James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

Huyo jamaa ni wakumuepuka sana ikiwezekana mnipe hata address yake ili nisije niksjichanganya nikapita anga zake aanze kunikimbiza na mapanga kwa lengo la kupata thwawabu akimuua kafir

Watu kama hawa wakipata madaraka makubwa wanaweza kuifanya hii nchi kuwa ngumu sana na sio sehemu nzuri ya kuishi mtu mwenye kupenda uhuru

Yani kupitia maandishi tu unapata picha halisi ya roho mbaya aliyo nayo, ni mtu fulani asiyependa challenge anataka anachosema yeye kikubalike moja kwa moja na ndio maana unamuona akitoa maneno ya kuudhi


Nashukuru hata wewe umeligundua hilo, ni watu kama hao ndio wanauchafua Uisilamu na wapo wengi sana.

"Mungu amuongoze"
 
Yaani kazi kweli kweli Mkuu Hawa viumbe vitabu vyao Ili ujue ni empty kabisa utaona jinsi Gani wanavyozungumzia mwanzo wa Dunia Kwa hoja mufilisi,
Wao wanaamini Dunia iliumbwa na huyo Mungu wao ndio zikaja nyota na mwezi kitu ambacho ni kichekesho Cha Karne,
Hawajui Earth ni sehemu ndogo Sana Sana katika mfumo wa Galaxies Yaani Ili ujue hekaya zao ni mufilisi ni pale wanaposema ilianza kuumbwa Dunia na mbingu
😁😁😁😁😁
Wanakwambia jua liliumbwa siku ya tatu, unajiuliza sasa hizo siku tatu zilipitaje bila kuwepo jua?

Mtu anayeamini kuna mtu aliugawanyisha mwezi vipande viwili na kuurudisha tena, unafikiri utanshawishi vipi kwenye bing bang?
 
Narudia kusema; HAKUNA MATTER YOYOTE yenye REST MASS inayoweza kukimbia kwa speed ya Mwanga, never ever, hicho ndicho ninachosema, mfano haiwezekani gari au jiwe au risasi au ndege ambavyo ni Matter ziweze kukimbia at light speed "C".

Hapa tunazungumzia juu ya "the expanding speed of the universe" kwamba je, Universe ina expand kwa speed ya light?? na wala hatuzungumzii juu ya speed ya light inayotoka kwenye nyota, speed ya light kutoka kwenye nyota ni hiyo hiyo "C" na speed hiyo ni tofauti na speed ya Expansion of the universe which is less than "C".

Nadhani utakuwa umenipata.
Rudia tena kusoma post yangu uliyoiquote,,,then fanya research nakupa hata wiki nzima.
Ukishaelewa kuwa universe inaexpand faster than light urudi hapa.

Hapa tunaelimishana, hatubishani na wala sio ugomvi,,,kwahyo ukitaka unaacha lakini nimekupa mda ukajisomee (kama upo kujifunza) ,,ukipata maarifa urudi tena hapa
ukija na herufi zako kubwa za kubisha usilolijua nitaignore
lakini ukija umeshaelewa naomba ulijibu swali langu kwa upole...

Imewezekanaje hizo distant galaxies kusafiri faster than C????
 
Usinitoe katika nukta ya msingi jibu swali nililo kuuliza.

Hakuna Qur'aan iliyo ongelea The Big Bang,kingine msichokijua ni kuwa The Big Bang haelezei chanzo cha ulimwengu bali inajaribu kuelezea kutokea (Evolving).
Quran inaelezea chanzo cha Mungu? au evolving yake
 
Quran inaelezea chanzo cha Mungu? au evolving yake
Yes swali zuri ila Ngoja majibu yake ya vioja hapa kwanza atakuambia Mungu Hana chanzo ni mkuu na Alfa na Omega yeye alikuepo na takuepo Hana mwanzo Wala mwisho,
Wakati tunajua kabisa katika Universe law Kila kitu kina mwanzo!
Hapo ndio watu waamini Mungu hua wananiacha hoi!
 
Rudia tena kusoma post yangu uliyoiquote,,,then fanya research nakupa hata wiki nzima.
Ukishaelewa kuwa universe inaexpand faster than light urudi hapa.

Hapa tunaelimishana, hatubishani na wala sio ugomvi,,,kwahyo ukitaka unaacha lakini nimekupa mda ukajisomee (kama upo kujifunza) ,,ukipata maarifa urudi tena hapa
ukija na herufi zako kubwa za kubisha usilolijua nitaignore
lakini ukija umeshaelewa naomba ulijibu swali langu kwa upole...

Imewezekanaje hizo distant galaxies kusafiri faster than C????
Mimi mwenyewe nishawahi soma maelezo kama yako na wakatoa mfano kua ukipima kutaka kujua ni haraka ya kiasi gani, basi pale ambapo galaxies huonekana ku move kutoka kwetu kuelekea uelekeo wa mbali na sisi utagundua speed yake ni ya zaidi ya mwanga
 
Rudia tena kusoma post yangu uliyoiquote,,,then fanya research nakupa hata wiki nzima.
Ukishaelewa kuwa universe inaexpand faster than light urudi hapa.

Hapa tunaelimishana, hatubishani na wala sio ugomvi,,,kwahyo ukitaka unaacha lakini nimekupa mda ukajisomee (kama upo kujifunza) ,,ukipata maarifa urudi tena hapa
ukija na herufi zako kubwa za kubisha usilolijua nitaignore
lakini ukija umeshaelewa naomba ulijibu swali langu kwa upole...

