Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,208
Kamba iyo sisi tunashushia na maji baridiMchambuzi wa Azam Sports 1, James Samwel amelichambua goli la Simba na kukiri wazi kuwa mpira ulishatoka kabla ya Kibu kuurudisha tena uwanjani na Mkude kuuweka ndani ya nyavu. Ameyasema hayo kwenye uchambuzi baada ya mchezo huo.
View attachment 2356944