James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

Mimi sikubaliani na hayo maelezo ya heaven and earth kutoka kwa dini yako wala summerian kwamba ni maelezo yanayoelezea bing bang

Kama hukubaliani kwamba maelezo hayo ya Summerian yanahusu the big bang kwanini uliyaleta hapa na kuyahusisha na Qur'an katika Subject matter ya the big bang??!----kumbuka topic ni the big bang katika Quran sasa kwanini uingize vitu visivyohusika??!!.

Kwa hiyo hoja yeyote inayohusiana na hizo aya napinga kwamba zimeongelea bing bang, ifahamike hivyo kwanza.

Kwahiyo hata hayo maandishi ya Summerians unayoyashadidia kwamba Qur'an imeyakopi nayo sasa hayafai??, sasa yamekuwa ya uongo na sio ukweli tena?!!

Halafu nikija sasa kwenye hoja yako ya kuhusu kuandika habari ambayo ilishawahi kuandikwa before au kutafiti vyanzo vya vitu ambavyo viliwahi kuandikwa kwenye source nyingine kabla, kuhusisha jambo hilo na dhana ya kukopi taarifa bila shaka hoja hiyo imeletwa humu na wewe.

Hiyo hoja ya kukopi ni wewe ndiye uliyeileta wala sio mimi, ni wewe unayesema au uliyesema kwamba Qur'an imekopi hiyo habari ya the big bang kutoka katika Holy scripts za dini ya kale ya Kipagani ya Summerians!!, iweje sasa unaniangushia mzigo wako mimi??!, mimi nilikupa hoja; 1--- ukweli unatoka kwa Mungu na hata kama ukweli utoke kwa "Muongo" bado utabaki kuwa ukweli licha ya yeye kuwa na tabia ya uongo, uongo unatoka kwa shetani hivyo hao Summerians licha ya upagani wao lakini hatuwezi kupinga Ukweli wao, 2--- Nikakupa hoja kwamba; kama unasema Qur'an ilikopi kutoka kwa hao Summerians vipi na mimi nikisema kwamba hao Summerians na wao walikopi habari hiyo kutoka kwa Watakatifu wa Mungu katika zama hizo waliofunuliwa hiyo habari ya the big bang ambayo hivi sasa unaikanusha??!, 3--- Hoja nyingine niliyotoa ni; Mungu/Allah ni yeye kwa mujibu wa Qur'an aliyeanzisha hiyo the big bang na aliianzisha hata kabla hajawaumba hao Summerians na viumbe hai wengine sasa utasemaje maandishi ya the big bang ndani ya Qur'an awe amekopi?!, akopi habari ya jambo alilofanya mwenyewe kutoka kwa Summerians??!!, labda upinge Qur'an sio ufunuo wa Allah ambayo hiyo ni mada nyingine.

Wewe ndiye uliyedai kwamba sayansi inatumia Quran kufanya majaribio yake kwasababu kipindi Quran inaandikwa hakukuwahi kuwepo na sayansi

Madai yangu ni haya; wanasayansi wamekuwa wakivumbua baadhi ya mambo ambayo tayari yalikwisha elezwa na Qur'an tangu miaka 1400 iliyopita na katika hilo kuna baadhi ya wanasayansi wamekuwa wakisoma Qur'an ili kupata chochote kitakachowasaidia katika mambo yao ya kisayansi na nimekupa mfano hai wa Mwanasayansi nguli (international calibre) ambaye alikuwa anadai kuwa theory zake za kifizikia (base) alikuwa anazipata kutoka katika Qur'an jambo ambalo wanasayansi wenzake walikuwa wanashangaa sana wakiangalia U genious wake na jambo analoliongea na hata baadhi yao ilibidi waanze kusoma Qur'an.

Mimi ndo nimekuuliza kama ndio hivyo basi hata Quran itakuwa ime kopi maelezo ya hiyo aya kutoka kwenye dini ya kale ya summerian kwa maana ilikuwepo miaka elfu kabla ya uislam.

