Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

2023 ni Mwaka wa uamsho.

Sheria zitaingia Kanisani Kutoka Watawala, zitapita nyakati ngumu kiasi.

NURU kuu itokayo juu itamulika na mataifa watakuja NYIKANI wakifurahi.

Mtawala ataisikia sauti yake BWANA pekee, hatauliza hatma kupitia Waganga na wachawi au Ramli, atauliza na kujibiwa na aliye Juu.

Mtawala atatawala na pembeni atasimama MWONAJI, NABII Kutoka Kwa BWANA aliye Juu na atamwelekeza Mfalme namna ya kuchunga watu wake.

Maziwa na Asali vitanyweka hapa NYIKANI. Wana wa Uasi, Wana ghasia watapondwa pondwa VICHWA.

Illuminati wamenyanganywa utawala juu ya Taifa lililochaguliwa Tanzania.

Umebarikiwa Tanzania yangu nzuri.

Aamen.
Acha upuuzi wewe,nitajie Nchi Moja tuu ambayo watu wanapata asali na maziwa hapa Africa.
 
Tozo njaq umasikini miundombinu mibovu inaua watu kila siku wewe unasema sio muuaji??
Mama hana baya, hajawahi kuua mtu, ni makosa tu yakibinadamu...kwaiyo ni ngumu sana kwa hayo maombi yako kumpata!
 
Hukusali hivyo wakati wa utawala wa muuaji, halafu unakuja kusali kwa mtu anayejali uhai wa binadamu, unategemea sala yako itasikika? Au unasali kwaajili yako, akupumzishe, kama ulivyosema, kwa sababu unateseka?
Muuaji ni huyu anayeua masikini kwa tozo za kipumbavu
 
Mama hana baya, hajawahi kuua mtu, ni makosa tu yakibinadamu...kwaiyo ni ngumu sana kwa hayo maombi yako kumpata!
Unajua hizo tozo zimeua na kuleta mateso kwa wangapi? Unajua umeme wa shida unatesa wangapi? Unajua huduma mbovu za afya n miundombinu mibovu inaua wangapi??
 
Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa. P watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa. Mungu ameenda mbali nakusema kwakuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa. Wapo watu wanaona kesho ya hili Taifa sio kwa kubahatisha ila kwakuona in real time. Mbele za Mungu hakuna siri naomba ukasome Bible wakati fulani mfalme mmoja aliuliza hivi nani anavujisha siri za Jeshi letu mtu mmoja akamwambia ni nabii mmoja kule Israel anakaa milimani. Mfalme kwa hasiri akatuma Jeshi likamkamate kijakaz wake alipo ona akatetemeka sana akamwambia unatetemeka Nini angalia Jeshi limetuzunguka sisi ndipo Mungu akaliangamiza Jeshi lote kwa moto. Mungu huyu yupo hata leo. Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa. Jion njema
Mkuu TumainiEl ,
  1. kwanza nimekukubali wewe ni nabii wetu humu, ila sio kila unabii ni lazima utoke kwa Mungu, na sio kila nabii ni lazima awe ni nabii wa Mungu, kuna manabii wa heri, hawa ndio manabii wa Mungu, na kuna manabii wa majanga, hawa ni manabii wa shetani
  2. Kwa kulitambua hili la kuwepo wa manabii wa ukweli na manabii wa uongo, nikashauri, kwa wale manabii wa ukweli, tuwasikilize Tanzania tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!
  3. Na kwa manabii wa majanga, nikashauri Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!
  4. Mtu yoyote wa kawaida, usie nabii unaweza kupewa maono ya unabii kwa njia Kuu mbili, 1. Kuoteshwa kwenye ndoto, 2. Kuisikia sauti " Voices from within".
  5. Unapopewa maono yoyote, ikitokea ni maono ya jambo baya, kama ile ndoto ya Lema, unachopaswa kufanya ni kuisema kwa uwazi, ili kwanza kui authenticate hiyo ndoto au hayo maono kama kweli ni ya Mungu au ni ya shetani.
  6. Kama ni ya Mungu, watu wa Mungu wanaingia kwenye sala, maombi ya kufunga na kuomba Mungu aliepushe hill jambo baya, na Mungu ni msikivu sana, analiepusha!, ndio maana nikakueleza, hata hili lako tumeisha liweka kwenye maombi, hivyo litaepushwa halitatokea tena kama lile, unless otherwise...
  7. Nikasema hata lile, lsingefanywa siri, watu wangeingia kwenye maombi kumlilia Mungu aliepushe, lakini ndio hivyo tena!, watu wakafanya siri, ndoto ya Lema ikatimia.
  8. Endelea kutuletea maono yoyote utakayo onyeshwa ili basi tuendelee kusali na kumlilia Mungu atuepushe na kutuvusha salama.
  9. Kwenye hili la maono ya sauti za kuambiwa, na mimi nisijiweke mbali, nimo nimo, kwa maoni ya zile sauti "Voices from within " na kitu kinachoitwa kauli umba "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia
  10. Kuhusu Tanzania yetu kuelekea 2025, sauti nilio isikia ni hii Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke.
 
