Katoa amri, kama mama suluhu tu anaomba watendaji wa taasisi na mamlaka wazingatie kanuni na sheria katika uwajibikaji yeye Mbatia anatoa amri kama nani?acha kukwepesha kwani huyo mbatia katoa ni amri au ushauri
Watu wanajiropokea tu wanavyotaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana nasema tofauti itaonekana mapema sana[emoji23]
😅😅😅😅! Wakati mwanasheria huyo nguli akifafanua hayo kikatiba, mwenzie Tabibu nguli Dr. Selemani Jafo alikuwa akitoa ratiba ya nyungu season 3 nchi nzima. Hii nchi ilichezewa sana awamu ya 5 au namsema uwongo ndugu zangu?!Huo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Iwapo hujui kusoma post za JF ukazielewa kabla ya kuzikibu unaweza kusoma katiba ukaielewa kweli?Unatumia akiri gani wewe kasome vizuri acha upotoshaji.Uyu hakukaimu urais ni Rais full anatakiwa kupanga watu wa kufanya nao kazi.Rudia tena na tena uone kifungu icho kinamzungumzia nani?
Kabisa ili mama aongoze nchi bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli, inabidi avunje hilo baraza haraka. Ma hata hao mawaziri hilo wanalijua, lakini wanalazimisha kuwepo ili kumtisha huyo mama asiwaguse. Na kwenye kuunda baraza lake ahakishe Majaliwa, Kabudi, Mwigulu na Jafo wasiwepo. Wale wate waliokuwa wanajipendekeza wazi wazi kwa Magufuli awapige chini haraka maana ndio watamkwamisha. Hao waliokuwa mawaziri wa wizara nyingine, awageuze kuwa manaibu mawaziri.
Anajua hawezi kupenya!Mwigulu nchemba hataki baraza lifunjwe
Kwani sisi wananchi tulimchagua rais?Rais Mpya atatushangaza Watanzania na dunia kwa ujumla iwapo ataendelea kufanya kazi na Baraza la Mawaziri ambalo hakuliapisha yeye kama Rais!
Wakati unampigia kura magufuli,ni wakati huo huo ulimchagua na Makamu wake.kwani sisi wananchi tulimchagua rais??
Punda Hawendi ila kwa Magongo ndio waleee. Nataka mama Samia ukimpa adhabu mtu usimwangalie machoni mpe kama humjui vile hawa watu ni vichwa ngumu sana so wape adhabu ya kijapani SAMURAI mwambie kisu hicho hapo jiue mwenyewe.Yes ofcourse, kwa nature ya watanzania wanatakiwa kuongozwa kama mifugo sababu ustaarabu ni kipengele kwao. Awe na elimu asiwe nayo wana asili ya ujuaji sana ndugu zetu hawa.
Wewe ndio mbrashi viatu wa Majaliwa?Hiyo roho mbaya yako itakufikisha wapi?