Kama wewe unaleta dhana hiyo ya kukopi na mimi usinipinge nikisema; hao Summerians huenda nao walikopi habari hiyo kutoka kwa watakatifu wa Mungu katika zama hizo kwani UKWELI WOTE hutoka kwa Mungu na Uongo wote hutoka kwa shetani, licha ya hao kuwa wapagani huwezi kupinga kwamba hata siku moja hawakusema jambo la ukweli.

Sasa nataka nijue msimamo wako hapa ni upi, unakubali kua sayansi haifanyi majaribio kwa kuangalia kilichoandikwa kwenye Quran bali ni kwa utashi wake, au inafanya hivyo kwa kufata muongozo wa Quran halafu baadaye ulazimike kukubali kua Quran ilikopi maelezo kutoka kwenye dini nyingine?

Mimi sijasema kwamba sayansi (wanasayansi) YOTE inafuata kilichoandikwa ndani ya Qur'an kwani kuna Wanasayansi wengine hata hiyo Qur'an hawaiamini sembuse hata kuisoma!!!, ninachosema ni hichi; wanasayansi wamekuwa wakigundua/vumbua mambo ambayo Qur'an imeisha yaeleza kabla na wapo wanasayansi ambao kwa kauli zao wenyewe wanasema wameweza kujifunza na kugundua habari zilizowasaidia katika mambo yao ya kisayansi.

Na kama sayansi imetafiti bing bang utajuaje kama ilitumia mungozo wa kitabu chako na sio summerian holy texts ya miaka ya zamani kabla ya kitabu chako?

Yote kwa yote, tufanye hao wanasayansi walifuata hiyo Summerians holy texts kutafiti the big bang, niambie UKWELI unatoka kwa Mungu au unatoka kwa shetani??!, kama kitabu cha Summerians kimeandika habari ya ukweli na Qur'an imeandika habari hiyo hiyo ya Ukweli kosa hapo nini??, Kosa ni Qur'an kuurejea huo kuandika UKWELI??!.

Wewe ndugu nimegundua upo hivi; "kama nduguyo ni Muongo upo radhi kutetea uongo wake kwa kuwa ni nduguyo lakini haupo radhi kutetea ukweli wa adui asiye nduguyo".--- huo sio uadilifu na Mungu hapendi jambo hilo.

Huyo mwanasayansi au sheikh?

Unataka kujua Abdus Salam ni Shk au Mwanasayansi??

Huyo alikuwa ni mwasayansi wa International calibre, anao mchango katika fani ya Physics, yeye alipata nishani ya Nobel katika physics in Electro weak forces unification, yeye ndiye aliyeanzisha Department of theoretical physics katika Emperial college London, yeye ndiye aliyesaidia kugunduliwa kwa God particle/Higgs bossin particle kwa kubuni (formulations ) the biggest and expensive particle accelerator (Hydron collider) huko Swiss, yeye ndiye aliyejenga kituo cha kisayansi kwa ajili ya nchi zote zinazoendelea huko Trease Italy, yeye alikuwa prof, katika Cambridge university, kafanya tafiti nyingi za kisayansi kwa ajili ya makampuni makubwa mbalimbali duniani, kaandika Theories nyingi sana hadi leo hii hakuna mwanasayansi aliyezigusa hadi Colleagues wenzake walimuambia hadi Einstein afufuke ndiye anaweza ku comment katika theories zake, kaandika vitabu kadhaa kuhusu Physics, anazo nishani dozens kutoka katika vyuo vikuu na taasisi mbalimbali duniani, Kwakweli huyu mtu anayo profile kubwa sana, ila dunia labda haimpendi kwa kusema kwake; "Theories zangu zote nimezipata kutoka katika Qur'an tukufu"--- huyo ndiye Marehemu Prof Abdus salam aliyepata kuja Tz miaka ya 1979?? na akapokewa ikulu kwa heshima na Mwalim Jk nyerere pia alitoa muhadhara UDSM kuhusu sayansi nk,, huyo ndiye aliyepata kupikiwa chai na Waziri mkuu wa zamani wa India Bibi Indira Ghandi pia alimuomba abadilishe uraia wake na awe indian badala ya Pakistan, anayo historia ndefu ambayo hatuwezi kuimaliza hapa.

Hatajwi sana kwasababu ya Uisilamu wake.
 
