DOKEZO Jambo hili inalofanya Serikali ni wizi dhidi ya raia wake maskini

DOKEZO Jambo hili inalofanya Serikali ni wizi dhidi ya raia wake maskini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Serikali ya kijambazi, kifisadi, kihuni ndiyo inayoweza fanya hivi kwa wananchi wake. Inaiba pesa za wananchi wake maskini kwa kupachika tu majina ya kihuni.

Watu wameamua kurudisha pesa walizopoteza kwenye awamu ya Magufuli kwa kuwaibia wananchi wake maskini. Maskini kwa sasa ndiyo wanaona kila rangi. Mtu nimekaa tu nyumbani nakatwa pesa zaidi ya Tsh. 11,000 kwa siku?

Huu ni wizi. Tena wizi unafanywa na Serikali, eti Tozo. Nyie ni wezi kama wezi wengine isipokuwa tu mnalindwa muendelee kutuibia. Mashetani kabisa na majini mnatunyonya damu sisi binadamu. Mnapata wapi ujasiri wa kutupora pesa zetu zikiwa bank?

Nyie siyo wanadamu kabisa. Hamna utu, ni majambazi, wezi, wauaji na mafisadi wakubwa.

Pesa nahangaika kutafuta kwa shida then mnaamua tu kuzichukua bank. Nakatwa PAYE, nalipa kodi kila sehemu bado hamjaridhika, nyie wezi wenye laana, hata utu hamna.

Screenshot_2022-09-14-10-28-06-078_com.google.android.apps.messaging~4.jpg
 
wakati tuko ktk majadiliano ya kusifu na kulaani ubora wa Samia kama rais, kUna mwana JF mmoja hapa alijibu sentensi fupi sana, naikumbuka. ........ hatuna rais, it's a matter of time.
 
Mwendazake aliwakaba matajiri... huyu anawakaba maskini.
 
 
 
wakati tuko ktk majadiliano ya kusifu na kulaani ubora wa Samia kama rais, kUna mwana JF mmoja hapa alijibu sentensi fupi sana, naikumbuka. ........ hatuna rais, it's a matter of time.
mwendazake aliacha hazina ya Nchi ikiwa empty, leo inatugharimu wananchi
 
mwendazake aliacha hazina ya Nchi ikiwa empty, leo inatugharimu wananchi
Uongo huo bwanaa. Nchi inaendeshwa kwa makusanyo ya kila siku na mikopo tunayopata. Ikiwa tulisimama kukusanya Kodi na kuchukua mikopo basi kweli pesa hatukuwa nayo.

Tena sasa hivi tumeongeza makusanyo kwa mwezi, wastani wa trillion 1.5

Hayo makusanyo ndio yanaendesha serikali.
 
No proof for that and can't be a reason for ripping our pockets.
Mbona ktk bajeti hawakusema hayo? Mbona wananunua magari ya kuwapamba mawaziri? Tusipende kufuata upepo wa maneno ya mdomoni. Watueleze wapi hazina ilikuwa tupu!
Muongo na mjinga huyo, nchi haikuwahi kuacha kukusanya Kodi. Serikali inaendeshwa na makusanyo ya kila siku.
 
wakati tuko ktk majadiliano ya kusifu na kulaani ubora wa Samia kama rais, kUna mwana JF mmoja hapa alijibu sentensi fupi sana, naikumbuka. ........ hatuna rais, it's a matter of time.
Ni kwa sababu mlizoea kuona wanaonyingwa ni wanavijiji sasa zamu yenu imefika mnatoa mapovu..

Hamna Rais ila anawanyoosha.
 
Back
Top Bottom