#COVID19 James Mbatia: Ndani ya wiki mbili zijazo Corona itatupiga sana Tanzania

#COVID19 James Mbatia: Ndani ya wiki mbili zijazo Corona itatupiga sana Tanzania

Nimekuuliza hivi kwanini tuwe na taharuki kwenye corona? kwa sababu pamoja na kuwepo vyandarua ila bado watu wanakufa na malaria kama kawaida ila hakuna taharuki.

Tatizo linaloleta taharuki kwenye corona ni ile maambukizi kuwa mengi kwa wakati mmoja na kusabababisha upungufu wa vifaa tiba, oxygen, vitanda na wahudumu wenyewe kwenye hospitali zetu, hivyo vifo vingi. Magonjwa mengine maambukizi yake sio kwa wingi hivyo.
 
Tatizo linaloleta taharuki kwenye corona ni ile maambukizi kuwa mengi kwa wakati mmoja na kusabababisha upungufu wa vifaa tiba, oxygen, vitanda na wahudumu wenyewe kwenye hospitali zetu, hivyo vifo vingi. Magonjwa mengine maambukizi yake sio kwa wingi hivyo.
Kabla ya corona kuingia Afrika hayo ndio yalikuwa yanahofiwa hadi wengine kufikia kusema tutaokota maiti barabarani kutokana na mifumo yetu ya afya ilivyo.
 
itaanza na yeye. sisi wenzake hatutakufa bali tutaishi tuyasimulie matendo makuu ya Mungu, kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazareth.
 
22 July 2021
Manyara, Tanzania

RC MAKONGORO NYERERE CORONA IPO, TUJIKINGE NA TUWAKINGE WENGINE...​


Mkuu wa mkoa wa Manyara, Mh. Makongoro Nyerere amewataka wananchi wa mkoani huko kuchukua tahadhari juu ya virus vya COVID-19.
Source: Global TV online
 
17 July 2021



Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI azungumzia hali ya tishio kwa afya-ya-umma (public health ), umasikini na ukosefu wa ajira kwa vijana Tanzania

Mwenyekiti wa chama cha NCCR - MAGEUZI Mh. James Mbatia kwa kina atoa angalizo juu ya gonjwa kubwa lililo janga la kidunia la corona covid-19 na taarifa kuwa wataalamu wametoa taarifa za kiuchunguzi zenye ushahidi wa kitabibu kuwa wiki mbili zijazo Tanzania itapata changamoto kubwa ambayo nchi haijawahi kuiona toka gonjwa la corona kuikumba dunia.

Mwenyekiti wa NCCR - MAGEUZI ameitaka Serikali ya Tanzania ikubali serikali ilijikwa huko nyuma 2019 / 2020 ila haikuanguka katika kukabiliana, hivyo kujikwaa huko iwe chachu ya kuanza kunyanyuka tena kufanya kampeni kali kuelimisha umma na kutuma pesa, ruzuku, vifaa tiba na matayarisho makubwa kukabiliana na janga la UVIKO linalokuja. Serikali isimamishe miradi mingi kwa muda ili fedha nyingi zielekezwe kukabiliana na tishio lililo dhahiri la Covid -19 Delta Variant.

Source: MwanaHALISI TV


On Friday 26 February 2021, a shipment of COVAX COVID-19 vaccines arrive at the airport in Abidjan, Cote d’Ivoire.

The largest vaccine procurement and supply operation ever is underway – and UNICEF is leading it on behalf of the Global COVAX Facility.

We are working to ensure that all countries participating in the Facility (currently 190) have equitable access to 2 billion doses of the COVID-19 vaccine by the end of 2021.

How?
Through the COVAX Facility – led by Gavi, the Vaccine Alliance, WHO and CEPI – UNICEF is working with manufacturers and partners on the procurement of COVID-19 vaccine doses, as well as freight, logistics and storage. In collaboration with the PAHO Revolving Fund, we are leading the procurement and delivery for 92 low- and lower middle-income countries while also supporting procurement for more than 97 upper-middle-income and high-income nations. Together, these represent more than four-fifths of the world’s population.

When?
When a safe and effective vaccine is approved by WHO, UNICEF will begin the operation to transport vaccines from manufacturers to countries. The initial 2 billion doses are intended to protect frontline health care and social workers, as well as high risk and vulnerable people.