Kama hukubaliani kwamba maelezo hayo ya Summerian yanahusu the big bang kwanini uliyaleta hapa na kuyahusisha na Qur'an katika Subject matter ya the big bang??!----kumbuka topic ni the big bang katika Quran sasa kwanini uingize vitu visivyohusika??!!.
Unavyosema subject matter ya bing bang kwenye Quran ni kama unataka kumaanisha kua mimi pia nilikua hiyo kitu ambacho sio kweli

Nimekuja na hoja za summerian sio kwasababu nakubaliana na pseudoscience ya Quran, nimeleta hiyo hoja kutokana na wewe ulivyokuwa unaipamba Quran kuwa ndio kitabu pekee kilichoandika hizo habari unazodai ni BB

Na pia kutokana na hoja yako kwamba wanasayansi walifanya utafiti wa Bing Bang baada ya kusoma Quran, na ndio maana nikakuambia maelezo ambayo unayodai yapo kwenye Quran ambapo kwa mujibu wako unasema yameelezea Bing Bang mbona yalishawahi kuwepo kwenye dini ya summerian miaka elfu kabla hata Quran haijaja....

Ukisema topic ni Bing Bang kwenye Quran haina maana kwamba na mimi nakubaliana na mtazamo wako kwamba Quran imeelezea bing bang
Kwahiyo hata hayo maandishi ya Summerians unayoyashadidia kwamba Qur'an imeyakopi nayo sasa hayafai??, sasa yamekuwa ya uongo na sio ukweli tena?!!
Ni uwongo kuwa yamezungumzia Bing Bang, ila ni ukweli kua yali exist kabla ya Quran


Hiyo hoja ya kukopi ni wewe ndiye uliyeileta wala sio mimi, ni wewe unayesema au uliyesema kwamba Qur'an imekopi hiyo habari ya the big bang kutoka katika Holy scripts za dini ya kale ya Kipagani ya Summerians!!, iweje sasa unaniangushia mzigo wako mimi??!,
Utakuwa umesahau kua hizi habari za kukopi umezileta wewe, hapa chini ulisema wazungu walisoma Quran
1641276909938.png

Ukaja ukasema hivi tena
1641276718378.png


Mpaka hapo kati ya mimi na wewe ni yupi aliyekuja na habari za watu fulani kutumia vyanzo vilivyotangulia kwenye mambo yao?
mimi nilikupa hoja; 1--- ukweli unatoka kwa Mungu na hata kama ukweli utoke kwa "Muongo" bado utabaki kuwa ukweli licha ya yeye kuwa na tabia ya uongo, uongo unatoka kwa shetani hivyo hao Summerians licha ya upagani wao lakini hatuwezi kupinga Ukweli wao,
Mungu gani? kumbuka hapa tunazungumzia Enlil
2--- Nikakupa hoja kwamba; kama unasema Qur'an ilikopi kutoka kwa hao Summerians vipi na mimi nikisema kwamba hao Summerians na wao walikopi habari hiyo kutoka kwa Watakatifu wa Mungu katika zama hizo waliofunuliwa hiyo habari ya the big bang ambayo hivi sasa unaikanusha??!
Hoja yeyote ya namna hiyo kwangu mimi itakuwa rahisi kupitia kanuni uliyoitumia kwa wanasayansi kwamba wame kopi kutoka kwenye Quran, kwa hiyo kama kuna maelezo mengine kama hayo yalishawahi kuwepo kabla ya summerian kupitia kanuni yako nitakubali kua wamekopi
, 3--- Hoja nyingine niliyotoa ni; Mungu/Allah ni yeye kwa mujibu wa Qur'an aliyeanzisha hiyo the big bang na aliianzisha hata kabla hajawaumba hao Summerians na viumbe hai wengine sasa utasemaje maandishi ya the big bang ndani ya Qur'an awe amekopi?!, akopi habari ya jambo alilofanya mwenyewe kutoka kwa Summerians??!!, labda upinge Qur'an sio ufunuo wa Allah ambayo hiyo ni mada nyingine.
Unachanganya mambo, unapofanya mjadala na mtu asiyeamini dini yako wala Mungu haupaswi kuweka hoja kama hizo kwamba Allah kasema hivi au kasema vile as a fact. Nikikuambia kwamba hao summerians wana Mungu wao anaitwa Enlil na kwa mujibu wao ndio Mungu wa kweli na ndio mwanzilishi wa hayo maelezo ambayo wewe unadai ni bing bang pia wakakumbia kwamba Allah unayemuamini wewe ni mmoja kati ya miungu ya kutungwa iliyokuja miaka ya hivi karibuni na imekopi maelezo mengi kutoka vyanzo vya dini nyingine nyingi ambazo zilitangulia kabla ya uislam, utakubali?

