Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Hiyo ni camera illusion, huoni tunasisitiza Azam waboreshe Camera zao ili tuendelee kuishi vizuri na marefa?Nyavu zilichanika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni camera illusion, huoni tunasisitiza Azam waboreshe Camera zao ili tuendelee kuishi vizuri na marefa?Nyavu zilichanika?
Hakuna cha camera illusion bali hapo imefutwa walipokuwa wamesimama wakina KibuHiyo ni camera illusion, huoni tunasisitiza Azam waboreshe Camera zao ili tuendelee kuishi vizuri na marefa?
Kwa hiyo kwa mtazamo wako lilikua sio goli halali?Hakuna cha camera illusion bali hapo imefutwa walipokuwa wamesimama wakina Kibu
Angalia picha ya post namba 7 halafu linganisha na hiyo picha hii.
Zinautofauti, moja inaonesha Camera man alikaa katika angle ya juu wakati nyingine inaonesha Camera man alikuwa eneo la karibu na ndio maana hadi nyavu ulizosema zimechanika hapo zimeonekanaAngalia picha ya post namba 7 halafu linganisha na hiyo picha hii.
Hizi ni nyingine au zile zile za match ya Yanga vs Azam?Camera za Azam zisituchonganishe na waamuzi wetu
Ushavuta mpunga eehHayatuhusu
Nafikiri sawa ya haya yote no VAR, tukubali na itTusaidia. Kimsingi hizi picha za marejeo zinawaumbua waamuziCamera za Azam zisituchonganishe na waamuzi wetu
Daaaah sijategemea response hiiMwambie apulize filimbi
Goli halali kabisa, ajabh kuna watu wanaleta chokochoko.Daaaah sijategemea response hii
Hapo mwenye kujua kilichotokea ni mpira sasa wauulize ulipigiwa wapi?
Relaaax kaka yangu usipanick mchezo huu hautaki Hasira Rjiga kabalance equation.Scars futa hii mkuu. Una heshima yako wacha kuweka mapicha ya kufoji tena yamefojiwa na watoto wa shule. Picha inaonekana kabisa imekuwa edited hiyo
Tatizo hawajazoea kuona magoli magumu.M
Hapo mwenye kujua kilichotokea ni mpira sasa wauulize ulipigiwa wapi?