Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Sababu za kujiuzulu ameweka mleta uzi....Huwa waziri mkuu anapojiuzulu basi automatically baraza la mawaziri linavunjika hapo hapoAjiuzulu kwa sababu zipi hasa? kwani Rais ameshavunja baraza la mawaziri?