Sasa nini kinachofanya Mungu wako awe special kuliko Mungu wa dini nyingine?

Leo hii mtu akija akaanzisha dini ambapo kitabu chake cha muongozo wa kiimani kimesheheni baadhi ya maneno yanayo fanana na vitabu vya dini nyingine ikiwemo na dini yako. Halafu ndani ya hicho kitabu kuna maelezo yanayosema Quran na vitabu vingine vilivyotangulia ni upagani tu na watu wote mnabidi mkubali hilo kwakua ndani ya hicho kitabu kuna maneno matakatifu ya Mungu wakweli na hamna budi kukubaliana na ukweli huo kwa kua yeye ndiye alianzisha huu ulimwengu kabla hata ya uislam na dini zingine kuwepo. utakubali?

Utakataa kwa hoja gani ili ionekane dini hiyo na Mungu huyo ni wa uwongo na wako ndio wa ukweli?

Utasema Quran ndio kitabu cha mwisho na muhammad ndio mtume wa mwisho na tuliambiwa na Allah kwamba yeyote atakayekuja baada yetu ni mpotoshaji? Lakini vipi naye akija na maandiko yake ambayo yanapinga hizo aya na yakisisitiza kwamba Allah ni Mungu wa upagani ambaye katungwa kwenye kitabu cha uwongo?



Madai yangu ni haya; wanasayansi wamekuwa wakivumbua baadhi ya mambo ambayo tayari yalikwisha elezwa na Qur'an tangu miaka 1400 iliyopita na katika hilo kuna baadhi ya wanasayansi wamekuwa wakisoma Qur'an ili kupata chochote kitakachowasaidia katika mambo yao ya kisayansi na nimekupa mfano hai wa Mwanasayansi nguli (international calibre) ambaye alikuwa anadai kuwa theory zake za kifizikia (base) alikuwa anazipata kutoka katika Qur'an jambo ambalo wanasayansi wenzake walikuwa wanashangaa sana wakiangalia U genious wake na jambo analoliongea na hata baadhi yao ilibidi waanze kusoma Qur'an.
Mfano ambao unaonesha tafiti iliyogunduliwa na wanasayansi baada ya kusoma Quran ni upi?
Kama wewe unaleta dhana hiyo ya kukopi na mimi usinipinge nikisema; hao Summerians huenda nao walikopi habari hiyo kutoka kwa watakatifu wa Mungu katika zama hizo kwani UKWELI WOTE hutoka kwa Mungu na Uongo wote hutoka kwa shetani, licha ya hao kuwa wapagani huwezi kupinga kwamba hata siku moja hawakusema jambo la ukweli.
Mimi nimekuambia kwa namna yeyote ile hii hoja ya kukopi hainiathiri mimi kwasababu mimi sio muumini wa hiyo nadharia kwamba imeelezea bing bang. Kwa hiyo hata nikisema nakubaliana na wewe kua summerian wamekopi (japo umeweka kama assumption bila data kama ambavyo mimi nilikuambia Quran imekopi na nikakuwekea data) utajikuta upo katika position ngumu ya kukubali kua hata Quran ime kopi kwa dini za kipagani hayo maelezo
Mimi sijasema kwamba sayansi (wanasayansi) YOTE inafuata kilichoandikwa ndani ya Qur'an kwani kuna Wanasayansi wengine hata hiyo Qur'an hawaiamini sembuse hata kuisoma!!!, ninachosema ni hichi; wanasayansi wamekuwa wakigundua/vumbua mambo ambayo Qur'an imeisha yaeleza kabla na wapo wanasayansi ambao kwa kauli zao wenyewe wanasema wameweza kujifunza na kugundua habari zilizowasaidia katika mambo yao ya kisayansi.
Kwa hiyo unafuta kauli yako ya mwanzo kua sio kweli kwamba wazungu walisoma Quran na ndipo wakajifanya wamegundua kitu ambacho kimeandikwa 1400?
Yote kwa yote, tufanye hao wanasayansi walifuata hiyo Summerians holy texts kutafiti the big bang, niambie UKWELI unatoka kwa Mungu au unatoka kwa shetani??!,
Mungu gani? Enlil au Allah?
kama kitabu cha Summerians kimeandika habari ya ukweli na Qur'an imeandika habari hiyo hiyo ya Ukweli kosa hapo nini??, Kosa ni Qur'an kuurejea huo kuandika UKWELI??!.
Kwa muktadha wa kidini