Imewezekanaje hizo distant galaxies kusafiri faster than C????


Kweli hatubishani ila tunaelimishana tu na mimi kwenye ukweli nitakubali tu.

Ni hivi; kitu chochote chenye REST MASS haiwezekani kukimbia katika speed ya light, mfano chukua jiwe lenye kg 1, hilo jiwe REST MASS yake ndio hiyo 1kg, ukija kwenye photon yenyewe haina Mass (to be precise rest mass) ndio maana yenyewe inaweza kukimbia kwa speed of light "C", na light kama particles (Newton corpusclar theory ) ni stream of Photons zinazotembea katika speed ya "C", tukija kwenye hizo Galaxes etc zote hizo zina REST MASS, ni heavenly bodies having rest masses, sasa kimahesabu ya Kifizikia kamwe haziwezi kukimbia katika speed ya light labda useme zinakimbia katika speed close to the speed of light hapo sina shida, hebu jiulize kama zinakimbia katika speed ya light kwanini??--- kwanini zisimbie speed zaidi ya speed ya light??.. unless useme hizo galaxies ni electromagnetic waves hapo hakuna shida.

Nitakuletea formular inayo govern hicho ninachosema.
 
Mimi mwenyewe nishawahi soma maelezo kama yako na wakatoa mfano kua ukipima kutaka kujua ni haraka ya kiasi gani, basi pale ambapo galaxies huonekana ku move kutoka kwetu kuelekea uelekeo wa mbali na sisi utagundua speed yake ni ya zaidi ya mwanga
Yeah its mindblowing lakini ndio ukweli wenyewe...mimi nataka jamaa ajisomee agundue na sababu ya kwanini inakuwa hivyo huenda tutajifunza kitu hapa
 
Na mimi kila siku najiuliza mijitu duniani inashindana kuzaa na wakati tunajua wote tutakufa, sasa huu muundelezo wa kuuzaana una maana gani...
Maana wengine wanazaa na kuleta duniani viumbe ambavyo vitahangaika maisha yao yote mpaka kufa....
Aisee Darwin Theory was never appreciated ndio maana mnaletewa kila njia ya depopulation na waliojuwa haya.....
Umechanganyikiwa
 
Kweli hatubishani ila tunaelimishana tu na mimi kwenye ukweli nitakubali tu.

Ni hivi; kitu chochote chenye REST MASS haiwezekani kukimbia katika speed ya light, mfano chukua jiwe lenye kg 1, hilo jiwe REST MASS yake ndio hiyo 1kg, ukija kwenye photon yenyewe haina Mass (to be precise rest mass) ndio maana yenyewe inaweza kukimbia kwa speed of light "C", na light kama particles (Newton corpusclar theory ) ni stream of Photons zinazotembea katika speed ya "C", tukija kwenye hizo Galaxes etc zote hizo zina REST MASS, ni heavenly bodies having rest masses, sasa kimahesabu ya Kifizikia kamwe haziwezi kukimbia katika speed ya light labda useme zinakimbia katika speed close to the speed of light hapo sina shida, hebu jiulize kama zinakimbia katika speed ya light kwanini??--- kwanini zisimbie speed zaidi ya speed ya light??.. unless useme hizo galaxies ni electromagnetic waves hapo hakuna shida.

Nitakuletea formular inayo govern hicho ninachosema.
Hiyo formula nilishaiweka kitambo...ni E=mc2
Lakini you are missing the point
Inaonekana hata hujafuatilia kuhusu expansion ya universe kuwa faster than light na hutaki kufuatilia
UN.png
 
Kweli hatubishani ila tunaelimishana tu na mimi kwenye ukweli nitakubali tu.

Ni hivi; kitu chochote chenye REST MASS haiwezekani kukimbia katika speed ya light, mfano chukua jiwe lenye kg 1, hilo jiwe REST MASS yake ndio hiyo 1kg, ukija kwenye photon yenyewe haina Mass (to be precise rest mass) ndio maana yenyewe inaweza kukimbia kwa speed of light "C", na light kama particles (Newton corpusclar theory ) ni stream of Photons zinazotembea katika speed ya "C", tukija kwenye hizo Galaxes etc zote hizo zina REST MASS, ni heavenly bodies having rest masses, sasa kimahesabu ya Kifizikia kamwe haziwezi kukimbia katika speed ya light labda useme zinakimbia katika speed close to the speed of light hapo sina shida, hebu jiulize kama zinakimbia katika speed ya light kwanini??--- kwanini zisimbie speed zaidi ya speed ya light??.. unless useme hizo galaxies ni electromagnetic waves hapo hakuna shida.

Nitakuletea formular inayo govern hicho ninachosema.
jamaa apo juu kakuwekea mpaka picha
soma soma soma
 
....." katika ulimwengu wetu" na sio " dunia yetu " naomba nikurekebishe hapo kidogo paragraph ya kwanza mwishoni, isilete mkanganyiko kwa wasomaji wengine.

Naomba wafanikiwe katika hilo, hio ni moja ya sababu nzuri ya kuishi kwao astronauts na NASA kwa ujumla. They are living their entire life doing big big things.

JWST ina collects vipi data ? moja kwa moja inatuma duniani au mpaka mission iwe completed ndio inaleta data ?. In case ikikutana na viumbe wengine anga za mbali na wakaji'defend kwa kuki'attack JWST si tutakuwa tumepata hasara ?
Mzee baba electromagnetic wave move in speed of lite
 
Back
Top Bottom