Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Mbatia mganga njaa - kipindi hiki hakuna kuteuliwa nafasi za akina Mdee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu si Mwanasheria ni MchumiHuo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
dunia sio mbaya walimwengu ndio wabaya mali aliyoacha baba inawatoa watu roho[emoji23][emoji23]Mama Samia kazi anayo hii nchi ina watu vichwa ngumu!
Mwingulu ni Mwanasheria?? We umeokotwa jalalani kama fulani nnHuo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Tumpelekeshe mama Samia kivipi?Mbona mnamlazimisha sana wazee, mnataka mama abaki pekeake ili mumpelekeshe jinsi mnavyojiskia 😁😁😁!!?
Sasa kwa taarifa yenu atajiuzulu kisha atateuliwa upya acheni utoto!
Dikteta hajawahi kua na dhamira njemaSio vichwa vigumu bali ni wajuaji. Ndio maana ili utawale vyema ni muhimu kuwaziba midomo wapuuzi maana watakuyumbisha katika mission yako! Hiki ndio alikifanya Magufuli akaonekana katili ila dhamira ilikua njema kabisa.
Yani kuongoza Tanzania ni sawa na kufundisha darasa la wanafunzi 200 ukitarajia kutakuwa na hali ya utulivu na ustaarabu katika kuuliza maswali na majibu ila badala yake kila mtu ananong'ona na kuropoka ovyo bila utaratibu halafu kuadhibiwa hawataki.
Wana expect wafanyiwe ustaarabu ambao wao hawana, hao ndio watanzania bana.😁
Mwigulu sio mwanasheria bwashee, ni mchumi aliyefanywa kuwa waziri wa sheria!.Huo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Hata Mimi mtani wangu namkubali saana. Ile roho, ujasiri, na uthubutu haumithiliki kirahisi.Hahahahah
Baki na Mavi yako Nyumbani
Ntamiss sana Mtani wetu JPM
Siku hizi siyo mchumi first class! hata kama PM atagoma kujiuzulu bado rais anayo mamlaka ya kuvunja baraza la mawaziri, kufanya reshuffle na hata ku-suspend bunge na kurudi kwenye uchaguzi...Huo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Baadhi ya Mitz ni mijitu mijinga sn..... Kwao rais ni mungu wao yaniMbona Marais wa nchi nyingine wanaongoza huku wakikosolewa na nchi za zinapata maendeleo kuliko TZ
Ina maana viongozi wetu ni vichwa panzi sana kiasi kuwa sauti kidogo tu za maoni tofauti zinawachanganya Hadi wanashindwa kazi?
Jiwe alikuwa kichwa panzi kiasi hicho au ni kiburi?😂
Katiba iko wazi kabisa, ni kwa wale wasioisoma au wale wanaoisoma kwa kupindishapindisha tu kwa ajili ya ajenda zao tu. Angalia, katiba yetu inasema hivi:Hapana tusimuonee Majaliwa. Kama katiba yetu haisemi wazi nini kinatakiwa kufanyika makamu rais akirithi urais,inabidi tuwalaaum ccm kwa kukataa katiba mpya ambayo ingeweka Kila kitu wazi na kwa utashi wa wananchi wenyewe. Kwa Sasa tumuachie Mama Suluhu atafute suruhu kwa busara zake. Ila Minyani itakayokataa katiba mpya ndiyo tuikome.
Sio mchumi ni mchumia tumboMwigulu si Mwanasheria ni Mchumi