edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Sasa si dunia na hali ya hewaChanzo Cha hyo evolution na natural selection ni KIPI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si dunia na hali ya hewaChanzo Cha hyo evolution na natural selection ni KIPI?
Sasa si dunia na hali ya hewa
Kasema wapi, kamwambia nani na ni mungu yupi maana hizo idea za mungu zipo nyingi. Je tunajuaje mungu wako ni wa kweli kudhidi miungu mingineSasa Mungu ndo anasema YEYE KAUMBA DUNIA .
hapo unasemaje,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huko juu umenitoa dosari kwenye bing bang ukidai kwamba ni kwasababu imetoakana na mawazo ya mtu, naona hapa unajisahau na unarudia kosa lile lile kwa kuirejea Quran ambayo imetafsiriwa kwa mawazo ya muhammadNaam siyo Waislamu hizo ni dini zinazo jinasibisha na Uislamu.
Sababu za kurejea Tafsiri ili usichukue au kuelewa ndivyo sivyo,ndiyo maana Mtume ameishi maisha yake yote akiifasiri Qur'aan. Na kila alichokisema kimenukuliwa.
Swadaktaa lazima nirejee kwenye marejeo,ili kuepuka kukosea katika maana na kufanyia kazi tamko husika.
Mungu kasena au vitabu ndio vimeandika kwamba Mungu kasema?Sasa Mungu ndo anasema YEYE KAUMBA DUNIA .
hapo unasemaje,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nimeisoma na ndio maana nakuuliza hiyo bing bang unayoizungumzia wewe haielezei mwanzo wa ulimwengu umeitolea wapi?Hivi huwa unasoma ninachokoandika ?
Haya ndiyo matatizo ya kukwepa maswali ninayo kuuliza,Big Bang yenyeww inaonyesha hilo. Kaisome tena.
Ndiyo maana nataka uthibitishe ukweli wa hiyo nadharia unarukaruka na kupoteza muda.
Hili swali lingine sasa,onyesha ukweli wa Big Bang Theory.
Kijama inakiwaje unakimbia maswali na kupoteza muda ?
Kwa hoja gani unaweza kuonesha uislamu ulikuwepo kabla ya ukristo?Mimi sina uwezo wa kulitafsiri tamko Uislamu zaidi ya kuchukua nukuu toka vitabuni. Hapa ndipo ilipo hoja yangu.
Ukijifunza lugha,utakutana na namna zinazokubaliwa zakufasiri maneno,zipo maana za neno kilugha na kiistilahi na kuna maana ya maneno kulingana na munasaba. Sasa hi hoja huwezi kuikwepa kielimu lakini,ila kama ni kiubishi ni rahisi sana.
Umejuaje kwamba walisoma Quran na sio sumerian holy texts iliyoandikwa maelfu ya miaka kabla ya Quran kuwepo?Wazungu walisoma Qur'an ndipo wakajifanya wao ndio wamegundua kitu ambacho tayari kiliandikwa 1400 ago.
The same questionKwanini Mola awe na chanzo ?
Mungu kasena au vitabu ndio vimeandika kwamba Mungu kasema?
Kasema wapi, kamwambia nani na ni mungu yupi maana hizo idea za mungu zipo nyingi. Je tunajuaje mungu wako ni wa kweli kudhidi miungu mingine
hawajuniambia , nimetokana kwa chance .. mimi hujajibu swaki langu mungu yupi sasa alisema hayo maana duniani hapa kuna miungu wengi . Kwanini utuaninishe wako ndio sahihi na wengine sio sahihi. Na mimi kukuuliza mungu alisema wapi maana nataka jua lini alitamka hayo kama ametuumba . Maana mimi mama yangu ameniambia amenizaa na ushahidi upo maana nafanana na wazazi wanguWakati baba yako na Mama yako wanafanya mapenzi utoke wewe walikwambia wanataka kukuzaa?
hawajuniambia , nimetokana kwa chance .. mimi hujajibu swaki langu mungu yupi sasa alisema hayo maana duniani hapa kuna miungu wengi . Kwanini utuaninishe wako ndio sahihi na wengine sio sahihi. Na mimi kukuuliza mungu alisema wapi maana nataka jua lini alitamka hayo kama ametuumba . Maana mimi mama yangu ameniambia amenizaa na ushahidi upo maana nafanana na wazazi wangu
Hili jibu halina maanaKwa hyo ulitaka Mungu aweke maspika mbinguni akwambie yeye ndo kakuumba?
baba yako na Mama yako walipokuwa wanafanya mapenzi utoke wewe walikwambia wanataka kukuzaa?
siwezi kuamini hilo jambo maana mimi nimezaliwa na wazee wangu sijaumbwa. Mimi na wewe genetically tupo identical 99.9% sisi na sokwe genetically tupo identical 98.4% . So it is natural selection iliyonifanya nitokee kuwa hivi nasio power ya ajabu iliyojificha mbingu ya saba na ukiulizwa hiyo mbingu ipo wapi huwezi tajaHawajakwambia kwa sababu yupo aliyefanya hivyo.ndo maana nimekupa hyo Aya ya 40.
Mungu anasema yeye ndo katuumba,yeye ndo anatupa riziki,yeye ndo anafanya watu wafe na yeye ndio atakeye wafufua.
Unakwama wapi?View attachment 2066865
Nachokimaanisha hapa ni kwamba kuna maelfu ya dini ambayo yana madai kama dini yako kua Mungu wao naye kasema kupitia vitabu vyaoKwa hyo ulitaka Mungu aweke maspika mbinguni akwambie yeye ndo kakuumba?
baba yako na Mama yako walipokuwa wanafanya mapenzi utoke wewe walikwambia wanataka kukuzaa?
siwezi kuamini hilo jambo maana mimi nimezaliwa na wazee wangu sijaumbwa. Mimi na wewe genetically tupo identical 99.9% sisi na sokwe genetically tupo identical 98.4% . So it is natural selection iliyonifanya nitokee kuwa hivi nasio power ya ajabu iliyojificha mbingu ya saba na ukiulizwa hiyo mbingu ipo wapi huwezi taja
Nachokimaanisha hapa ni kwamba kuna maelfu ya dini ambayo yana madai kama dini yako kua Mungu wao naye kasema kupitia vitabu vyao
Kwa hiyo utakubali kuq vitabu hivyo ni neno la Mungu wa kweli?
Sikuwepo maana ili mimi niwepo lazima 23 chromosomes za baba yangu na za mama yangu ziunga ziwe 46 zianze instruction ya mitosis.Unaweza kuniambia kabla ya wewe kukaa kwenye tumbo la mama yako ulikuwa kitu gani?
Maswali unayouliza ni irrelevant na ulicho hojiwaWakati baba yako na Mama yako wanafanya mapenzi utoke wewe walikwambia wanataka kukuzaa?