Why UNICEF?
As the largest single vaccine buyer in the world, UNICEF has a unique and longstanding expertise in procurement and logistics to help children in need. UNICEF procures more than 2 billion doses of vaccines annually for routine immunization and outbreak response on behalf of nearly 100 countries. We are the main procurement partner of Gavi, the Vaccine Alliance and have helped reach more than 760 million children with life-saving vaccines over the last 20 years, preventing more than 13 million deaths.

In vaccinating health workers globally, we ensure that health care workers can get back to work so that children and their mothers get the critical health care they need - vaccinations, treatment of malnutrition and other deadly diseases such as malaria and diarrhea, as well as obstetric, prenatal and post-natal care along with services for newborns.

These are critical services without which millions of children’s lives are at stake given the widespread disruptions to essential services during lockdowns. We cannot let one disease lead to outbreaks of other diseases that could reverse years of progress in child health

Source : COVAX: ensuring global equitable access to COVID-19 vaccines
Sawa, tuanze kuhwsabu.
Naona biashara ya wazungu ya kuuza chanjo imenoga
 
17 July 2021



Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI azungumzia hali ya tishio kwa afya-ya-umma (public health ), umasikini na ukosefu wa ajira kwa vijana Tanzania

Mwenyekiti wa chama cha NCCR - MAGEUZI Mh. James Mbatia kwa kina atoa angalizo juu ya gonjwa kubwa lililo janga la kidunia la corona covid-19 na taarifa kuwa wataalamu wametoa taarifa za kiuchunguzi zenye ushahidi wa kitabibu kuwa wiki mbili zijazo Tanzania itapata changamoto kubwa ambayo nchi haijawahi kuiona toka gonjwa la corona kuikumba dunia.

Mwenyekiti wa NCCR - MAGEUZI ameitaka Serikali ya Tanzania ikubali serikali ilijikwa huko nyuma 2019 / 2020 ila haikuanguka katika kukabiliana, hivyo kujikwaa huko iwe chachu ya kuanza kunyanyuka tena kufanya kampeni kali kuelimisha umma na kutuma pesa, ruzuku, vifaa tiba na matayarisho makubwa kukabiliana na janga la UVIKO linalokuja. Serikali isimamishe miradi mingi kwa muda ili fedha nyingi zielekezwe kukabiliana na tishio lililo dhahiri la Covid -19 Delta Variant.

Source: MwanaHALISI TV


On Friday 26 February 2021, a shipment of COVAX COVID-19 vaccines arrive at the airport in Abidjan, Cote d’Ivoire.

The largest vaccine procurement and supply operation ever is underway – and UNICEF is leading it on behalf of the Global COVAX Facility.

We are working to ensure that all countries participating in the Facility (currently 190) have equitable access to 2 billion doses of the COVID-19 vaccine by the end of 2021.

How?
Through the COVAX Facility – led by Gavi, the Vaccine Alliance, WHO and CEPI – UNICEF is working with manufacturers and partners on the procurement of COVID-19 vaccine doses, as well as freight, logistics and storage. In collaboration with the PAHO Revolving Fund, we are leading the procurement and delivery for 92 low- and lower middle-income countries while also supporting procurement for more than 97 upper-middle-income and high-income nations. Together, these represent more than four-fifths of the world’s population.

When?
When a safe and effective vaccine is approved by WHO, UNICEF will begin the operation to transport vaccines from manufacturers to countries. The initial 2 billion doses are intended to protect frontline health care and social workers, as well as high risk and vulnerable people.

Why UNICEF?
As the largest single vaccine buyer in the world, UNICEF has a unique and longstanding expertise in procurement and logistics to help children in need. UNICEF procures more than 2 billion doses of vaccines annually for routine immunization and outbreak response on behalf of nearly 100 countries. We are the main procurement partner of Gavi, the Vaccine Alliance and have helped reach more than 760 million children with life-saving vaccines over the last 20 years, preventing more than 13 million deaths.

In vaccinating health workers globally, we ensure that health care workers can get back to work so that children and their mothers get the critical health care they need - vaccinations, treatment of malnutrition and other deadly diseases such as malaria and diarrhea, as well as obstetric, prenatal and post-natal care along with services for newborns.