Dah
tapatalk_1647288237601.jpg
 
Siku serikali ikisema inagawa hela ndo nitaona muujiza haya mengine kawaida sana kutokea.
 
Huyu jamaa kila siku anatutisha na tabiri zake lkn hakuna kilichowahi kutokea.
Huyu jamaa alishawahi kumwambia Ben Saanane kwamba ajiangalie atapotea. Halafu kweli baadae Ben akapotea hadi Leo haijulikani yupo wapi
 
Sukuma gang hawaamini macho yao, walizoea kuteka na kuuwa watu, Sasa wapo frustrated mama hataki hata kuwasikia, Sasa wamejigeuza wanajimu.

Huyu anajuwa kila kitu kuhusu Ben Saanane, huyu ni wakala wa shetani.

Huyo jamaa anajuwa Ben Saanane alipo dead or alive.
Stupid brain can not prove this , Jpm is no more why can't you ? Unakoroma Ben , umeshindwa nini kumleta?
Nchi iko gizani, hakuna umeme, hakuna chakula, madeni yanapaa bila corresponding results!!!!
Only stupid brain can gulp this.
 
Huyu jamaa alishawahi kumwambia Ben Saanane kwamba ajiangalie atapotea. Halafu kweli baadae Ben akapotea hadi Leo haijulikani yupo wapi
Ule wa Ben haukuwa unabii. Mashetani yalikuwa tayari yamepanga kumwua, kabla ya kumwua wakajifanya wanatabiri.

Hata katika haya, si ajabu wamepanga uovu fulani, halafu wanajifanya manabii, lakini kwa kuwa Mungu wetu husimama na wema, waliyoyapanga na kujifanya wanatabiri dhidi ya wengine, watakuwa kama Yahaya, wanajitabiria wao wenyewe.
 
Yani wewe jamaa kila siku tu unatamani tufwe kabisa.Ni kutuombea mabaya tu
 
Sitaki kuandika sana ila kama ilivyo kawaida ya sisi waona mbali na wausia watanzania mlio nje ya Taifa na ndani fungue macho, jambo kubwa lina enda kutokea machoni pa Taifa ktk wakati hakuna angeweza kutarajia au kufikiri hivyo basi ni Maombi yangu na maombi yako yataliponya Taifa.

Kama ni Mkristo au muhisilam au mpagani unashauriwa kusali. Hakuna jambo linaweza kutokea ndani ya Taifa Mungu asizungumze na watu ndani ya Taifa. Wapo watu wanajuwa kile chaweza kutokea wapo wanatembea na siri mioyoni ila mara zote haijawahi kuwa kawaida kiongozi kufia madarakani. Hayati Magufuli amelala ila cheche na mshindo wakifo chake ni mambo yatalitesa Taifa na chama kwa muda mrefu.

Wengi hatujuwi wengi tumelala japo wapo watu hawalali mpaka hali itakuwa shwari. Ndio maana kwa wale tuna Dhani au tunafikiri Magufuli alikuwa mbaya mwisho tutafunga midomo na kulilia vyumbani Mungu atusamehe.

Mungu wangu Tukumbuke Watanzania tulio ktk hali dhaifu na tulio choka maumivu yetu sio juu ya kutawala tunataka mkate na chai tupote njaa zetu wao wanataka madaraka ila sisi tuna njaa. Baba tuhurumie tuhurumie Watanzania tumekosa tena tumekosa sana. End
Mngekufa na mfugaji wenu tuu hatuna damu za kuwanywesha tena.
 
Back
Top Bottom