Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Ule wa Ben haukuwa unabii. Mashetani yalikuwa tayari yamepanga kumwua, kabla ya kumwua wakajifanya wanatabiri.

Hata katika haya, si ajabu wamepanga uovu fulani, halafu wanajifanya manabii, lakini kwa kuwa Mungu wetu husimama na wema, waliyoyapanga na kujifanya wanatabiri dhidi ya wengine, watakuwa kama Yahaya, wanajitabiria wao wenyewe.
inategemea upo upande gani.
 
Samahani.

Nje ya mada kidogo.

Hivi ni kitu gani hasa kiliipata au kilimpata #tanzagiza#?
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Mapango ajiandae na pia Mbowe asikae mbali sana.
 
Ee Mungu tuondolee huyu kiongozi aliyepo, Iwe ni kwa mapinduzi ya kijeshi, kikatiba au kwa namna yoyote , ilimradi tuepukane na mateso haya tunayopitia wana wako.Amina [emoji120]
Hiyo njia ya kwanza sio nzuri kabisa
 
20230105_172714.jpg
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
we poyoyo na nabii wa uwongo huu unabii wako ukapeleka jukwaa la wanawake km lipo siyo kutuletea siye wanaume na akili zetu. Km unamwabudu Magufuli fungua kanisa katafute wafuasi wako usituletee ibada za mizimu na wafu hapa.
 
Mkuu TumainiEl ,
  1. kwanza nimekukubali wewe ni nabii wetu humu, ila sio kila unabii ni lazima utoke kwa Mungu, na sio kila nabii ni lazima awe ni nabii wa Mungu, kuna manabii wa heri, hawa ndio manabii wa Mungu, na kuna manabii wa majanga, hawa ni manabii wa shetani
  2. Kwa kulitambua hili la kuwepo wa manabii wa ukweli na manabii wa uongo, nikashauri, kwa wale manabii wa ukweli, tuwasikilize Tanzania tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!
  3. Na kwa manabii wa majanga, nikashauri Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!
  4. Mtu yoyote wa kawaida, usie nabii unaweza kupewa maono ya unabii kwa njia Kuu mbili, 1. Kuoteshwa kwenye ndoto, 2. Kuisikia sauti " Voices from within".
  5. Unapopewa maono yoyote, ikitokea ni maono ya jambo baya, kama ile ndoto ya Lema, unachopaswa kufanya ni kuisema kwa uwazi, ili kwanza kui authenticate hiyo ndoto au hayo maono kama kweli ni ya Mungu au ni ya shetani.
  6. Kama ni ya Mungu, watu wa Mungu wanaingia kwenye sala, maombi ya kufunga na kuomba Mungu aliepushe hill jambo baya, na Mungu ni msikivu sana, analiepusha!, ndio maana nikakueleza, hata hili lako tumeisha liweka kwenye maombi, hivyo litaepushwa halitatokea tena kama lile, unless otherwise...
  7. Nikasema hata lile, lsingefanywa siri, watu wangeingia kwenye maombi kumlilia Mungu aliepushe, lakini ndio hivyo tena!, watu wakafanya siri, ndoto ya Lema ikatimia.
  8. Endelea kutuletea maono yoyote utakayo onyeshwa ili basi tuendelee kusali na kumlilia Mungu atuepushe na kutuvusha salama.
  9. Kwenye hili la maono ya sauti za kuambiwa, na mimi nisijiweke mbali, nimo nimo, kwa maoni ya zile sauti "Voices from within " na kitu kinachoitwa kauli umba "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia
  10. Kuhusu Tanzania yetu kuelekea 2025, sauti nilio isikia ni hii Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke.
Sawa Mkuu. Nashukuru Japo Kuna zaidi ya Hilo.🤐
 
we poyoyo na nabii wa uwongo huu unabii wako ukapeleka jukwaa la wanawake km lipo siyo kutuletea siye wanaume na akili zetu. Km unamwabudu Magufuli fungua kanisa katafute wafuasi wako usituletee ibada za mizimu na wafu hapa.
Sawa sijajuwa ni kwa nia gani ila angalia usije miss kuiona nchi ile kw kauli zako. Asante
 
Ule wa Ben haukuwa unabii. Mashetani yalikuwa tayari yamepanga kumwua, kabla ya kumwua wakajifanya wanatabiri.

Hata katika haya, si ajabu wamepanga uovu fulani, halafu wanajifanya manabii, lakini kwa kuwa Mungu wetu husimama na wema, waliyoyapanga na kujifanya wanatabiri dhidi ya wengine, watakuwa kama Yahaya, wanajitabiria wao wenyewe.
Nataka nikuthibitishe niliona ktk roho na Ben nikamuonya kilicho mkuta sijuwi
 
Sasa Kama lilitokea kubwa la kupoteza Rais aliyepo madarakani Kuna Jambo gani tena kubwa mzee?hata huyu aliepo madarakani Mwenyezi Mungu akamchukua hakutakuwa na ajabu acha kututisha hapa wewe
 
Nani alisoma...🤐
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
 
Moho tuachie timu yetu, umezidi utapeii ondoka kuanzia sasa tuiendeshe wenyewe
 
Back
Top Bottom