Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Litokee tu tupo tayari kulipokea hilo jambo maana maisha ya mtanzania hayajawai kuwa bora
 
Ndiyo kwanza January tatu,mapema mno mtu kurudisha mpira kwa kipa. Ila apangalo mola...
 
Acha upumbavu. Kama umevuta bangi lala amka baadae. Kwa hiyo wewe kiongozi wa nchi kufia madarakani umeona si Kawaida? Kuna yule Yesu wa Nazareti wahuni walimtundika msalabani na maisha yanaendelea kama kawaida so Acha upumbavu wako
 
Watu wana ramba asali, halafu niombe waendelee Kula asali ? Si ombi ili waramba asali wakione Cha Moto.
 
Nyie!!!

Sio vizuri kumkejeli mjoli wa Bwana!

Ngoja nimsindikize na andiko mjarabu kutoka maktaba!

Nyanza 1:10-35
"Ndipo nitakapokuhuluku ewe mwezi January,Nitapukutisha majani ya zamani na kuchipua mapya katika nchi ya ziwa nyanza niipendayo!!
"Ndipo nitamimina hasira yangu ya kisasi KWA hao waliomwaga damu ya mtakatifu wangu mjoli mwaminifu na Musa wa ziwa nyanza aliyekuwa akitumika kitalani,ndipo watesi watakapolia na kusaga meno na misiba yao itakuwa mikuu na kutikisa kuta za kitala"!
"Na hapo nitakapochipua majani mapya mabichi Baada ya kuyapukutisha chakavu,ndipo majani Haya mapya yatakapotamalaki na kushika hatamu!ndipo watakatifu wangu Wana wa kiroho changu watakapo shangilia Sana na kusema hosana ndiwe mbarikiwa""!

Maoni huru na andiko Huru la mlipa kodi hili kutokana na Duru zinavyotanabaisha humu jamvini!
 
Nonsense!
 
Rubbish.
 
Unataka kusema nini mkuu?
 
fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.
Mkuu TumainiEl , wewe ni mmoja wa manabii wetu wa ukweli humu, kwanza asante kututip kuhusu hili jambo kubwa linalohitaji maombi ambalo lilitaka kutokea Tanzania. Kufuatia tip yako hii na sisi watu wa maombi tupo, tumeomba, hivyo hilo jambo kubwa haliwezi kutokea tena kama lile!. Tena hata lile kama wasingefanya siri, tungeliweka kwenye maombi, lisinge tokea!.
NB. Kwa vile umezungumzia jambo kubwa za kuhitaji maombi kuliepuka, hala hala usikuje kuingizwa kwenye manabii hawa Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!
P
 
Kwani Hilo Jambo halijawahi kumpata mwanadamu,naona wengine wanasema kuhusu njaa Kali na dhiki kuu lakini Mimi msimamo wangu Ni kuwa kutakuwa na utele wa nafakaà
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…