shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Utajua mwenyewe ila kengeza lazima asoteshwe gaidi mkubwauna akili ndogo kweli wewe ndo maana hujui kutofautisha kati ya PORISI na POLISI. Bila shaka ni zao la shule za kata tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajua mwenyewe ila kengeza lazima asoteshwe gaidi mkubwauna akili ndogo kweli wewe ndo maana hujui kutofautisha kati ya PORISI na POLISI. Bila shaka ni zao la shule za kata tu
Butu kabisaWe endelea kulelewa kwa shemeji Yako mbwa wewe.
Bi Tozo anaemlisha bwana ako anqmgwaya panya tulia huko huko uvunguni😂😂😂😂.
Wanaume wapo kazini
Still bado kuna nafuu mkuu.Mh, mkuu kunavimoderator vichawa siku hizi, haiwezi kunoga.
Wee fikiria mtu yeyote akianzisha uzi uhusuo ulinzi ama usalama ama mambo yanayogusa watawala kwa uwazi, dk5 nyingi tayari washaufuta!
Kwa hiyo humu tayari kuna mapandikizi na machawa ngazi za moderators wa kutosha, tusijiamini wala kujipa matumain kwa Jf kama mwanzo ilivyojinasibu kwa uanzishwaji wake.
Naogopa wasije wakawazingira!Vitisho vya aina yoyote ile na Lobbying yoyote ile kwenye Media kuelekea Press conference ya Mhe. Freeman Mbowe @freemanmbowetz havina nafasi kwenye Uhuru wa Habari.
Kwani Freeman Mbowe hapaswi kupewa nafasi ya kusikika na Watanzania kupitia vyombo vya habari? Kama kurusha Matangazo ya Mkutano wa Freeman Mbowe na waandishi wa Habari ni kinyume na Sheria za Nchi bila kujali anazungumza nini basi tuko tayari kubeba gharama ya kufanya hivyo.
Tunaamini kwenye Uhuru wa kujieleza na tutasimama na hii imani yetu bila kujali matokeo, mtu asihangaike kupiga simu, JamboTV tutakuwa Mubashara/ Live kuanzia saa tisa kamili.
Hili ni wazo zuri , Maxence Melo kaka uliangalie hiliJf tuwe na online channel yetu bana.Khaaaaa
Porisi=polisi.... Afu wapuuzi kma nyie huwa mnafi..rwaYaani natamani wapigwe virungu na huyo mbowe mpaka avunjwe kiuno aliye mamaaaaaa hahaha bahati yenu ningekuwa porisi mgekoma ni mitama na mingumi tu waadishi ka ninyi
Hivi kwanini msifungue kesi ya huo ugaidi? Why yupo uraiani wakati ni gaidi?Utajua mwenyewe ila kengeza lazima asoteshwe gaidi mkubwa
🤣🤣🤣jf hapana ......ww hebu tangulia mirembe file lako nimelipeleka tangu jana🤣🤣🤣🤣Yaani natamani wapigwe virungu na huyo mbowe mpaka avunjwe kiuno aliye mamaaaaaa hahaha bahati yenu ningekuwa porisi mgekoma ni mitama na mingumi tu waadishi ka ninyi
sibora kengeza kuliko msuguaji v.... mi vya wenziweUtajua mwenyewe ila kengeza lazima asoteshwe gaidi mkubwa
Huyo ni muuza k ndiyo maana hana akili.Alafu unsmtoto anakwenda shule na hospital na kuna wakati unakwenda dukani kutafuta mahitaji yako, na unataka mwanasiasa auwawe nyau wewe
Nadhani Mh. Rais alikuwa ana danganya watu na 4R zake.Vitisho vya aina yoyote ile na Lobbying yoyote ile kwenye Media kuelekea Press conference ya Mhe. Freeman Mbowe @freemanmbowetz havina nafasi kwenye Uhuru wa Habari.
Kwani Freeman Mbowe hapaswi kupewa nafasi ya kusikika na Watanzania kupitia vyombo vya habari? Kama kurusha Matangazo ya Mkutano wa Freeman Mbowe na waandishi wa Habari ni kinyume na Sheria za Nchi bila kujali anazungumza nini basi tuko tayari kubeba gharama ya kufanya hivyo.
Tunaamini kwenye Uhuru wa kujieleza na tutasimama na hii imani yetu bila kujali matokeo, mtu asihangaike kupiga simu, JamboTV tutakuwa Mubashara/ Live kuanzia saa tisa kamili.
Saivi amemixiwa hajui ashike wapiKitambo mno nilisema hizo 4R za huyo bibi wa Kizimkazi hazina tofauti na utapeli wa mkataba aliosaini wa DP World.
Ukiona yanayofanyika sasa hivi unajua maji yameshazidi ungaNadhani Mh. Rais alikuwa ana danganya watu na 4R zake.
Haya tunayo yaona siku hizi za karibuni ni ishara tosha kwamba kuna ulaghai ulio kithiri kwenye kauli ya 4R. Pia tume ya haki jinai ilikuwa ni Issue ya matumizi mabaya ya kodi zetu. Hakukuwa na sababu za msingi kuanzisha ile thme na kuwapa facility zote kwa gharama za Watanzania halafu vyombo vya dola vina fanya mambo ya utawala wa Magufuli.
Na Rais amekaa kimya kama msemo wake wa chura.
Kama alikuwa ame maanisha na 4R zake tulitegemea kuona IGP, kamishna wa Mafunzo na operesheni na Waziri mwenye dhamana ya Wizara ya mambo ya ndani wakiwa wamesha tuachia ofisi zetu
Tuna laani yanayo fanyika hivi sana kwa vyama vya upinzani na Rais amekaa kimya.
Hii ina tuaminisha kuwa ni kweli Chadema wali gundua ulaghai wa hali ya juu kwenye vikao vya maridhiano ambavyo havikuwa na tija.