Kama wewe unasema hiyo ni habari inayozungumzia bing bang na unakubali katika hicho kipindi cha summerian hakukuwa na sayansi yeyote yenye kuweza kuelezea hiyo habari, katika jicho la kidini iliwezekanaje dini ambayo leo hii dini yako inai consider summerian kama dini ya kipagani kupitia Mungu wao Enlil akaandika habari nzito kama hiyo?

Unajuaje kama upande uliposimama wewe sio upande potofu?



Wewe ndugu nimegundua upo hivi; "kama nduguyo ni Muongo upo radhi kutetea uongo wake kwa kuwa ni nduguyo lakini haupo radhi kutetea ukweli wa adui asiye nduguyo".--- huo sio uadilifu na Mungu hapendi jambo hilo.
Hapana nilichokibaini kutoka kwako ni kwamba ukweli unaupima kulingana na maelezo ya sehemu moja kama yana match na sehemu nyingine ambayo ulisha jiaminisha kwamba maneno hayo ni complete true with no doubts

Ni kwamba summerian imesema ukweli sio kwasababu yale maneno yamepitia kanuni za uthibitisho, ni ya kweli ni kwasababu yale maneno yana fanana na maneno yaliyomo kwenye Quran, sasa je hicho ndio kipimo?


Unataka kujua Abdus Salam ni Shk au Mwanasayansi??

Huyo alikuwa ni mwasayansi wa International calibre, anao mchango katika fani ya Physics, yeye alipata nishani ya Nobel katika physics in Electro weak forces unification, yeye ndiye aliyeanzisha Department of theoretical physics katika Emperial college London, yeye ndiye aliyesaidia kugunduliwa kwa God particle/Higgs bossin particle kwa kubuni (formulations ) the biggest and expensive particle accelerator (Hydron collider) huko Swiss, yeye ndiye aliyejenga kituo cha kisayansi kwa ajili ya nchi zote zinazoendelea huko Trease Italy, yeye alikuwa prof, katika Cambridge university, kafanya tafiti nyingi za kisayansi kwa ajili ya makampuni makubwa mbalimbali duniani, kaandika Theories nyingi sana hadi leo hii hakuna mwanasayansi aliyezigusa hadi Colleagues wenzake walimuambia hadi Einstein afufuke ndiye anaweza ku comment katika theories zake, kaandika vitabu kadhaa kuhusu Physics, anazo nishani dozens kutoka katika vyuo vikuu na taasisi mbalimbali duniani, Kwakweli huyu mtu anayo profile kubwa sana, ila dunia labda haimpendi kwa kusema kwake; "Theories zangu zote nimezipata kutoka katika Qur'an tukufu"--- huyo ndiye Marehemu Prof Abdus salam aliyepata kuja Tz miaka ya 1979?? na akapokewa ikulu kwa heshima na Mwalim Jk nyerere pia alitoa muhadhara UDSM kuhusu sayansi nk,, huyo ndiye aliyepata kupikiwa chai na Waziri mkuu wa zamani wa India Bibi Indira Ghandi pia alimuomba abadilishe uraia wake na awe indian badala ya Pakistan, anayo historia ndefu ambayo hatuwezi kuimaliza hapa.

Hatajwi sana kwasababu ya Uisilamu wake.
Hiyo theory ya higgs bossin aliiandika mwaka gani?
 
