Kwani ujui tozo ni vijisent vya kununulia tu toilet papers za kuchambia IKULU ,Kwakweli inashangaza sana fedha za mkopo wanajengea madarasa na vyoo
Wakati tuliambiwa tozo hiyo ndio kazi yake.
Tozo inatumika katika nini???
Kwanini serikali badala ya kujikita katika kukusanya mapato inakimbilia kukopa tu??
Kwanini serikali inawaogopa wafanyabiashara mpaka wakipandisha bei kiholela ipo kimya tu??
Je ndio tuseme kwamba wafanyabiashara ndio wanaoongoza nchi kwa sasa??
Hahaha ujenzi wa vyoo na uviko wapi na wapi?Ni hivi, ile pesa ilikua itumike kuoam ana na uviko,,, sasa wao wakati wakiomba walitoa hoja kuwa huwezi kupambana na uviko bila ku create awareness,
Yaani Elimu ndicho chombo kina create awareness,, so miundombinu ya kuwezesha elimu ndo ni pamoja na madarasa na vyoo,,
Hiyo hoja ilueleweka kwa watoa pesa na wakatoa pesa wakijiua itaenda pia kuimarisha elimu kwa kuboresha miundombinu ya elimu,
SSH aliliweka hili wazi..
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Niliwahigi kuukezea huo upunguani humu wa mikopo na miradi ya maendeleo jinsi wanavyodemka kuanzia top down"Wanamshukuru Rais kwa msaada wakati hilo ni deni la taifa" huu ndio upunguani wa wakuchanganua mambo.
Pasipo kutaka kuingilia uhuru wa mtu katika suala zima la uhiyari wa kuchanja ama kutokuchanja. Naona kama wale wazee wezangu waliokwisha kuchanjwa kama vile tayari madishi yameanza kupata moto na kuuanza kulumbana hadharani pasipo hata kuchukua tahadhari zozote zile.Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi bwana James Mbatia akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Leo hii ametolea ufafanuzi wa mambo mbalimbali yaliyojitokeza kwenye hotuba ya Rais na kauli ya Spika Job Ndugai
Mosi, Suala la akiba ya pesa za kigeni ameiomba serikali wabadili kauli yao ya kuwa tuna dola za marekani bilioni elfu sita yaani kimahesabu ni trilioni sita, China tu kama Taifa lenye pesa nyingi za kigeni wana dola za marekani trilioni tatu tu
Mheshimiwa Mbatia amesisitiza mahesabu ni tatizo kubwa sana kwa viongozi wetu kwani hata pesa za mkopo wa uviko wanazojengea vyoo vya wanafunzi wanamshukuru Rais kwa msaada wakati hilo ni deni la Taifa, Hata Rais akiondoka kama alivyoondoka Magufuli na deni kubwa la Taifa, Deni la Taifa ameliacha kwa wananchi na serikali yao
Wananchi ndio watatakiwa kulipa madeni haya tena kwa pesa za kigeni, Hivyo James Mbatia anashangaa Rais kusema Tutaendelea kukopa bila kuangalia nani atalipa madeni haya ambayo pesa zake hazizalishi kitu, Mbatia amesisitiza ni lazima kuangalia uwezo wa wananchi kulipa madeni hayo
James Mbatia, Ni aibu kwa viongozi karne hii ya ishirini na moja kujenga vyoo kwa pesa za mkopo wa uviko halafu wanaandika kwenye ukuta wa Choo "Ahsante uviko 19" kama jambo la Furaha kumbe ni vichekesho
James Mbatia, Ni aibu viongozi wa serikali toka ngazi ya Taifa mpaka kata kila wakati kusema ahsante Rais umetoa pesa za flyover, mara barabara mara afya wakati ni pesa za watanzania na hata kama ni mkopo ni deni la watanzania. Rais yeye hana pesa za kujenga barabara au flyovers labda kama Rais anauza madawa ya kulevya
Pili, Ni upunguani umeshajijenga na tunazidi kuharibu watoto wa Taifa hili kutokana na upunguani wa viongozi wetu ambao wanashindwa kuelewa maana ya mkopo na deni la Taifa, James Mbatia amesisitiza baada ya watu kujibu hoja za Job Ndugai wao wanatafuta personal attack kwa Ndugai
James Mbatia, Anasisitiza upunguani wa viongozi ndio unapelekaea watu kushindwa kujibu hoja na kukimbilia kumtukana Job Ndugai, Tatizo la upunguani linawafanya viongozi washindwe kupima hoja kama Job Ndugai amekosea, Je usahihi ni upi amehoji bwana Mbatia
Tatu, James Mbatia amesisitiza somo la hesabu hata Bungeni ni tatizo kwa wabunge wengi sana, Ndio maana mambo yanaposomwa kuhusu hesabu wengi hawaelewi, James Mbatia amesisitiza Kuwa viongozi wanaandaliwa
Nilikuwa sifamu asante kwa kunifahamisha hilo mkuu.Kwani ujui tozo ni vijisent ya kununulia tu toilet papers za kuchambia IKULU ,
Tozo ndo ilianza kabla ya oppotunity ya pesa za covid,,, lakini tozo haingeweza kujenga kwa haraka nationalwide,
So fursa ya mkopo wa covid ilipikuja,, wakatake advantage,
From day one mkopo wa covid ilikuwa uende pia kuimarisha elimu,, hata Rais alisema hilo siku anasaini
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Rejea hotuba ya SSH siku wanapokea pesa, alisema nchi nyingi ziliomba hiyo oesa ya uviko, ila Tanzania waliomba hiyo oesa itumike kuboresha elimu na Afya,, na walikubaliwa,,Hahaha ujenzi wa vyoo na uviko wapi na wapi?
