#COVID19 James Mbatia: Ndani ya wiki mbili zijazo Corona itatupiga sana Tanzania

#COVID19 James Mbatia: Ndani ya wiki mbili zijazo Corona itatupiga sana Tanzania

Chanzo ni jiwe, Aliwa brain wash watz mpaka sasa hawaamini tena chanjo.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Rwanda ni kaanchi kadogo na hakuna cha brain wash wala nini ila bado hajapata mafanikio ya chanjo bado corona inawasumbua, sasa sijajua hata huyo Jiwe asingewa brain wash wabongo na hizo chanjo zikaja ndio tungekuwa tumeshachanja watu wote?
 
Corona ipo na inaua
Sawa hilo sio tatizo ila issue ni reactions zetu kwa hiyo corona, kwa sababu maradhi yaliyopo na yenye kuuwa yapo mengi tu sasa hebu nipe sababu kwanini tuhamaki kwenye corona?
 
Sasa aliye wadanganya kafa na covid ktambooo!!. Lkn Bado mnamuamini tu heeee!!

Jpm hana tofauti na kibwetere!!! Na waumini wake......wabongo bila kuwapiga vichwa kwa nguvu hawaelewi!!! Ndo style ya mkoloni aliyotumia kuwaongoza!!

Chukua chanjo bure watu wanakufa hutaki!! Basi jiponye usituambukize wenzako hutaki!!
Tukufanyeje sasa.....bakora tu zina wahusu!!
Boea nikae na wsjanja tu kieleweke.
Kwani hata Jiwe asingeongea chochote kuhusu chanjo na hizo chanjo zikaja ndio tungechomwa wote? Rwanda chanjo zipo na ni nchi ndogo ila hajachoma watu wote ndio kwanza anafunga mashule kwa ajili ya corona.
 
Ukimwi tunavaa condom,Maralia tunatumia Vyandarua na Corona tuvae barakoa kisha tunawe mikono kwa maji tiririka mara kwa mara.
Nimekuuliza hivi kwanini tuwe na taharuki kwenye corona? kwa sababu pamoja na kuwepo vyandarua ila bado watu wanakufa na malaria kama kawaida ila hakuna taharuki.
 
Tanzania kweli ni nchi ya kipekee sana kwa ujinga, wakati wapo waliotayari kupata chanjo ila serikali imewaambia wasubiri mpaka december, kama vile na Corona nayo itawasubiri, halafu wako wale wengine wasio na habari ya chanjo kabisa, hapo utaona watamzania wote tupo kwenye hatari ya kuugua Corona.

Wakati Corona inasumbua mataifa mengine, utashangaa wapo watakaoibuka kuipinga hii kauli ya Mbatia, ataambiwa anatafuta sifa za kisiasa, utadhani Tanzania haipo kwenye ramani ya dunia, wakati hata madaktari wakiongea kuhusu Corona, nao wanawapinga, sasa sijui wao wanataka nani wengine waongee kuhusu Corona, bado kama taifa tunazunguka mbuyu tu.
Hayo Mambo yaliisha semwa sana,na mabwana wenu eti Wafrica tutakuwa tunaokotwa kama takataka barabarani, mwisho mpaka leo tunadunda tena pasipo tahadhali yoyote, Mungu wetu aliyetuumba atatusaidia tena
 
Nimekuuliza hivi kwanini tuwe na taharuki kwenye corona? kwa sababu pamoja na kuwepo vyandarua ila bado watu wanakufa na malaria kama kawaida ila hakuna taharuki.
Corona ni ugonjwa mpya taharuki lazima iwepo.
 
MB
Bwana drilling:

Bila takwimu tunajua je hatukupata madhara?

Kwani huyo unayemwita "makufuli" aliyemtegemea Mungu anasema je?
Mbona athali za ukimwi tunaziona kwenye familiar zetu,mfn me mwenyeji wa Kagera ukienda kijijini utaona makaburi na mayatima waliofiwa na wazazi wao,na atuoni serikali ikitoa takwimu kila siku na athali za ukimwi ni kubwa mno.Sasa hiyo corona mbona hatujaona watu wakidondoka kama ilivokuwa ikitabiriwa na WHO?huku mtaani ndio kabisa watu hawana habari na corona.
 
Kwani hata Jiwe asingeongea chochote kuhusu chanjo na hizo chanjo zikaja ndio tungechomwa wote? Rwanda chanjo zipo na ni nchi ndogo ila hajachoma watu wote ndio kwanza anafunga mashule kwa ajili ya corona.
sisi siyo tawi la Rwanda tuna akili na vipaumbele vyetu.tuanzie wapi tuishie wapi...