Unavyosema subject matter ya bing bang kwenye Quran ni kama unataka kumaanisha kua mimi pia nilikua hiyo kitu ambacho sio kweli

Nimekuja na hoja za summerian sio kwasababu nakubaliana na pseudoscience ya Quran, nimeleta hiyo hoja kutokana na wewe ulivyokuwa unaipamba Quran kuwa ndio kitabu pekee kilichoandika hizo habari unazodai ni BB

Na pia kutokana na hoja yako kwamba wanasayansi walifanya utafiti wa Bing Bang baada ya kusoma Quran, na ndio maana nikakuambia maelezo ambayo unayodai yapo kwenye Quran ambapo kwa mujibu wako unasema yameelezea Bing Bang mbona yalishawahi kuwepo kwenye dini ya summerian miaka elfu kabla hata Quran haijaja....

Ukisema topic ni Bing Bang kwenye Quran haina maana kwamba na mimi nakubaliana na mtazamo wako kwamba Quran imeelezea bing bang

Ni uwongo kuwa yamezungumzia Bing Bang, ila ni ukweli kua yali exist kabla ya Quran



Utakuwa umesahau kua hizi habari za kukopi umezileta wewe, hapa chini ulisema wazungu walisoma Quran
View attachment 2067843
Ukaja ukasema hivi tena
View attachment 2067836

Mpaka hapo kati ya mimi na wewe ni yupi aliyekuja na habari za watu fulani kutumia vyanzo vilivyotangulia kwenye mambo yao?

Mungu gani? kumbuka hapa tunazungumzia Enlil

Hoja yeyote ya namna hiyo kwangu mimi itakuwa rahisi kupitia kanuni uliyoitumia kwa wanasayansi kwamba wame kopi kutoka kwenye Quran, kwa hiyo kama kuna maelezo mengine kama hayo yalishawahi kuwepo kabla ya summerian kupitia kanuni yako nitakubali kua wamekopi

Unachanganya mambo, unapofanya mjadala na mtu asiyeamini dini yako wala Mungu haupaswi kuweka hoja kama hizo kwamba Allah kasema hivi au kasema vile as a fact. Nikikuambia kwamba hao summerians wana Mungu wao anaitwa Enlil na kwa mujibu wao ndio Mungu wa kweli na ndio mwanzilishi wa hayo maelezo ambayo wewe unadai ni bing bang pia wakakumbia kwamba Allah unayemuamini wewe ni mmoja kati ya miungu ya kutungwa iliyokuja miaka ya hivi karibuni na imekopi maelezo mengi kutoka vyanzo vya dini nyingine nyingi ambazo zilitangulia kabla ya uislam, utakubali?

Sasa nini kinachofanya Mungu wako awe special kuliko Mungu wa dini nyingine?

Leo hii mtu akija akaanzisha dini ambapo kitabu chake cha muongozo wa kiimani kimesheheni baadhi ya maneno yanayo fanana na vitabu vya dini nyingine ikiwemo na dini yako. Halafu ndani ya hicho kitabu kuna maelezo yanayosema Quran na vitabu vingine vilivyotangulia ni upagani tu na watu wote mnabidi mkubali hilo kwakua ndani ya hicho kitabu kuna maneno matakatifu ya Mungu wakweli na hamna budi kukubaliana na ukweli huo kwa kua yeye ndiye alianzisha huu ulimwengu kabla hata ya uislam na dini zingine kuwepo. utakubali?

Utakataa kwa hoja gani ili ionekane dini hiyo na Mungu huyo ni wa uwongo na wako ndio wa ukweli?

Utasema Quran ndio kitabu cha mwisho na muhammad ndio mtume wa mwisho na tuliambiwa na Allah kwamba yeyote atakayekuja baada yetu ni mpotoshaji? Lakini vipi naye akija na maandiko yake ambayo yanapinga hizo aya na yakisisitiza kwamba Allah ni Mungu wa upagani ambaye katungwa kwenye kitabu cha uwongo?




Mfano ambao unaonesha tafiti iliyogunduliwa na wanasayansi baada ya kusoma Quran ni upi?