Huyu mama ana serikali yake waongo subiri watakaposhindwa kulipa mishahara ndo mtaamini kuwa tumekabidhi nchi kwa mapungu...ni!Kwanini walikopa 1.3 kujenga vyoo kama pesa hiyo ilikusanywa.
Au ni lazima tu tukope hata kama hatuhitajiki kukopa.
Hapa tutaanza kuulizana kwamba kama hela zipo halafu bado tunajilazimisha kukopa basi kutakua na watu wananufaika na hiyo mikopo inayokopwa kwa lazima.
Nashauri tusiwe tunakopa kama fedha tunazo za kutosha.
Asante mkuu.Ni hivi, ile pesa ilikua itumike kuoam ana na uviko,,, sasa wao wakati wakiomba walitoa hoja kuwa huwezi kupambana na uviko bila ku create awareness,
Yaani Elimu ndicho chombo kina create awareness,, so miundombinu ya kuwezesha elimu ndo ni pamoja na madarasa na vyoo,,
Hiyo hoja ilueleweka kwa watoa pesa na wakatoa pesa wakijiua itaenda pia kuimarisha elimu kwa kuboresha miundombinu ya elimu,
SSH aliliweka hili wazi..
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Iliombwa mahsusi itumike pia kuboresha elimu, na ilielezwa, nashindwa kuona mnafail wapi kuelewa hii simple explanation.. [emoji23]Hakuna ulazima huo wa kutumia fedha za mikopo kwa ajili ya kujenga vyoo.
Kama unatumia akili sawa kufikiri utalitambua hilo ila kama unaamua kujitoa ufahamu na kuendeleza mjadala kutetea matumizi ya fedha za mikopo kujenga vyoo nitakua nimemalizana na wewe.
Eti umemalizana nami,, so ulitaka wanafunzi wanyee maporini?,Hakuna ulazima huo wa kutumia fedha za mikopo kwa ajili ya kujenga vyoo.
Kama unatumia akili sawa kufikiri utalitambua hilo ila kama unaamua kujitoa ufahamu na kuendeleza mjadala kutetea matumizi ya fedha za mikopo kujenga vyoo nitakua nimemalizana na wewe.
Lakini bado huo ni mkopo na matumizi ya mkopo huo ni kujenga vyoo.Iliombwa mahsusi itumike pia kuboresha elimu, na ilielezwa, nashindwa kuona mnafail wapi kuelewa hii simple explanation.. [emoji23]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Nakwambia nchi imedamshi sasa hivi , Mi naona ndio wanavyopaswa waitwe hao jamaa, hakuna namna,Wazungu wanatuona mazezeta by Ndugai
Hii ya upunguani ni mpya sasa.
Kwa hiyo wewe ulitaka vyoo na madarasa yasijengwe ili tatizo la watoto kukosa nafasi za masomo liendelee?Lakini bado huo ni mkopo na matumizi ya mkopo huo ni kujenga vyoo.
Kama unatetea tukope ili tujenge vyoo mkuu utakua na tatizo kubwa sana lakini hutaki kutambua kuwa unalo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona dishi limekukaa sawa sasa [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Punguani mkuu namjua[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2066197
Hasa Ummy Mwalimu anapenda sana kusema Rais katoa. Ila uenda SSH nae anademka na hii kauli."Wanamshukuru Rais kwa msaada wakati hilo ni deni la taifa" huu ndio upunguani wa wakuchanganua mambo.
Bado hujaelewa,, nadhani uko mzito kidogo,, ntakuelewesha taratibu,,Lakini bado huo ni mkopo na matumizi ya mkopo huo ni kujenga vyoo.
Kama unatetea tukope ili tujenge vyoo mkuu utakua na tatizo kubwa sana lakini hutaki kutambua kuwa unalo.
Setikali imekusanya trilioni 2.9 kwa mwezi disemba na bado ikakopa 1.3 kujenga vyoo.Kwa hiyo wewe ulitaka vyoo na madarasa yasijengwe ili tatizo la watoto kukosa nafasi za masomo liendelee?