#COVID19 James Mbatia: Ndani ya wiki mbili zijazo Corona itatupiga sana Tanzania

#COVID19 James Mbatia: Ndani ya wiki mbili zijazo Corona itatupiga sana Tanzania

Mbatia anatafuta kick, hayo anayoitabiria Tanzania hayataoikea kamwe.

Corona haitaipiga Tanzania kiasi hicho anachodai Mbatia.

Kwa wanaofuatilia taarifa za ugonjwa huu, nchi za ulaya na israel zimetoa orodha ya nchi hatari; kwa ugonjwa huo na Tanzania haimo katika orodha hiyo. Mfano Israel wametangaza kabisa hizi nchi na zote hizo wamechanja tayari lakini ukiingia Israel au mataifa hayo ya ulaya lazima ukae karantini na upimwe ingawa umechanja chanjo zote mbili. Lakini katika orodha ya red list hiyo Tanzania haitajwi japo hatujachanja. Maana yake hayo mataifa wanafahamu hali ya Tanzania.

Tusubiri hizo wiki mbili danganya toto ya Mbatia itaprove kuwa ni uongo.
Huo utabiri wake hautakuwa!!
 
Tuwe makini gonjwa hili hatari lipo, kuchukua tahadhari na kufuata maagizio tupewayo na wataalamu wa afya ya jinsi ya kujikinga pia ukiona dalili zake basi kimbilia hospital haraka.
 
hayo maambukiz yanatokea wapi?? yaan yanasubir izo wk ndyo yaje kulipuka? nonsense kabisa,,
IMG-20210717-WA0011.jpg
 
Centers for Disease Control and Prevention Coronavirus Disease 2019 (COVID-19) (CDC) : COVID -19, It's Complicated

We are in a complicated stage of the COVID-19 pandemic. Americans are being vaccinated every day at an accelerated pace. As of April 15, 2021, more than 125 million Americans have received at least one dose of vaccine, and more than 78 million Americans are fully vaccinated. And yet, COVID-19 cases and hospitalizations are increasing in some areas of the country, and among younger people who have not yet been vaccinated. The reasons for these increases are complicated but potentially related to emerging SARS-CoV-2 variants that are becoming predominant in some communities.


Nationally, COVID-19-related emergency department visits as well as both hospital admissions and current hospitalizations have risen among patients ages 18 to 64 years in recent weeks. The good news is that emergency department visits and hospitalizations among people ages 65 years and older have decreased, likely demonstrating the important role vaccination plays in protecting against COVID-19. As of April 15, 80% of people 65 years or older have received at least one dose of vaccine and 63.7% are fully vaccinated.

As access to vaccines for all Americans increases, we have reason to be hopeful. However, until more of the U.S. population is fully vaccinated, consistent use of prevention strategies, such as universal and correct use of masks, social distancing, and hand washing, will help to limit the spread of SARS-CoV-2, the virus that causes COVID-19. Even if you have been fully vaccinated against COVID-19, you should keep taking these everyday precautions in public places

Source : COVID Data Tracker Weekly Review
 
Feb 2021

I Asked Bill Gates What's The Next Crisis?



I got the chance to interview Bill Gates so I asked him: Will Covid-19 be the last pandemic? How does he deal with misinformation and conspiracy theories? And what is the next disaster?
Source : Veritasium
 
Mbatia huwa ni bingwa wa kuongea ongea tu, siku zote yeye ni mtu wa wasiwasi
wasi wasi ndo akili. Ni msemo wa kiswahili tena basi iugha yako .....nyambaf!!!
 
Wacheni corona ifanye yake..as long as haiui watoto na vijana - tutaelewana tu....nani kapenya nani kachapa lapa!!
 