Mimi nimekuambia kwa namna yeyote ile hii hoja ya kukopi hainiathiri mimi kwasababu mimi sio muumini wa hiyo nadharia kwamba imeelezea bing bang. Kwa hiyo hata nikisema nakubaliana na wewe kua summerian wamekopi (japo umeweka kama assumption bila data kama ambavyo mimi nilikuambia Quran imekopi na nikakuwekea data) utajikuta upo katika position ngumu ya kukubali kua hata Quran ime kopi kwa dini za kipagani hayo maelezo

Kwa hiyo unafuta kauli yako ya mwanzo kua sio kweli kwamba wazungu walisoma Quran na ndipo wakajifanya wamegundua kitu ambacho kimeandikwa 1400?

Mungu gani? Enlil au Allah?

Kwa muktadha wa kidini

Kama wewe unasema hiyo ni habari inayozungumzia bing bang na unakubali katika hicho kipindi cha summerian hakukuwa na sayansi yeyote yenye kuweza kuelezea hiyo habari, katika jicho la kidini iliwezekanaje dini ambayo leo hii dini yako inai consider summerian kama dini ya kipagani kupitia Mungu wao Enlil akaandika habari nzito kama hiyo?

Unajuaje kama upande uliposimama wewe sio upande potofu?




Hapana nilichokibaini kutoka kwako ni kwamba ukweli unaupima kulingana na maelezo ya sehemu moja kama yana match na sehemu nyingine ambayo ulisha jiaminisha kwamba maneno hayo ni complete true with no doubts

Ni kwamba summerian imesema ukweli sio kwasababu yale maneno yamepitia kanuni za uthibitisho, ni ya kweli ni kwasababu yale maneno yana fanana na maneno yaliyomo kwenye Quran, sasa je hicho ndio kipimo?



Hiyo theory ya higgs bossin aliiandika mwaka gani?


Wazungu wanasema; let's agree in our disagreements, hata kama nitakujibu hali itakuwa ile ile tu.

Kwaheri rafiki yangu mpendwa.
 
Shughuli ngumu kabisa ya major deployments imeisha.

Sasa hivi zimebakia shughuli kuu nne ambazo zitachukua takribani miezi mitano kabla ya telescope kuanza kufanya kazi:

1.L2 orbit insertion burn

2.Cooling down process

3.18 mirror segments alignments

4.Science instruments calibrations

 
Tayari nimeshaweka aya, endelea kusoma ukifuata pages.
51: adh-dhaariyat
47.Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika sisi bila ya shaka ndiyo wenye uwezo wa kuzitanua.

Kwa nini mungu anatumia nafsi ya kwanza uwingi au uyo mungu yupo na mwenzake
 
Watu wa dini mtuambie mapema huko nje ya dunia kilipotumwa hicho kifaa kuna kitu gani kwa mujibubwa vitabu vyenu

Msisubiri wanasayansi wahangaike halafu baadae mje na drama zenu kua "hi mbona imeelezwa kwenye kitabu chetu, hiki ni kitabu chenye habari nyingi za kisayansi"

Maana kuna watu wanasema vitabu vyao vya dini vimeandika habari za bing bang na swala la ulimwengu ku expand na ndio hoja ya kuvifanya vionekane vimeandikwa na Mungu.

Sasa je hicho kifaa kilichotumwa anga za mbali kikirudi na majibu tofauti kua sio kweli kwamba ulimwengu unatanuka mtakubali kua vitabu vyenu vilivyoandika habari za ulimwengu kutanuka vimepotosha pia?
Aisee...
 
51: adh-dhaariyat
47.Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika sisi bila ya shaka ndiyo wenye uwezo wa kuzitanua.

Kwa nini mungu anatumia nafsi ya kwanza uwingi au uyo mungu yupo na mwenzake


1-----Kuna kitu kinaitwa "majestic plural" (sijui kiswahili chake), hii ni kauli ya Wingi inayoashiria uwezo, nguvu, mamlaka nk, katika kutenda jambo, lugha kama hii hata hutumiwa na viongozi na watawala pia, mfano unaweza kusikia Rais anasema; Mwaka huu tutajenga hospitali na Shule kadhaa, hapo anatuma neno tutajenga na sio mamlaka/serikali itajenga, hayo ndio matumizi ya "majestic plural".

