Pre GE2025 Jambo TV yasema itarusha Live mkutano wa CHADEMA licha ya kupewa vitisho

Pre GE2025 Jambo TV yasema itarusha Live mkutano wa CHADEMA licha ya kupewa vitisho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mh, mkuu kunavimoderator vichawa siku hizi, haiwezi kunoga.

Wee fikiria mtu yeyote akianzisha uzi uhusuo ulinzi ama usalama ama mambo yanayogusa watawala kwa uwazi, dk5 nyingi tayari washaufuta!

Kwa hiyo humu tayari kuna mapandikizi na machawa ngazi za moderators wa kutosha, tusijiamini wala kujipa matumain kwa Jf kama mwanzo ilivyojinasibu kwa uanzishwaji wake.
Still bado kuna nafuu mkuu.
 
Vitisho vya aina yoyote ile na Lobbying yoyote ile kwenye Media kuelekea Press conference ya Mhe. Freeman Mbowe @freemanmbowetz havina nafasi kwenye Uhuru wa Habari.

Kwani Freeman Mbowe hapaswi kupewa nafasi ya kusikika na Watanzania kupitia vyombo vya habari? Kama kurusha Matangazo ya Mkutano wa Freeman Mbowe na waandishi wa Habari ni kinyume na Sheria za Nchi bila kujali anazungumza nini basi tuko tayari kubeba gharama ya kufanya hivyo.

Tunaamini kwenye Uhuru wa kujieleza na tutasimama na hii imani yetu bila kujali matokeo, mtu asihangaike kupiga simu, JamboTV tutakuwa Mubashara/ Live kuanzia saa tisa kamili.
Naogopa wasije wakawazingira!
 
Vitisho vya aina yoyote ile na Lobbying yoyote ile kwenye Media kuelekea Press conference ya Mhe. Freeman Mbowe @freemanmbowetz havina nafasi kwenye Uhuru wa Habari.

Kwani Freeman Mbowe hapaswi kupewa nafasi ya kusikika na Watanzania kupitia vyombo vya habari? Kama kurusha Matangazo ya Mkutano wa Freeman Mbowe na waandishi wa Habari ni kinyume na Sheria za Nchi bila kujali anazungumza nini basi tuko tayari kubeba gharama ya kufanya hivyo.

Tunaamini kwenye Uhuru wa kujieleza na tutasimama na hii imani yetu bila kujali matokeo, mtu asihangaike kupiga simu, JamboTV tutakuwa Mubashara/ Live kuanzia saa tisa kamili.
Nadhani Mh. Rais alikuwa ana danganya watu na 4R zake.
Haya tunayo yaona siku hizi za karibuni ni ishara tosha kwamba kuna ulaghai ulio kithiri kwenye kauli ya 4R. Pia tume ya haki jinai ilikuwa ni Issue ya matumizi mabaya ya kodi zetu. Hakukuwa na sababu za msingi kuanzisha ile thme na kuwapa facility zote kwa gharama za Watanzania halafu vyombo vya dola vina fanya mambo ya utawala wa Magufuli.
Na Rais amekaa kimya kama msemo wake wa chura.
Kama alikuwa ame maanisha na 4R zake tulitegemea kuona IGP, kamishna wa Mafunzo na operesheni na Waziri mwenye dhamana ya Wizara ya mambo ya ndani wakiwa wamesha tuachia ofisi zetu
Tuna laani yanayo fanyika hivi sana kwa vyama vya upinzani na Rais amekaa kimya.
Hii ina tuaminisha kuwa ni kweli Chadema wali gundua ulaghai wa hali ya juu kwenye vikao vya maridhiano ambavyo havikuwa na tija.
 
Nadhani Mh. Rais alikuwa ana danganya watu na 4R zake.
Haya tunayo yaona siku hizi za karibuni ni ishara tosha kwamba kuna ulaghai ulio kithiri kwenye kauli ya 4R. Pia tume ya haki jinai ilikuwa ni Issue ya matumizi mabaya ya kodi zetu. Hakukuwa na sababu za msingi kuanzisha ile thme na kuwapa facility zote kwa gharama za Watanzania halafu vyombo vya dola vina fanya mambo ya utawala wa Magufuli.
Na Rais amekaa kimya kama msemo wake wa chura.
Kama alikuwa ame maanisha na 4R zake tulitegemea kuona IGP, kamishna wa Mafunzo na operesheni na Waziri mwenye dhamana ya Wizara ya mambo ya ndani wakiwa wamesha tuachia ofisi zetu
Tuna laani yanayo fanyika hivi sana kwa vyama vya upinzani na Rais amekaa kimya.
Hii ina tuaminisha kuwa ni kweli Chadema wali gundua ulaghai wa hali ya juu kwenye vikao vya maridhiano ambavyo havikuwa na tija.
Ukiona yanayofanyika sasa hivi unajua maji yameshazidi unga
 
Back
Top Bottom