These are critical services without which millions of children’s lives are at stake given the widespread disruptions to essential services during lockdowns. We cannot let one disease lead to outbreaks of other diseases that could reverse years of progress in child health

Source : COVAX: ensuring global equitable access to COVID-19 vaccines

Wanataka tuache miradi yote ya maendeleo tuwape mabeberu wa corona na vibaraka wao fedha za miradi wale. Walaaniwe fisadi wa kimataifa na wa kienyeji.
 
22 July 2021

Tanzania’s President Samia meets former UK PM Tony Blair in Dar​

By Bethsheba Wambura

Dar es Salaam.
President Samia Suluhu Hassan on Thursday July 22, 2021 met and held talks with former UK Prime Minister Tony Blair where the latter pledged to support Tanzania’s war on the Covid-19 pandemic.

Video : Courtesy of Daily News Digital

A statement, issued by the Director of Presidential Communications, Mr Jaffar Haniu, said on Thursday that during the meeting at the Dar es Salaam State House, Mr Blair said through his Tony Blair Institute for Global Change, he was in full support of President Hassan’s development initiatives.

Mr Blair, who served as British PM for ten years starting 1997, set up the Tony Blair Institute for Global Change in an effort to support leaders and governments, drawing primarily on his deep crisis management experience from his time in government.

The Institute also works with African countries during the Ebola crisis to drive its (the Institute’s) response to Covid-19.

According to the State House statement, Mr Blair said his Institute was working within 16 African countries, focusing primarily on implementing the priorities of their governments whereby during the past one year, focus has been on how to deal with the Covid-19 pandemic.

The statement stated that, Blair said in response to the pandemic, his Institution was more concerned with testing and distribution of vaccines, noting that the organisation was ready to help Tanzania to reach out to companies that make the vaccines.

Apart from the Covid-19 pandemic, the Institute was also building the capacity of partner countries to monitor projects in agriculture, energy and technology.

In her remarks, President Hassan said her government was currently working to improve Tanzania’s investment climate in an effort to facilitate a private sector-led growth as outlined in the Third Five Year Development Plans (FYDP III).


On Covid-19, President Hassan informed Mr Blair that the government had already put in place a national strategy on how to address the pandemic, including coordinating the roll out of the vaccines.

Going forward, President Hassan said, the focus was on how to build domestic capacity in vaccine manufacturing. She requested the Tony Blair Institute for Global Change to her government in the initiative.
 



TBI Tony Blair institute for Global Change : Read More :
The analysts and on-the-ground teams at TBI have developed these resources for governments to use in their responses to Covid-19.

 
23 July 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Waziri Ally wa The Kilimanjaro Band (Wana Njenje) afariki dunia


Habari zathibitishwa na vyanzo vya karibu na kuwa Waziri Ally alikuwa anapatiwa matibabu ktk Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Source : SimuliziNaSauti
 
02 August 2021

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias John Kwandikwa ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Shinyanga Tanzania amefariki dunia usiku huu Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Donald Magesa amethibitisha taarifa hizi akisema "Nimepokea taarifa za msiba huu mzito kutoka uongozi wa CCM Wilaya ya Kahama; Mpendwa wetu alikuwa anaendelea na matibabu jijini Dar es Salaam"
 
Hayo Mambo yaliisha semwa sana,na mabwana wenu eti Wafrica tutakuwa tunaokotwa kama takataka barabarani, mwisho mpaka leo tunadunda tena pasipo tahadhali yoyote, Mungu wetu aliyetuumba atatusaidia tena
Mbatia anastahili kupigwa kwa mawe kwa kuwa unabii wake wa kishetani umeshindwa kutimia!! Wiki mbili zilishapita kitambo na tunakimbilia mwezi mmoja na hakuna taharuki ya corona!! Hata hao siri-kali wanajua kuwa mambo ya corona ni fix ya mchana kweupe!! Vinginevyo wasingeedelea na ukimbizaji wa mwenge unaokusanya watu maelfu!! Mbatia hata kama ni njaa ndo unajiuza hivyo kwa mabeberu!! Huu udalali wenu wa corona sijui mnalipwa shilingi ngapi?
 