MB

Mbona athali za ukimwi tunaziona kwenye familiar zetu,mfn me mwenyeji wa Kagera ukienda kijijini utaona makaburi na mayatima waliofiwa na wazazi wao,na atuoni serikali ikitoa takwimu kila siku na athali za ukimwi ni kubwa mno.Sasa hiyo corona mbona hatujaona watu wakidondoka kama ilivokuwa ikitabiriwa na WHO?huku mtaani ndio kabisa watu hawana habari na corona.
Corona ugonjwa wa media
 
Corona ugonjwa wa media
Wapuuzi tu,kama corona ingelikuwa inaua kama wanavyo shadadia,akuna Mtanzania hata mmoja angelibaki,tokea corona itokee watu tunajazana viwanjani, vyuo vyote vimefunguliwa,magulioni ndio usiseme, Karikoo ndio usiseme, kwenye madaladala tunajazana mpaka Mtu unakosa pumzi,ukisema akuna corona wanakukwambia utakufa kama Magufuri, sasahivi ninajiuliza corona ilikuja kwa ajili yak kumuua Magufuri tu,? Maana baada ya kifo cha Magufuri, corona iliisha gafra, mpaka kwenye mazishi yake niwachache waliovaa baracoa.sasahivi ndio wanaanza utabiri tena kuwa baada ya wiki mbili tutakwisha, wakati tumekaa mwaka.
 
hii nchi ilidekezwa kitambo, JPM hakutudekeza, alikaza mwanzo mwisho, walio mwelewa walijua lengo lake ni nn, lkn pia vyombo vyote vilimtiii kwa pamoja na kila taasisi iliunga mkono juhudi/jitihada alizo kuwa anazifanya.

hili ni Jaribio kwa awamu hii ya 6 endapo itakubali kuyumbishwa basi kitakacho fuata ni maneno ya kejeli dhidi ya serikali, ni bora wakaze uzi, anaye taka atatumia huduma hutaki tumia benki.

hatutakiwi kubembelezana ktk suala la kujenga Nchi.
Kweli alivyo MPUMBAVU alikaza mwishowe COVID 19 hiyo hiyo ilimtoa roho.

Endeleeni kupuuza wataalamu, mtamfuata Mwendazake
 
Tanzania kweli ni nchi ya kipekee sana kwa ujinga, wakati wapo waliotayari kupata chanjo ila serikali imewaambia wasubiri mpaka december, kama vile na Corona nayo itawasubiri, halafu wako wale wengine wasio na habari ya chanjo kabisa, hapo utaona watanzania wote tupo kwenye hatari ya kuugua Corona.

Wakati Corona inasumbua mataifa mengine, utashangaa wapo watakaoibuka kuipinga hii kauli ya Mbatia, ataambiwa anatafuta sifa za kisiasa, utadhani Tanzania haipo kwenye ramani ya dunia, wakati hata madaktari wakiongea kuhusu Corona, nao wanawapinga, sasa sijui wao wanataka nani wengine waongee kuhusu Corona, bado kama taifa tunazunguka mbuyu tu.
Sasa tufanyej waliopata chanjo KORONA imeisha?
 
Wewe ndio mpumbavu, Kwani kuna Mtu ataishi milele?unavyoogopa corona utafikiri kabla ya corona watu walikuwa hawafi
Angejuwa hataishi milele asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020.

Mbona misukule yake akina Deo Sanga, Juma Mkamia, Ally Jessy na Ndugai waliishia anza kampeni za kubadili Katiba.

Ni Mungu tu ametunusuru, ile takataka isingetoka kirahisi
 
20 July 2021
Mwanza, Tanzania

RC Mhandisi Robert Gabriel - Mwanza kuna changamoto kubwa ya afya ya umma, mikusanyiko yapigwa marufuku



Mkuu wa mkoa wa Mwanza amesema kufuatia changamoto kubwa ya gonjwa la covid-19, wamechukua hatua ya kukabiliana nalo na hivyo kusimamisha mikusanyiko yote na kuwataka wananchi kuwa makini na kufuata hatua zote zinazoshauriwa na wizara ya afya. Mikusanyiko inayojirudia ya kawaida kama ibada inaruhusiwa kuendelea ila ameshauri wawe makini zaidi .

Source : Millard ayo
 
Angejuwa hataishi milele asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020.

Mbona misukule yake akina Deo Sanga, Juma Mkamia, Ally Jessy na Ndugai waliishia anza kampeni za kubadili Katiba.

Ni Mungu tu ametunusuru, ile takataka isingetoka kirahisi
Hiyo ni mipango ya mwanadamu, lakini akuna awezaye kuishi milele
 
Back
Top Bottom