Wakuu muda flani hapo nyuma nilikuwa na GF ambaye tulipendana, tukakosana kwa mambo ya kitoto tu, sasa kuna muda akapata mtu wa kumuoa kwakuwa bado tulikuwa marafiki wa kawaida akaja kwangu na jambo la ajabu kidogo.Huyo jamaa anaetaka kumuoa alishapima akajua hawezi kuzaa yaani mbegu zake zina matatizo,wakawa wameelewana apatikane mtu wa kumpa mimba ili aolewe na mimba ndogo jamaa ijulikane anaweza.Alinionyesha picha ya jamaa ambaye kwa mbaali tumefanana kidogo.
Nikamwambia nitafikiria na pia nikikubali nataka nisikie kauli ya jamaa na pia sitaki kuhusika na kitu chochote baada ya hapo.Zoezi lilifanyika mimba ikapatikana na mtoto wa kike kuzaliwa tukapoteza mawasiliano kama tulivyoelewana.Juzi kati bibie kanifata(baada ya miaka mitano) mumewe alifariki mwanzoni wa mwaka huu na yeye hana uwezo wa kumtunza mtoto peke yake,mtoto ana matatizo ya kiafya kibao asthma,tumbo nk kwa kifupi ni high maintenance kila wiki hospitali.Familia ya mumewe wamechukua kila kitu na hana nguvu wala muda wakupigania mali.Kapata kazi Zambia anadai hawezi kwenda na mtoto na kwakuwa mimi ni baba nimchukue.
Nimemweleza wife kila kitu kasema hana tatizo la mimi na yeye kumsaidia kifedha lakini swala la kubwagiwa mtoto mgonjwa hataki kulisikia na maelewano si yalikuwa tusijuwane tena?Tusaidiane mawazo wakuu.
Nikamwambia nitafikiria na pia nikikubali nataka nisikie kauli ya jamaa na pia sitaki kuhusika na kitu chochote baada ya hapo.Zoezi lilifanyika mimba ikapatikana na mtoto wa kike kuzaliwa tukapoteza mawasiliano kama tulivyoelewana.Juzi kati bibie kanifata(baada ya miaka mitano) mumewe alifariki mwanzoni wa mwaka huu na yeye hana uwezo wa kumtunza mtoto peke yake,mtoto ana matatizo ya kiafya kibao asthma,tumbo nk kwa kifupi ni high maintenance kila wiki hospitali.Familia ya mumewe wamechukua kila kitu na hana nguvu wala muda wakupigania mali.Kapata kazi Zambia anadai hawezi kwenda na mtoto na kwakuwa mimi ni baba nimchukue.
Nimemweleza wife kila kitu kasema hana tatizo la mimi na yeye kumsaidia kifedha lakini swala la kubwagiwa mtoto mgonjwa hataki kulisikia na maelewano si yalikuwa tusijuwane tena?Tusaidiane mawazo wakuu.