Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kweli kabisa, hapo mchambuzi wa mchele kasahau kusema kwamba kibu yupo offside na amepanda juu ya mchezaji wa prisons.Mchambuzi wa Azam Sports 1, James Samwel amelichambua goli la Simba na kukiri wazi kuwa mpira ulishatoka kabla ya Kibu kuurudisha tena uwanjani na Mkude kuuweka ndani ya nyavu. Ameyasema hayo kwenye uchambuzi baada ya mchezo huo.
View attachment 2356944
Scars futa hii mkuu. Una heshima yako wacha kuweka mapicha ya kufoji tena yamefojiwa na watoto wa shule. Picha inaonekana kabisa imekuwa edited hiyo
Mpira ulikuwa bado upo kwenye play zone ni mchezaji tu ndio likuwa nusu uwanjani nusu nje ya uwanjaScars futa hii mkuu. Una heshima yako wacha kuweka mapicha ya kufoji tena yamefojiwa na watoto wa shule. Picha inaonekana kabisa imekuwa edited hiyo
Angalia vizuri picha uliyoiweka utaona kwenye nyavu pembeni kuna hali ya kufutwa kwa kitu. Yaani inaonekana kabisa ni picha iliyo editiwaMpira ulikuwa bado upo kwenye play zone ni mchezaji tu ndio likuwa nusu uwanjani nusu nje ya uwanja
Ukiangalia ukiwa umelewa highlife huwezi onaMi nikajua utaweka picha isiyo na utata kama ile ya goli la utopolo kumbe unabahatisha tu sasa huo mpira uliotoka uko wapi.
Naelewa vizuri sanaAngalia vizuri picha uliyoiweka utaona kwenye nyavu pembeni kuna hali ya kufutwa kwa kitu. Yaani inaonekana kabisa ni picha iliyo editiwa
Kwahiyo na nyavu ilichanika? Kuwa na aibu basi mkuuNaelewa vizuri sana
Huo uwanja ni mbovu sana afu ukiachana na hiyo hata chaki ya pembeni wamepaka kwa kutumia majivu
Mpira uko wapi hapo?Mchambuzi wa Azam Sports 1, James Samwel amelichambua goli la Simba na kukiri wazi kuwa mpira ulishatoka kabla ya Kibu kuurudisha tena uwanjani na Mkude kuuweka ndani ya nyavu. Ameyasema hayo kwenye uchambuzi baada ya mchezo huo.
View attachment 2356944
Nyavu zilichanika?