Haiwezekani tupate chanjo hapa tukachanje hovyo hovyo km wenda wazimu kijiji cha Maruku huko krb na uganda.
Tuna vipaumbele vyetu sisi km wabongo tuanzie wapi tuishie wapi!! Umri gani wapate kwanza.idara gani nyeti weee vepe babu??km hujui uliza..
 
MB

Mbona athali za ukimwi tunaziona kwenye familiar zetu,mfn me mwenyeji wa Kagera ukienda kijijini utaona makaburi na mayatima waliofiwa na wazazi wao,na atuoni serikali ikitoa takwimu kila siku na athali za ukimwi ni kubwa mno.Sasa hiyo corona mbona hatujaona watu wakidondoka kama ilivokuwa ikitabiriwa na WHO?huku mtaani ndio kabisa watu hawana habari na corona.

Nenda Chatto, Nyali Mtambwe (Pemba). Hii zaidi ya ngoma. Huko kumezikwa hadi marais wote hao ndani ya mwezi 1.
 
Sikushangai, ni kawaida alie lala usingizi wa pono akiamshwa lazima atakasirika hata kama amelala saa 6 mchana.
Kwa uzembe mbaousemea ambao uongoz ulopita ulifanya nilitarajia population tz watu million 5 tu😂😂. Lakin ndo kwanzaaa nasikiaga tetesi ndugu yake narafiki yake na jiran yake na ndugu yangu alikufa kwa corona😂😂
 
Tanzania kweli ni nchi ya kipekee sana kwa ujinga, wakati wapo waliotayari kupata chanjo ila serikali imewaambia wasubiri mpaka december, kama vile na Corona nayo itawasubiri, halafu wako wale wengine wasio na habari ya chanjo kabisa, hapo utaona watamzania wote tupo kwenye hatari ya kuugua Corona.

Wakati Corona inasumbua mataifa mengine, utashangaa wapo watakaoibuka kuipinga hii kauli ya Mbatia, ataambiwa anatafuta sifa za kisiasa, utadhani Tanzania haipo kwenye ramani ya dunia, wakati hata madaktari wakiongea kuhusu Corona, nao wanawapinga, sasa sijui wao wanataka nani wengine waongee kuhusu Corona, bado kama taifa tunazunguka mbuyu tu.
Chanjo ya korona inakuja na ushawishi wa rushwa na mikopo jiulize kwanini iwe hivyo na bado hata walio chanjwa bado wanaugua,Magufuli approach was good,mbatia ni kuwadi hana lolote.
Mbatia anatafuta kick, hayo anayoitabiria Tanzania hayataoikea kamwe.

Corona haitaipiga Tanzania kiasi hicho anachodai Mbatia.

Kwa wanaofuatilia taarifa za ugonjwa huu, nchi za ulaya na israel zimetoa orodha ya nchi hatari; kwa ugonjwa huo na Tanzania haimo katika orodha hiyo. Mfano Israel wametangaza kabisa hizi nchi na zote hizo wamechanja tayari lakini ukiingia Israel au mataifa hayo ya ulaya lazima ukae karantini na upimwe ingawa umechanja chanjo zote mbili. Lakini katika orodha ya red list hiyo Tanzania haitajwi japo hatujachanja. Maana yake hayo mataifa wanafahamu hali ya Tanzania.

Tusubiri hizo wiki mbili danganya toto ya Mbatia itaprove kuwa ni uongo.
 
Tanzania kweli ni nchi ya kipekee sana kwa ujinga, wakati wapo waliotayari kupata chanjo ila serikali imewaambia wasubiri mpaka december, kama vile na Corona nayo itawasubiri, halafu wako wale wengine wasio na habari ya chanjo kabisa, hapo utaona watamzania wote tupo kwenye hatari ya kuugua Corona.

Wakati Corona inasumbua mataifa mengine, utashangaa wapo watakaoibuka kuipinga hii kauli ya Mbatia, ataambiwa anatafuta sifa za kisiasa, utadhani Tanzania haipo kwenye ramani ya dunia, wakati hata madaktari wakiongea kuhusu Corona, nao wanawapinga, sasa sijui wao wanataka nani wengine waongee kuhusu Corona, bado kama taifa tunazunguka mbuyu tu.
Umeandika maneno mengi yaliyo pumba tupu

unatumia nguvu kubwa ya nini kutuaminisha corona ipo.

Hiyo corona ipo wapi mbona huku mtaani hatuoni uhalisia mnao tutisha nao?
 
Back
Top Bottom