James Mbatia amkingia kifua Spika Ndugai, kwenda mahakamani kuzuia mchakato wa kutafuta Spika mpya

View attachment 2071935
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mhe.James Mbatia amesema atakwenda Mahakamani kuzuia mchakato wa kumpata Spika mpya wa Bunge kwa sababu Mhe.Job Ndugai hakufuata taratibu za kisheria na kikatiba kujiuzulu nafasi ya Spika wa Bunge.
Hivi wanakuwa hawana kazi nyingine za kufanya hawa watu?
 
Wazee wa legacy mpoooo!!! Mtapata tabu sana
 
Hizo Hadithi za vijiweni unazileta huku?

Kumbe wewe hujui maishani sisi tunasikia wewe ni mtu aina gani?

"Tunaambiwa wewe ni chakla ya wajanja eti!"

Habari ndiyo hiyo.
Akina James Delicious na Anti Bilali wanafahamika na huyo Mbatia wenu. Kumuingiza Sruxnet kwenye kundi hilo Ili kum discourage asitaje ni sawa tu na kumuingiza brazaj na kumuita boflo wakati SI kweli
 
Akina James Delicious na Anti Bilali wanafahamika na huyo Mbatia wenu. Kumuingiza Sruxnet kwenye kundi hilo Ili kum discourage asitaje ni sawa tu na kumuingiza brazaj na kumuita boflo wakati SI kweli

Habari iliyoenea zaidi ni kuwa James Delicious ni Stuxnet. Avatar mavalio kama kamanda kumbe bwabwa lililoshindikana.

Tafadhali usitumie majina yetu kwenye biashara zako. Wewe na biashara yako na marinda yako inatuhusu nini sisi wengine?
 
Habari iliyoenea zaidi ni kuwa James Delicious ni Stuxnet. Avatar mavalio kama kamanda kumbe bwabwa lililoshindikana.

Tafadhali usitumie majina yetu kwenye biashara zako. Wewe na biashara yako na marinda yako inatuhusu nini sisi wengine?
Sikikiliza wewe brazaj kwani kama wewe siyo shoga, mtu akikuandika humu JF kuwa ni shoga kwani utakuwa shoga? Waachie wenye fani zao wenyewe akina Mbatia, acha kung'ang'ania kuitwa shoga. Mbona Mbatia mwenyewe hajawahi kubisha mpaka Bungeni alipoulizwa swali na Lyatonga Mrema
 
Fact
 
View attachment 2071935
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mhe.James Mbatia amesema atakwenda Mahakamani kuzuia mchakato wa kumpata Spika mpya wa Bunge kwa sababu Mhe.Job Ndugai hakufuata taratibu za kisheria na kikatiba kujiuzulu nafasi ya Spika wa Bunge.

Kwani hao wabunge wapo hapo kwa kuchaguliwa kisheria Na Katiba?
 
View attachment 2071935
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mhe.James Mbatia amesema atakwenda Mahakamani kuzuia mchakato wa kumpata Spika mpya wa Bunge kwa sababu Mhe.Job Ndugai hakufuata taratibu za kisheria na kikatiba kujiuzulu nafasi ya Spika wa Bunge.
Huyu jamaa mpumbavu sana,anasahau ile hongo aliyopewa na ccm kuharibu uchaguzi kule pemba kwrnye kura za maruhani?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…