James Mbatia amkingia kifua Spika Ndugai, kwenda mahakamani kuzuia mchakato wa kutafuta Spika mpya

Tulia weweee...la sivyo utaanza kuhudhuria clinic ya moyo...si kwa hiz hasira ulizokuwa nazo..kpnd cha magu mlikuwa mnanyonga tu kamkujifunza kuchinjaa....sasa yamewafika mnaanza kupiga mikelele....muache ****** avune alichopanda
 
Hata kwenye talaka kuna wengine huwa ni ving’ang’anizi unasema nimekupa talaka anakuambia twende mahakamani
Naona inakaribiana na hii kidogo
 
Haijalishi ameondoka lwa usahihi ama isivyo ila aende zake huyo shem wa Yesu.

Kwani yeye aliwaingiza wale covid 19 wakina mzee kwa kufuata katiba?


Hawa watu wa ajabu wakina Mbatia wanatokea wapi? Wapumzike huko jamani aaaarrrrghhhr
 
"Utaratibu uliofanyika jana wa Job Ndugai kujiuzulu Uspika wake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara 149 haikufatwa, kwahiyo ndugu Ndugai mpaka sasa hivi bado ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitakiwa kwenda kujiuzulu mbele ya Kikao cha Kamati ya Bunge”

Asema James Mbatia, Mwenyekiti NCCR Mageuzi.
 
Si yupo Naibu Spika yeye ndio atawahabarisha wabunge kilichojiri kisha mchakato wa uchaguzi wa Spika utaendelea.
 
Mzee Mbatia anakurupuka sana, sijui ana matatizo gani.
huenda ana matatizo ya kisaikolojia yanamsibu.
 
Kweli what goes around comes around. Huyu si ndio aliwang'ang'ania wale wanawake 19 pamoja na kuvuliwa uanachama na chama chao? Na pia alikataa kumtoa ubunge yule jamaa wa Mtwara pamoja na kua jamaa alijiuzulu mwenyewe!!!

Sasa naona wachambuzi wanasema eti na yule aliyekua anakataa barua za vyama kuwakana wabunge wao anaambiwa barua yake haitambuliki

Nchi ngumu hii!!!
 
Basi mwambieni agome kutoka kwny nyumba ya spika na kurudisha lile joho.
 

Si ajabu na hata kwenye kuituma pia. Kwani Ayubu mwenyewe hata hadharani kaonekana?
 
Kumekucha! Unaweza kukuta shughuli ndio kwanza imeanza [emoji2960]
We jamaa utakuwa umekatiwa mrija , comment zako nyingi zinatia huruma sikuhizi. Kipindi cha mwendazake ulikuwa unapiga sana makofi, mwacheni SSH ajenge nchi ndio kwanza ana miezi 9.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…