2-----Mwenyezi mungu anazo nyenzo zake za kutendea kazi nazo ni Malaika, hao ni viumbe aliowaumba ili awaamrishe kutenda kazi anayoitaka, hivyo pia ukikuta Mwenyezi mungu katumia neno "sisi" katika jambo Maana yake pia jambo hilo limetendwa na malaika kwa amri yake hivyo wingi sisi inakusanya na malaika katika utendaji.
 
Hii dunia itafika wakati vizazi vya karne kumi zijazo watakuwa wanatushangaa sisi ni vp tuliamini Mungu ni muumba wa ulimwengu kama sisi tunavovishangaa vizazi vya karne 10 nyuma ni vipi waliamini kuwa mawe, miti na milima ndio miungu iliyowatatulia shida zao.
Mungu hafananishwi na ujinga wowote, Mungu yupo na ndo muumba wa vyote
 
1-----Kuna kitu kinaitwa "majestic plural" (sijui kiswahili chake), hii ni kauli ya Wingi inayoashiria uwezo, nguvu, mamlaka nk, katika kutenda jambo, lugha kama hii hata hutumiwa na viongozi na watawala pia, mfano unaweza kusikia Rais anasema; Mwaka huu tutajenga hospitali na Shule kadhaa, hapo anatuma neno tutajenga na sio mamlaka/serikali itajenga, hayo ndio matumizi ya "majestic plural".

2-----Mwenyezi mungu anazo nyenzo zake za kutendea kazi nazo ni Malaika, hao ni viumbe aliowaumba ili awaamrishe kutenda kazi anayoitaka, hivyo pia ukikuta Mwenyezi mungu katumia neno "sisi" katika jambo Maana yake pia jambo hilo limetendwa na malaika kwa amri yake hivyo wingi sisi inakusanya na malaika katika utendaji.
Ok
 
1-----Kuna kitu kinaitwa "majestic plural" (sijui kiswahili chake), hii ni kauli ya Wingi inayoashiria uwezo, nguvu, mamlaka nk, katika kutenda jambo, lugha kama hii hata hutumiwa na viongozi na watawala pia, mfano unaweza kusikia Rais anasema; Mwaka huu tutajenga hospitali na Shule kadhaa, hapo anatuma neno tutajenga na sio mamlaka/serikali itajenga, hayo ndio matumizi ya "majestic plural".

2-----Mwenyezi mungu anazo nyenzo zake za kutendea kazi nazo ni Malaika, hao ni viumbe aliowaumba ili awaamrishe kutenda kazi anayoitaka, hivyo pia ukikuta Mwenyezi mungu katumia neno "sisi" katika jambo Maana yake pia jambo hilo limetendwa na malaika kwa amri yake hivyo wingi sisi inakusanya na malaika katika utendaji.

Kumbe Mungu ana wasaidizi?
 
Kumbe Mungu ana wasaidizi?


Mungu anavyo vitendea kazi, malaika ndio vitendea kazi vyake, ni yeye ndiye aliyewaumba hao malaika ili awatumie/awape amri ili watende kazi anayoihitaji. Mungu ni Boss na Malaika ni vitendea kazi/watumishi wake.

Ni sawa wewe ununue Computer, unapoitumia Computer haiwezi kufanya chochote hadi uiamrishe ifanye unachotaka hapo unaona Computer ni kitendea kazi chako, huo ndio mfano wa Mungu na Malaika.
 
Okay 👍 Sawa mkuu...kama Ni Hizo basi kumbe unamaanisha matter/mass.

Sasa nimepata swali,Hivi kama matter yoyote haiwezi kusafiri kuzidi speed ya mwanga (E=mc2) inawezekanaje hizi 'heavens' zinazoexpand zinaexpand kwa speed kubwa kuliko mwanga kulingana na observation ya telescope?
Kipo kitu kinachozidi kasi ya mwanga.
 
Wakuu Tayari nimeona JAMES WEB tayari imetuma picha, mbona sioni mkileta update.
 
Back
Top Bottom