Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Uchovu wa akili huleta njozi kuufariji mwili
 
Unataka kusema nini mkuu?
Sukuma gang hawaamini macho yao, walizoea kuteka na kuuwa watu, Sasa wapo frustrated mama hataki hata kuwasikia, Sasa wamejigeuza wanajimu.

Huyu anajuwa kila kitu kuhusu Ben Saanane, huyu ni wakala wa shetani.
Mkuu TumainiEl , kwanza asante kututip kuhusu hili jambo kubwa linalohitaji maombi ambalo lilitaka kutokea Tanzania. Kufuatia tip yako hii na sisi watu wa maombi tupo, tumeomba, hivyo hilo jambo kubwa haliwezi kutokea tena kama lile!. Tena hata lile kama wasingefanya siri, tungeliweka kwenye maombi, lisinge tokea.
P
Huyo jamaa anajuwa Ben Saanane alipo dead or alive.
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Naona blah blah tu! Hilo jambo kubwa litalotokea ni lipi? Litatokea lini na wahusika ni nani na nani?
Usipojibu hayo maswali ulichoandika kitabaki kuwa upuuzi.
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Kuna mtu alitabiri ajali ya ndege nchini 2022, huenda tumepata manabii humu
 
2023 ni Mwaka wa uamsho.

Sheria zitaingia Kanisani Kutoka Watawala, zitapita nyakati ngumu kiasi.

NURU kuu itokayo juu itamulika na mataifa watakuja NYIKANI wakifurahi.

Mtawala ataisikia sauti yake BWANA pekee, hatauliza hatma kupitia Waganga na wachawi au Ramli, atauliza na kujibiwa na aliye Juu.

Mtawala atatawala na pembeni atasimama MWONAJI, NABII Kutoka Kwa BWANA aliye Juu na atamwelekeza Mfalme namna ya kuchunga watu wake.

Maziwa na Asali vitanyweka hapa NYIKANI. Wana wa Uasi, Wana ghasia watapondwa pondwa VICHWA.

Illuminati wamenyanganywa utawala juu ya Taifa lililochaguliwa Tanzania.

Umebarikiwa Tanzania yangu nzuri.

Aamen.
 
Nyie!!!

Sio vizuri kumkejeli mjoli wa Bwana!

Ngoja nimsindikize na andiko mjarabu kutoka maktaba!

Nyanza 1:10-35
"Ndipo nitakapokuhuluku ewe mwezi January,Nitapukutisha majani ya zamani na kuchipua mapya katika nchi ya ziwa nyanza niipendayo!!
"Ndipo nitamimina hasira yangu ya kisasi KWA hao waliomwaga damu ya mtakatifu wangu mjoli mwaminifu na Musa wa ziwa nyanza aliyekuwa akitumika kitalani,ndipo watesi watakapolia na kusaga meno na misiba yao itakuwa mikuu na kutikisa kuta za kitala"!
"Na hapo nitakapochipua majani mapya mabichi Baada ya kuyapukutisha chakavu,ndipo majani Haya mapya yatakapotamalaki na kushika hatamu!ndipo watakatifu wangu Wana wa kiroho changu watakapo shangilia Sana na kusema hosana ndiwe mbarikiwa""!

Maoni huru na andiko Huru la mlipa kodi hili kutokana na Duru zinavyotanabaisha humu jamvini!
Teacher wewe ni mchokozi sana ndugu yangu
 
Ninae mwamini ni maharage ya ukweni peke yake
Ninachoweza kusema ni kwamba hii nchi kuna watu wako pembeni wanaoisimamia na dua na maombi ndio yanayosaidia mambo kuwa kama yalivyo kwasasa.Lakini kuna kitu kinataka kutokea na kufanyika ila kuna watu nawaona wanasema ''Tusubirini kwanza tusiwe na haraka''
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Wao wanaota kujaza matumbo yao,sisi tunaota angalau kulamba lamba tu,ee Mungu tusaidie 👍.
 
Watunzi wa nyimbo tutunge wimbo gani?

Parapanda ?
Bwana uliyewaita ?
Tunakushukuru Mungu wetu?
Asante?
 
Ninachoweza kusema ni kwamba hii nchi kuna watu wako pembeni wanaoisimamia na dua na maombi ndio yanayosaidia mambo kuwa kama yalivyo kwasasa.Lakini kuna kitu kinataka kutokea na kufanyika ila kuna watu nawaona wanasema ''Tusubirini kwanza tusiwe na haraka''
Kuzimu na majeshi yote wameshajiandaa Kwa vita kuishambulia Dunia, watu wamelala USINGIZI.

2023 na kuendelea tumeshauingia msimu na majira mapya.

Tunaenda kugawanyika makundi makuu mawili,

1. Wanaoamini na kumwabudu Mungu aliyejifunua kupitia Yesu Kristo.

2. Waabudu shetani,wachawi,pagan, masonary nk.

Aamen.
 
Shekhe Yahaya mwaka ile alitabiri kuwa kuna mtu maarufu atakufa, kumbe huyo mtu maarufu akawa ni yeye mwenyewe.
Usisahau pia kuwa alisema anampa ulinzi Mzee wa msoga,

Mlinzi hatunaye ila mlindwaji tunaye Hadi Leo😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom