Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Mimi mtaa ninaoishi kuna wachagga kadhaa lakini upenda kujikusanya kwenye grocery ya mchagga mwenzio ukikuta jinsi wanavyojisifu hadi aibu! Wanajiona wao ndo wao wakati wengine tunawaona wa kawaidaMimi ni mchaga ila hamna nisicho penda kama ubinafsi wa wachaga!i
Rushwa na wizi
Ndio 🐼Kwani huyu jamaa mbowe ni baba yake mzazi?
Chama sio mali ya familia
Itakuwa Grocery ya Wahaya hiyo 🐼Mimi mtaa ninaoishi kuna wachagga kadhaa lakini upenda kujikusanya kwenye grocery ya mchagga mwenzio ukikuta jinsi wanavyojisifu hadi aibu! Wanajiona wao ndo wao wakati wengine tunawaona wa kawaida
Dogo atamponza baba yake bure, jana Lemma alisema kuwa akijibiwa kihuni ataitisha press nyingine amalize mchezo habari iliyomshusha sukari Sultan,sasa akileta za kuleta Lemma atakuja apasue hilo buyu mbegu zimwagike.
Kumbe ni familia aiseeNdio 🐼
Ndio atakuwa Mwenyekiti wa Chadema babake akistaafu 🐼Kumbe ni familia aisee
Huyu mtoto amerithi utapeli wa baba yake anashangaa kwa nini Lemma hataki hela ya AbdulAlafu naye anasema NMETAFAKARI 🤣🤣
Yaan hapo jamaa katumia akili yake yote ,.mwisho anakuja ma tweet ya kimavimavi
Anachomaanisha Bob makani alioa dada wa Mtei na Freeman kaoa Bint wa MteiHawa wapuuzi ndio wanaochochea ukabila. Vinabebwa na chama tu lakini akili zero
Ohooooo 🫥🫥🫥Ndio atakuwa Mwenyekiti wa Chadema babake akistaafu 🐼
Zipo kimbowembowe zaidi....Je, tabia za Wachaga zipoje?..
SACCOS hiyo blazangu,werevu walishasanuka kitamboHawa Kenge ndo wanadhoofisha chama kwa kauli za ajabu ajabu kama hizi zenye mrengo wa kikabila
Ametoa kauli ya kikabila ambayo haisaidii sana kuzikanusha tuhuma zilizopo kwamba CHADEMA ni chama cha Wachagga.