa aibu ambayo hautaisahau?

Nikiwa darasa la sita nilimuandikia barua ya kimapenzi dada mmoja wa darasa la tano. Bahati mbaya ikanaswa na mwalimu mkuu, barua ilisomwa mbele ya wanafunzi wa shule nzima na nikaishia kuchapwa bakora sita mbele ya wanafunzi....
 
:majani7:
 
Nikiwa darasa la sita nilimuandikia barua ya kimapenzi dada mmoja wa darasa la tano. Bahati mbaya ikanaswa na mwalimu mkuu, barua ilisomwa mbele ya wanafunzi wa shule nzima na nikaishia kuchapwa bakora sita mbele ya wanafunzi....

lol! imefanana na yangu
darasa la sita mimi na rafiki yangu tukawaandikia barua ya mapenzi mabinti wawili classmate ambao dada yao ni mwalimu hapo hapo shuleni.......wenyewe tumeandika maneno matamu ,kwenye karatasi ya vimaua na bahasha ya vimaua.
kesho yake darasani kila nikimwangalia mtoto anaona aibu na kuchekacheka ,nikajua yes nimeshang'oa mtoto.
tumerudi darasani kutoka kwenye mapumziko ya saa nne ,mara walimu wote ofisini wamehamia darasani lol! kumbe barua walizipeleka kwa dada yao,si ndo kuambiwa tusome mbele ya darasa halafu zile sehemu za maneno ya kimahaba unashadadiwa na walimu kuwa utoe sauti na kurudia tuache kumumunya maneno...baada ya hapo tukala khamsa wa thalatha(viboko).......ilikuwa aibu kweli kweli ,ila baada ya hapo nikawa poa tu tena nikajiona kidume mimi hiyo ajali kazini .....baadae nikamg'oa yule mmojawapo aliyeandikiwa na mwenzangu, ila mpaka leo hata sioni aibu tena,nahisi kama nilionewa tu au ilikuwa ajali kazini
 
Hahahaah! Hiyo ni ajali kazini.
 
siku nipo kwenye kasherehe flani official kanafanyika hotelini. kabla ya kula nikaanza kupiga visichana. cha kwanza, cha pili, nikala nikapiga cha tatu nikawa mi ndo muongeaji mkubwa kuliko mc na mgeni rasmi! tena kwa sauti kubwa. basi akaja meneja wa hotel na walinzi kunitoa nikapelekwa home. hadi leo sipendi visherehe official napenda party za kujiachia na kunywa bila kula ni mwiko!. lakini si walevi tuna aibu nyingi tu zinatusubiri (we are accidents just waiting to happen)
 
nasubiri mmalize nije niwafunike wote..
 

Ha ha haaa mabishololo
 
Aisee mie ninalo nakumbuka miaka mingi iliyopita nilipokua shule nilikuwa na kiherehere sana cha kuuliza maswali hasa nikiwa darasani.Siku moja bwana ikatokea siku moja shule nzima walikusanyika kwa ajili ya kuchagua viongozi na wanafunzi walitakiwa kuwauliza maswali hao wagombea ili kujua ufanisi wao sasa basi nakuambia ilipofika saa ya kuuliza maswali mie wa kwanza kidole juu sikupiontiwa nikakasirika sana,swali la pili mie tena kidole juu angalao mwalimu akaniona akanipoint niulize,nikasimama bwana walikuwa wanafunzi kabao zaidi ya elfu 1 mara swali nililokua nataka kuuliza nikalisahau nikabaki nimeduaa mwisho nika kaa chini bila kuuliza hilo swali watu walinicheka sana niliona aibu ya mwaka mpaka mademu walikuwepo yaani mpaka leo naikumbuka hiyo.
 
Kwani wewe ulesbian umeujua yoka kinda! Umedata ujue! Sipayi picha, ungekuwa tu ragiki na huyo dadake aisee.
 
Hamna, kwanza mie ndo nasaidia kubalance gases. Hujui hydrogen sulphide niliyotengeneza ikichanganyika na kabondioksaidi inatengeneza nini?

Sipati picha nadhani ilikuwa kama kips apparatus imefunguliwa:madgrin::madgrin:
 
Kwani wewe ulesbian umeujua yoka kinda! Umedata ujue! Sipayi picha, ungekuwa tu ragiki na huyo dadake aisee.

Aku!!! urafiki wa nini wakati hata kumtizama machoni naona noma!!!!!!!!
 
Daaah pole sana ureni
 
Last edited by a moderator:
Daah jf-chit-chat ni zaidi ya burudani!
 
nakumbuka nikiwa kijana mdogo ndo kwanza balehe ya kwanza inasumbua sumbua.....nikampenda sana(hivi sijui pale huwa tunapenda au vipi...ila umeelewa bana!) binti wa mzee chisoro pale jirani yetu!nae kajua basi anajishaua kike tu,nadhani anasubiri nifanye movement yoyote...tuangusane.Basi siku moja nimemlia mingo nini,nikamstopisha nianze kumtongoza...sasa in the process si nikaanza kuwa ''hard'' bana!!?huyu anaenifanya niwe mwanume akaamka kwa kasi ya hatari......unajua tena ujana na tamaa kali ya ngono!jaribu kuzuga wapi,rusha mguu kidogo...hola!,,,nikaukunja kunja kidogo....wapi!nae macho yote hapo hapo...dadeki!afu akaanza kucheka kimtindo,somo sikummalizia afu baada ya wiki kama mbili bana si wakahama mkoa kabisa!nilijiona -----,nimeaibika afu mzigo sijapewa na wasiwasi asije waambia wenzake!

nilikuja kutana nae miaka zaidi ya kumi na mbili baadae....ofkoz tuli-du ze nidful...ila kama kutimiza tu nilichoanzisha!baada ya gemu akakumbushia lile suala,hakyanani aibu nilioisikia...siwezi sema tu!
 
Mi nilikuwa mtumishi mzuri sana kanisani...sasa kuna siku ikawa misa ya upadre,akawa anaongoza askofu..kabla ya misa tulienda jikon kwa mapadre tukafakamia sana mamisosi...kumbe tumbo likavurugika..misa ndefu,mi tumbo linatokota wacha...na ndo nimeshika fimbo ya bishop...looh kwanza nikaanza na mashuzi..nikabadilisha sana hali ya hewa!yote tisa kumi umefika mda nikamkabidhi askofu fimbo yake wacha nirudishe chenji...matapish yote yakamrukia Bishop pwaaaaa,ilikuwa n aibu ya mwaka,kanisa zima aaaaaaaaahh!harakat za kumbadilishia bishop nguo!toka siku hyo sikuwah tena kupanda altaren kutumikia...nikakoma,nilipata aibu ya karne! +Askofu Mario Abdalah Mgulunde R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…