Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa Muislam au Mkristo au dini yete hakuna kulala hapa ni prayer mpaka kieleweke. Nasema hakuna kulala mpaka kieleweke Mungu atajibu kwa namma yakutishaSitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.
Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.
Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.
Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Tupo pamoja Mimi nipo na tasbihi yanguUkiwa Muislam au Mkristo au dini yete hakuna kulala hapa ni prayer mpaka kieleweke. Nasema hakuna kulala mpaka kieleweke Mungu atajibu kwa namma yakutisha
Kwa Kweli Mungu aingilie kati,Ukiwa Muislam au Mkristo au dini yete hakuna kulala hapa ni prayer mpaka kieleweke. Nasema hakuna kulala mpaka kieleweke Mungu atajibu kwa namma yakutisha
Tuko pamoja.Ukiwa Muislam au Mkristo au dini yete hakuna kulala hapa ni prayer mpaka kieleweke. Nasema hakuna kulala mpaka kieleweke Mungu atajibu kwa namma yakutisha
Serkali ya Tanzania haifanyi biashara sawa lakin serikali ya Dubai inafanya biashara na Bandar zetu huyu mama huyuKwa Kweli Mungu aingilie kati,
Nimemsikia sa100 anajibu kirahisi tu kuwa Serikali haifanyi biashara, ni sekta binafsi,
Eee Mwenyezi Mungu tafadhali ingilia kati,
Wao wanajivunia mapanga na mishale na ulinzi waliojizungushia,
Tunusuru na jambo hiki baya lisitokee.
Naunga mkono 100% ubinafsishaji.Ukiwa Muislam au Mkristo au dini yete hakuna kulala hapa ni prayer mpaka kieleweke. Nasema hakuna kulala mpaka kieleweke Mungu atajibu kwa namma yakutisha
Halafu anavyokausha kana kwamba hasikii mtetemo na mzizimo wa Nchi!!!!Serkali ya Tanzania haifanyi biashara sawa lakin serikali ya Dubai inafanya biashara na Bandar zetu huyu mama huyu
Hukuiona leo wala kesho...
Sala na maombi ndiyo yalisaidia kumuondoa jiwe. Lkn kwa uongozi huu wa watu sahau. Maana hata malaika wa mbinguni wanaufurahiaUkiwa Muislam au Mkristo au dini yete hakuna kulala hapa ni prayer mpaka kieleweke. Nasema hakuna kulala mpaka kieleweke Mungu atajibu kwa namma yakutisha
MmhSala na maombinyalisaidia kumuondoa jiwe tu. Lkn kwa uongozi huu wa watu sahau. Maana hata malaika wa mbinguni wanafurahia
Na kusonga wala sio adhabu.Lipi jipya?
Abdul Sykes kasonga
Nyerere kasonga
Mkapa kasonga
jiwe kasonga
karume kasonga
kombo kasonga
Kambona kasonga
KK kasonga
Malapa kasonga
Vimbunga vinasonga.
Vipindupindu vinasonga
Corona kasonga
Mtu mzima hatishiwi nyau.
Na wote tutasonga, kuna kipi kipya chini ya hili jua?
Kunani tena ndugu TumainiEl?Tumeuwona mkono wako tena Mungu. Asante