Mleta huu uzi aka bagamoyo, mwambie huyo kibaraka wa mabeberu aje hapa atuambie hiyo corona aliyotutisha nayo baada ya wiki mbili iko wapi? Takriban mwezi umeshapita tangu atoe uibilisi wake wa kututisha na corona na hiyo corona wanaitafuta kwa tochi!! Mtumie huyo mbatia post yangu #103 na aijibu kama anao huo ubavu! Akome na akome kabisa!! Yesu wetu ni mkubwa!!!
 
Kwa mujibu wa hao Wanazayansi wako hadi leo tangu corona ianze sie wapumbavu wapumbavu tusiofuata hiyo miongozo tungekuwa tushamalizwa

Walituambia kuanzia May 2020 Miji yetu ingekuwa inanuka maiti zilizozagaa mitaani kutokana na vifo vingi vya mfululizo hadi wakatuchorea graphs za vitisho
Tanzania kweli ni nchi ya kipekee sana kwa ujinga, wakati wapo waliotayari kupata chanjo ila serikali imewaambia wasubiri mpaka december, kama vile na Corona nayo itawasubiri, halafu wako wale wengine wasio na habari ya chanjo kabisa, hapo utaona watanzania wote tupo kwenye hatari ya kuugua Corona.

Wakati Corona inasumbua mataifa mengine, utashangaa wapo watakaoibuka kuipinga hii kauli ya Mbatia, ataambiwa anatafuta sifa za kisiasa, utadhani Tanzania haipo kwenye ramani ya dunia, wakati hata madaktari wakiongea kuhusu Corona, nao wanawapinga, sasa sijui wao wanataka nani wengine waongee kuhusu Corona, bado kama taifa tunazunguka mbuyu tu.
 
Naona viongozi wa upinzani wamenunuliwa kuwa mawakala wa mabeberu kwa malipo ya aibu, ili kuleta hofu kwa watanzania ili mlango wa biashara ya corona ufunguke Tanzania na mabeberu wapige pesa ndefu!! Bila aibu Mbatia anataka tusimamishe miradi yote ya maendeleo na pesa zote zielekezwe kwenye kupiga vita ugonjwa hewa wa covid 19! Anatutisha kuwa baada ya wiki mbili tutakuwa na hali mbaya ya corona!, akome kabisa! Inaelekea anafahamu kuwa mabeberu wametupandikizia sasa corona na wanatazamia baada ya wiki mbili itakuwa imeenea!! Akome! Mbatia ni nani nchi hii hata azungumzie mambo yaliyo nje ya himaya yake? Akome!
Nataka nimwambie Mbatia kuwa wiki mbili zitapita bila hatari yoyote!! Kama corona itakuja, basi itakuja kwa Mbatia na familia yake maana ameamua kuiabudu! Watanzania kwa umoja wetu tulimwomba Mungu na akatuponya na corona hapo 2020. Maombi hayo yanafanya kazi hadi sasa kwa wote wanaomwamini Mungu. Acha wiki mbili, itapita miezi miwili, na itapita miaka miwili na Mbatia atashuhudia afya njema ya watanzania wakati yeye na mawakala wenzake wanateseka kwa corona!! Kuna wakala mwenzake wa mabeberu kuhusu corona wote tumemsikia akitaka chanjo ya corona iwe lazima kwa watanzania wote, naye akome! Ndiyo maana sishangai familia yake kuteswa na corona, maana ameamua kuiabudu! Halafu mtu wa hivyo naye anategemea watanzania wakipigie kura chama chake!! Nadhani chanjo aliyopata ya corona imeshaingia kwenye vinasaba vya ubongo wake na kuanza kuwaza mambo ya hovyo!! Na yeye ategemee maangamizi ya corona kwenye familia yake maana amechagua kuiabudu!! Lakini atashuhudia watanzania wakibaki salama!
Nimwambie tu Mbatia kuwa kwa Tanzania mabeberu na mawakala wao wameula wa chuya!! Biashara yao ya corona imedoda!! Hauwezi kutupandikizia hofu ya corona hata kidogo!! Mungu wetu muumba wa mbingu na nchi ametuponya na nchi yetu inalindwa kwa damu ya Yesu tofauti na mataifa mengine yote yaliyotanguliza akili ya wanadamu mbele ya Mungu aliye hai!! Matokeo yake wote tumeyaona!! Taifa linalodai kuendelea sana ndilo lililozika sana!!
Kama kuna watu wamenunuliwa itapiga sana kwao
 
Back
Top Bottom