Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Ninae mwamini ni maharage ya ukweni peke yake
Utabiri wa kutabiri ajali ya ndege halafu inakuja kutokea huku kwenye eneo la ajali wakiwepo watu wanaozuia marubani kuokolewa! Huo ndiyo utabiri unaousifia Amka wewe watu watahamia sayari ya Mars uachwe ukiwa umelala usingizi hapa duniani. Angalia matukio halafu changanya na za kwako. Huyo maharage wako inabidi akae vizuri sana
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Kukosa uteuzi tu basi unalia kia kila siku na kudanya watu unabii wa uongo.

Nchi iko salama chini ya Rais Samia Suluhu.
 
2023 ni Mwaka wa uamsho.

Sheria zitaingia Kanisani Kutoka Watawala, zitapita nyakati ngumu kiasi.

NURU kuu itokayo juu itamulika na mataifa watakuja NYIKANI wakifurahi.

Mtawala ataisikia sauti yake BWANA pekee, hatauliza hatma kupitia Waganga na wachawi au Ramli, atauliza na kujibiwa na aliye Juu.

Mtawala atatawala na pembeni atasimama MWONAJI, NABII Kutoka Kwa BWANA aliye Juu na atamwelekeza Mfalme namna ya kuchunga watu wake.

Maziwa na Asali vitanyweka hapa NYIKANI. Wana wa Uasi, Wana ghasia watapondwa pondwa VICHWA.

Illuminati wamenyanganywa utawala juu ya Taifa lililochaguliwa Tanzania.

Umebarikiwa Tanzania yangu nzuri.

Aamen.
Amen
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Ufanye kazi acha kulialia na kutaka mkate wa bure!
Imeandikwa , asiyefanya kazi na asile!!
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End

Malizia kama enzi zile ukiandika unaripoti kutokea ..... Uzi huu ulikuwa wapi? ☺️
 
Ee Mungu tuondolee huyu kiongozi aliyepo, Iwe ni kwa mapinduzi ya kijeshi, kikatiba au kwa namna yoyote , ilimradi tuepukane na mateso haya tunayopitia wana wako.Amina 🙏
 
Mkuu TumainiEl , wewe ni mmoja wa manabii wetu wa ukweli humu, kwanza asante kututip kuhusu hili jambo kubwa linalohitaji maombi ambalo lilitaka kutokea Tanzania. Kufuatia tip yako hii na sisi watu wa maombi tupo, tumeomba, hivyo hilo jambo kubwa haliwezi kutokea tena kama lile!. Tena hata lile kama wasingefanya siri, tungeliweka kwenye maombi, lisinge tokea!.
NB. Kwa vile umezungumzia jambo kubwa za kuhitaji maombi kuliepuka, hala hala usiku kuingizwa kwenye manabii hawa Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!
P
Jusufu alipo itwa na Farao ili atafasiri ndoto ameota nadhani alimwambia ukweli kutakuwa na njaa Kali ktk dunia. Jambo moja nalipenda kutoka kwa Yusufu nipale alipo mwambia Farao atafute watu wenye akili ktk Misri ili wakafanyie kazi maono yake. Ila Farao akawa amemtega au ktk kuvurugikiwa na ile taarifa akamuuliza Yusufu je ni nani amoe ile nafasi unajuwa Yusufu alijibuje? Alimwambia Farao akatafute mwenyewe hao watu maana yeye hawajuwi watu zaidi ya mfalme ndipo Farao akamjibu na kumwambia sioni mtu mwingine ila wewe Yani Yusufu. Uwenda Mimi na wewe tungekuwa Yusufu tungejibu atupe sisi ile kazi.
Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa. P watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa. Mungu ameenda mbali nakusema kwakuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa. Wapo watu wanaona kesho ya hili Taifa sio kwa kubahatisha ila kwakuona in real time. Mbele za Mungu hakuna siri naomba ukasome Bible wakati fulani mfalme mmoja aliuliza hivi nani anavujisha siri za Jeshi letu mtu mmoja akamwambia ni nabii mmoja kule Israel anakaa milimani. Mfalme kwa hasiri akatuma Jeshi likamkamate kijakaz wake alipo ona akatetemeka sana akamwambia unatetemeka Nini angalia Jeshi limetuzunguka sisi ndipo Mungu akaliangamiza Jeshi lote kwa moto. Mungu huyu yupo hata leo. Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa. Jion njema
 
Ee Mungu tuondolee huyu kiongozi aliyepo, Iwe ni kwa mapinduzi ya kijeshi, kikatiba au kwa namna yoyote , ilimradi tuepukane na mateso haya tunayopitia wana wako.Amina 🙏
Mama hana baya, hajawahi kuua mtu, ni makosa tu yakibinadamu...kwaiyo ni ngumu sana kwa hayo maombi yako kumpata!
 
Ee Mungu tuondolee huyu kiongozi aliyepo, Iwe ni kwa mapinduzi ya kijeshi, kikatiba au kwa namna yoyote , ilimradi tuepukane na mateso haya tunayopitia wana wako.Amina [emoji120]
Hukusali hivyo wakati wa utawala wa muuaji, halafu unakuja kusali kwa mtu anayejali uhai wa binadamu, unategemea sala yako itasikika? Au unasali kwaajili yako, akupumzishe, kama ulivyosema, kwa sababu unateseka?
 
Litokee tu tupo tayari kulipokea hilo jambo maana maisha ya mtanzania hayajawai kuwa bora
Kwani yatakuwa Bora baada ya Katiba? Kenya na South Africa Kuna Katiba za kufukuza Rais,vipi maisha Yao Ni Bora?

Endelea kusubiria wanasiasa utalalamika Hadi unazikwa.
 
Back
Top Bottom