Majaliwa pia ni mtu muongo anasema uongo akiwa msikitini ilo nalo linamtosha kujiuzuru tuMajaliwa anatakiwa aonyeshe njia, anapaswa kujiuzuru ili kumpa nafasi mama Samia kuunda baraza lake la mawaziri.
Kitendo cha Majaliwa kung'ang'ania madaraka ni kitendo cha aibu kwa taifa na kinaweza kutoa ishara kuwa huenda Majaliwa ni mmoja ya wahusika wa lile genge lililohisiwa kuwa linataka kumpora mama madaraka ya kiti cha urais.
Majaliwa onyesha njia sasa.
Jiuzuru haraka iwezekanavyo.
Hapana tusimuonee Majaliwa. Kama katiba yetu haisemi wazi nini kinatakiwa kufanyika makamu rais akirithi urais,inabidi tuwalaaum ccm kwa kukataa katiba mpya ambayo ingeweka Kila kitu wazi na kwa utashi wa wananchi wenyewe. Kwa Sasa tumuachie Mama Suluhu atafute suruhu kwa busara zake. Ila Minyani itakayokataa katiba mpya ndiyo tuikome.Majaliwa anatakiwa aonyeshe njia, anapaswa kujiuzuru ili kumpa nafasi mama Samia kuunda baraza lake la mawaziri.
Kitendo cha Majaliwa kung'ang'ania madaraka ni kitendo cha aibu kwa taifa na kinaweza kutoa ishara kuwa huenda Majaliwa ni mmoja ya wahusika wa lile genge lililohisiwa kuwa linataka kumpora mama madaraka ya kiti cha urais.
Majaliwa onyesha njia sasa.
Jiuzuru haraka iwezekanavyo.
Yes ofcourse, kwa nature ya watanzania wanatakiwa kuongozwa kama mifugo sababu ustaarabu ni kipengele kwao. Awe na elimu asiwe nayo wana asili ya ujuaji sana ndugu zetu hawa.Safii
Hata ukivaa viatu vya Serikali unaona kabisa Wakati mwengine inawabidi wawe wakatili ili Mambo yaende
Maskini Nchi yangu
😂😂😂🙌Huo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Hivi hapa duniani kuna nchi haina hayo mambo uliyoyasema.Sio vichwa vigumu bali ni wajuaji. Ndio maana ili utawale vyema ni muhimu kuwaziba midomo wapuuzi maana watakuyumbisha katika mission yako! Hiki ndio alikifanya Magufuli akaonekana katili ila dhamira ilikua njema kabisa.
Yani kuongoza Tanzania ni sawa na kufundisha darasa la wanafunzi 200 ukitarajia kutakuwa na hali ya utulivu na ustaarabu katika kuuliza maswali na majibu ila badala yake kila mtu ananong'ona na kuropoka ovyo bila utaratibu halafu kuadhibiwa hawataki.
Wana expect wafanyiwe ustaarabu ambao wao hawana, hao ndio watanzania bana.[emoji16]
Upuuzi wa Tanzania ni Beyond repair. Huwezi kuta United States mtu anampangia raisi cha kufanya. Hamnaga huo utoto. Rais ni taasisi aachwe a act kwenye majukumu yake kwa namna ambavyo anastahiki.Hivi hapa duniani kuna nchi haina hayo mambo uliyoyasema.
Tutamkumbuka sana yule mzee hata kama sio HADHARANI basi NAFSI zetu zitatusuta I SWEARYes ofcourse, kwa nature ya watanzania wanatakiwa kuongozwa kama mifugo sababu ustaarabu ni kipengele kwao. Awe na elimu asiwe nayo wana asili ya ujuaji sana ndugu zetu hawa.
Si ili asikose kitumbua chake ndiyo sababu akasema halazimiki? Ningeshangaa kama angeshauri baraza livunjwe hasa baada ya kuonja raha ya kuukosa uwaziri.Huo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Majaliwa pia ni mtu muongo anasema uongo akiwa msikitini ilo nalo linamtosha kujiuzuru tu
Rais ana uwezo wa kulivunja baraza la mawaziri, hata kama PM asipojiuzulu.ha ha haa
Mbona president anayo mamlaka ya kuvunja Baraza?
Hapa Mbatia anataka tuone Rais na Waziri mkuu Wana mgogoro. Kwamba Rais anashindwa kuunda Baraza jipya kwa vile Waziri Mkuu Majaliwa hajajiuzuru.
Wapi Kikwete, za kuambiwa tuchanganye na zetu.
Hapa ndipo pengo la Magufuli litaonekana mapema mno. Wanasiasa wapuuzi aina ya Mbatia...Nilikua nafikiri mbatia ni mtu wa maana, kumbe ovyo kabisa. Mh. Rais dhibiti hii kitu mapema.