imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Comment yako ni ya kipuuzi sanaKufa Basi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment yako ni ya kipuuzi sanaKufa Basi!
Tatuzo lako ni IQ.imemuwa nani kwenu we popoma?
Nimekuuliza swali kwamba hizo chanjo zingekuja tungekuwa tumeshachomwa wote? nimetaja Rwanda kwa sababu pamoja na udogo wake ila bado hajafanikiwa kuchoma watu wengi na ndio maana bado anaendelea kufunga mashule.sisi siyo tawi la Rwanda tuna akili na vipaumbele vyetu.tuanzie wapi tuishie wapi...
Haiwezekani tupate chanjo hapa tukachanje hovyo hovyo km wenda wazimu kijiji cha Maruku huko krb na uganda.
Tuna vipaumbele vyetu sisi km wabongo tuanzie wapi tuishie wapi!! Umri gani wapate kwanza.idara gani nyeti weee vepe babu??km hujui uliza..
Bas iko huko tuu huku kwetu Tz haipo😂😂
Covid 2019 ni ugonjwa mpya ndioCorona ni ugonjwa mpya???
Asa wewe huko Mikindani kwenu nani anafika huko?? Kwanza mnaenda wapi? Mfu Aende fanya ni kwanza huko??MB
Mbona athali za ukimwi tunaziona kwenye familiar zetu,mfn me mwenyeji wa Kagera ukienda kijijini utaona makaburi na mayatima waliofiwa na wazazi wao,na atuoni serikali ikitoa takwimu kila siku na athali za ukimwi ni kubwa mno.Sasa hiyo corona mbona hatujaona watu wakidondoka kama ilivokuwa ikitabiriwa na WHO?huku mtaani ndio kabisa watu hawana habari na corona.
wachanjaji wao ni wavivu. Hawana skillsNimekuuliza swali kwamba hizo chanjo zingekuja tungekuwa tumeshachomwa wote? nimetaja Rwanda kwa sababu pamoja na udogo wake ila bado hajafanikiwa kuchoma watu wengi na ndio maana bado anaendelea kufunga mashule.
Labda inaweza kuwa kweli we juha.Tatuzo lako ni IQ.
Kumbe nilikuw sijui maana naona huku kwetu kila sku tunabambiana kwny daradara na sna hata mafua na sijasikia msiba kwa majiran🤔🤔😂😂😂 Chatto kuna Rais, na Mtambwe kuna Makamu wa rais. Span mwezi mmoja.
Wacha maskhara njomba 😂😂😂.
Wasasa serikalini achana nao si wenzako labda tu kama ni mmoja wao:
View attachment 1858042
Ok sawa asubuhi njemawachanjaji wao ni wavivu. Hawana skills
Ok sawa asubuhi njema.Covid 2019 ni ugonjwa mpya ndio
Au unajichanganya unavyosikia Sars covid au MersOk sawa asubuhi njema.
Kumbe nilikuw sijui maana naona huku kwetu kila sku tunabambiana kwny daradara na sna hata mafua na sijasikia msiba kwa majiran🤔🤔
Hapo ndo nashindwa kuelewa maana ya ChanjoHuyu amepata chanjo zote....! Tuamue bila mihemko, Tutashinda.![]()
British health secretary Javid tests positive for Covid-19, says he’s glad he was vaccinated
UK Health Secretary Sajid Javid is self-isolating at home with his family after a lateral flow test for Covid-19 came back positive. He said he was grateful he had received two jabs of the vaccine and that his symptoms were mild.www.rt.com
Sijajajichanganya.Au unajichanganya unavyosikia Sars covid au Mers