Jambo la kwanza unalopaswa kujua unapomkubali Mungu: Mungu ni tajiri na shetani ni masikini

Jambo la kwanza unalopaswa kujua unapomkubali Mungu: Mungu ni tajiri na shetani ni masikini

Biblia inatuambia kuwa ULIMWENGU NA VIUJAZAVYO NI MALI YA MUNGU

Kwenye Bible hiyohiyo Shetani alimwambia Yesu, ukinipigia magoti na kuniabudu nakupa milki zote za ulimwengu! Alipata wapi ujasiri huo

Kwanini watu wanaoonekana kuwa karibu sana na Mungu ni masikini? Na matajiri wengi wanasemekana kutumia nguvu za Giza?
Kumbuka alikuwa anamjaribu. Kujaribu mtu unajisemea chochote ili upate lengo lako. Pili Shetani na Yesu wanajuana sana kuliko sisi. Maana Yeye ndiye aliyemuumba. Pia kumbuka shetani mwongomwongo.

Kwa nini watu wa Mungu wanaonekana masikini. Ni kwa sababu wanapenda. Na kwa sababu hawajui na hawataki kujua hili. Focus yao kubwa ni utajiri ujao ambayo iko sahihi. Ila hata huu wakiutaka watamiliki na ule mwingine wataupata.
Ibrahimu aliutaka akamiliki na hakuna aliyemgusa na hakuna maskini mchamungu mwenye imani kama ya mcha Mungu tajiri Ibrahim
 
Mungu alipumba binadamu wa kwanza alikuwa tajiri sana.

Walipewa dunia nzima kama shamba. Na alimuwekea hazina ya dhahabu safi bustanini eden ya thamani ya matrillion mara trillion.

Adam na eva walikuwa matrillionea.

Umasikini uliingia kwa sababu ya dhambi. Hapakuwa na binadamu masikini kabla ya dhambi na hapata kuwa na binadamu masikini baada ya watu wake kuokolewa.

Shetani ni mwizi, masikini na mjanjamjanja.

Hii isitoke akilini mwako.
AMEEN.When you carry God you Carry everything
 
Mungu alipumba binadamu wa kwanza alikuwa tajiri sana.

Walipewa dunia nzima kama shamba. Na alimuwekea hazina ya dhahabu safi bustanini eden ya thamani ya matrillion mara trillion.

Adam na eva walikuwa matrillionea.

Umasikini uliingia kwa sababu ya dhambi. Hapakuwa na binadamu masikini kabla ya dhambi na hapata kuwa na binadamu masikini baada ya watu wake kuokolewa.

Shetani ni mwizi, masikini na mjanjamjanja.

Hii isitoke akilini mwako.
Ni ajabu kuona Homo Sapiens wa karne ya 21 anaamini habari za Adam & Eva, Mungu & Shetani..

Imani ni shambulio la akili
 
Ni ajabu kuona Homo Sapiens wa karne ya 21 anaamini habari za Adam & Eva, Mungu & Shetani..

Imani ni shambulio la akili
Mafanikio ya awalibya LGBTQH ni kuhakikisha wanakejeli uumbaji wa mtu mke na mme, ili watu wanaodhani wanaakili kwa kupuuza hili waangamie kwa kukosa maarifa.
 
Mungu alianza kuumba dhambi kabla ya kuumba shetani
Rejea isaya 45:7
"I form light and creat darkness,I make peace and creat evil" Isaiah 45:7
Katika hili andiko tunaona kuwa Mungu ndio alioumba dhambi na maovu hata shetani asingekuwepo dhambi ingekuwepo kwa maana tayari ilishaumbwa kwa maneno rahisi Mungu ndio shetani mwenywe hivyo yote ya dunia yeye ndio mpngaji kwa uelwa zaidi hakuna Shetani bali ni Mungu katka vazi jingine
mungu wa dunia hii ndio Baba wa uongo wote, joka jekundu audanganyaye ulimwengu wote ndiye ibilisi na shetani. Kichapo alichopewa na kunyang'anywa funguo za mamlaka na Bwana Yesu kule kuzimu hata kisahau kamwe.
 
Mafanikio ya awalibya LGBTQH ni kuhakikisha wanakejeli uumbaji wa mtu mke na mme, ili watu wanaodhani wanaakili kwa kupuuza hili waangamie kwa kukosa maarifa.
Logical non sequitur

Mimi siongelei hayo
 
Waliozingatia hayo maneno kutoka kwa wamisionari na wakaamini wanaishi katika umasikini wa kujitakia. Nakupa utafiti "kwa mlokole wa kweli kabisa, maisha yake ni ya kimasikini.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mungu alipumba binadamu wa kwanza alikuwa tajiri sana.

Walipewa dunia nzima kama shamba. Na alimuwekea hazina ya dhahabu safi bustanini eden ya thamani ya matrillion mara trillion.

Adam na eva walikuwa matrillionea.

Umasikini uliingia kwa sababu ya dhambi. Hapakuwa na binadamu masikini kabla ya dhambi na hapata kuwa na binadamu masikini baada ya watu wake kuokolewa.

Shetani ni mwizi, masikini na mjanjamjanja.

Hii isitoke akilini mwako.
Barikiwa mtumishi🙏
 
Mungu alipumba binadamu wa kwanza alikuwa tajiri sana.

Walipewa dunia nzima kama shamba. Na alimuwekea hazina ya dhahabu safi bustanini eden ya thamani ya matrillion mara trillion.

Adam na eva walikuwa matrillionea.

Umasikini uliingia kwa sababu ya dhambi. Hapakuwa na binadamu masikini kabla ya dhambi na hapata kuwa na binadamu masikini baada ya watu wake kuokolewa.

Shetani ni mwizi, masikini na mjanjamjanja.

Hii isitoke akilini mwako.
Thibitisha huyo Mungu yupo kweli na habari za kuwapo kwake si porojo tupu za watu tu.
 
Inawezekana una hoja ila umeshindwa kuijenga vizuri. Tuliza akili haraka ya nini.
Amemaanisha kwamba, ukifanya kazi kwa bidii, malengo na maombi mbele za MUNGU, Kisha usitende dhambi unabarikiwa na unaweza kua Tajiri

Zingatia usitende dhambi
 
Kwanza lazima ujue Mungu ni nani maana hata Yesu Katika Yohana 4:20 alisema mnaabudu msichokijua lakini hakufafanua zaidi.

Mungu wapo wengi sana katika majira na wakati tofauti hadi leo hii.Ila Muumba wa vyote wote na yote ni mmoja tu na hagawanyiki.

Warumi 11:36 Kwa kuwa vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, tena vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amina.

Zekaria 14:9 Naye Bwana atakuwa Mfalme juu ya nchi yote; siku hiyo Bwana atakuwa mmoja, na jina lake moja.
 
Back
Top Bottom