James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

Yah, quran ina kila kitu unachotaka iwe nacho.. Cha muhimu ujue tu kubadili maana za kiarabu ziedane na unachotaka wewe


Maana za kiarabu ziendane na anachotaka mtu??!!, hiyo sio kweli.
 
Maana za kiarabu ziendane na anachotaka mtu??!!, hiyo sio kweli.
Angalia hii clip mashehe wanabishana Allah yupo wapi,
keep in mind wote wanatumia quran ileile ila wanafikia conclusions tofauti,
neno moja hilo hilo la kiarabu ila kila shehe lina maana tofauti kwake
 
Angalia hii clip mashehe wanabishana Allah yupo wapi,
keep in mind wote wanatumia quran ileile ila wanafikia conclusions tofauti,
neno moja hilo hilo la kiarabu ila kila shehe lina maana tofauti kwake



Unachosema ni sahihi na ndio maana Allah akasema; Enyi wanadamu bila shaka watakufikieni mitume kutoka miongoni mwenu na watakuelezeni aya zangu ----, (Qur'an 7:36), hii maana yake ni kwamba jukumu la kueleza maana za ndani za aya za Qur'an ni la mitume watakaokuja baada ya mtume mtukufu Muhammad (saw) sio jukumu la masheikh ambao kila siku hupinzana wao kwa wao katika taawili za aya za Qur'an matokeo yake waumini wanaowafuata wasijue ukweli upo wapi na hivyo kubaki na imani zenye mashaka, hivyo aya za Qur'an huwezi kuzipeleka jinsi akili yako inavyotaka isipokuwa zinatakiwa zifuatwe jinsi Allah anavyotaka na ndio maana mtume lazima aje kueleza, kusoma na kufundisha Qur'an.
 
Unachosema ni sahihi na ndio maana Allah akasema; Enyi wanadamu bila shaka watakufikieni mitume kutoka miongoni mwenu na watakuelezeni aya zangu ----, (Qur'an 7:36), hii maana yake ni kwamba jukumu la kueleza maana za ndani za aya za Qur'an ni la mitume watakaokuja baada ya mtume mtukufu Muhammad (saw) sio jukumu la masheikh ambao kila siku hupinzana wao kwa wao katika taawili za aya za Qur'an matokeo yake waumini wanaowafuata wasijue ukweli upo wapi na hivyo kubaki na imani zenye mashaka, hivyo aya za Qur'an huwezi kuzipeleka jinsi akili yako inavyotaka isipokuwa zinatakiwa zifuatwe jinsi Allah anavyotaka na ndio maana mtume lazima aje kueleza, kusoma na kufundisha Qur'an.
M
 
Anyway naomba nimsaidie kujaribu kukujibu.
Black holes huwa hazipitishi mwanga wa aina yoyote isipokuwa zinaufyonza tu na ndiyo maana huwa zinaonekana kuwa ziko black. Infra red (IR) ni sehemu ya mwanga kwenye LIGHT SPECRTUM, na ultra violet (UV) nayo pia ni sehemu nyingine tena kwenye LIGHT SPECRTUM. Kwa hiyo UV na IR zote ni mojawapo ya sehemu nyingi zinazounda LIGHT SPECRTUM moja, na hivyo zinaunda mwanga kwa ujumla wake. Kwa hiyo haijalishi ni kwenye sehemu gani ya LIGHT SPECTRUM chombo cha kitaalamu kina-operate, hakuna namna ambayo chombo hicho kinaweza kupiga picha au kuona kikiwa ndani ya black hole
mike2k

Asante sana kaka Makanyaga umejibu vyema na katika lugha nyepesi kabisa ambayo mtu yoyote ni rahisi kwake kuelewa💜💕💕💕💕💕
 
Chombo anga kwa ajili ya kusaidia shughuli za kiuchunguzi katika anga la mbali James Web TELESCOPE [emoji437] kimeondoka rasmi duniani na kuelekea katika eneo lake la kiuchunguzi huko katika space mile 1500000 kutokea duniani.


James Web telescope ni mradi uliutumia zaidi ya trillion 22.3 na kuchukua zaidi ya miaka 10 kukamilika.

James Web Space telescope (JWST) inaenda kufanya nini?

Mission objectives
  1. JWST inaenda kuisaidia NASA kufanya uchunguzi wa chanzo cha ulimwengu huu.
  2. WST inaenda kusaidia astronomy na cosmology kuweza kuona galaxy za mwanzo baada ya tukio la bing bang theory.
  3. JWST inaenda kusaidia pia kuweza kujifunza namna sayari,galaxy na nyota za mbali zilivyo evolve overtime.
  4. JWST inaenda kutafuta uwepo wa viumbe vingine na uhai katika planets zilizoko katika nyota nyingine.
  5. JWST inaenda kuchungua eneo muhimu sana katika galaxy yetu linaitwa HABITABLE ZONE kuangalia uwepo wa sayari nyingine zinazo support uhai kama dunia yetu.
JWST bila ubishi ndo most advanced machine ever built by human being.
Hebu pia hizi fact hapa

1.JWST inaenda kusaidia wanasayansi kuangalia nyuma ya muda.
With the new telescope, astronomers are hoping to study the very first stars and galaxies in the universe to understand its secrets.
Jwst ni some kind of time machine.inaturudisha nyuma by vision.

2. A better understanding of our universe's history.

All images taken by Hubble reflect not only galactic systems but also a collection of the universe's history. With Hubble, scientists were able to peek into galaxies that formed 400 million years after the Big Bang.
James Webb Telescope may be able to bridge that gap and show images from 250 million years after the Big Bang, taking us closer to the starting point of our universe.

Besides just seeing galaxies, the new telescope will bring more detail to all images including spiral arms, more light, and better structure.

JWST itatupa picha ya galaxies zilizokuwa formed miaka 250 baada ya tukio la bingbang theory.


3. Infrared lighting
Hubble space telescope ilikuwa inachukua picha kupitia ultra violet (visible light)
lakini JWST iko advanced zaidi inatumia Infrared lighting. Hapa itapata picha na details za ziada zaidi katika picha husika mfano kama ita view exoplanet basi itatuletea details za ziada kama uwepo wa VIUMBE hai,maji,gravity etc.
With infrared imaging, astronomers may be able to peek into extremely old galaxies owing to a process called "redshifting" wherein light is stretched as it appears and disappears, leaving a red trail behind. With infrared, Webb will be able to capture extremely old galaxies that are currently being pushed farther away from Earth and becoming redder. That's how you look back in time!


References

Nitafurahi sana kama kuna mwenye swali atapost hapo chini nitamjibu kadiri ya taarifa nilizoko nazo.


Je? hivi vyombo vyakwenda anga za juu vinasafiri mamilioni ya maili engine zake uwa zinaendeshwa na nini na ambayo ahiishi safari yote,make sijawai sikia kwamba chombo kimekwama sababu ya nyenzo yakuendesha engine imeisha
 
Je? hivi vyombo vyakwenda anga za juu vinasafiri mamilioni ya maili engine zake uwa zinaendeshwa na nini na ambayo ahiishi safari yote,make sijawai sikia kwamba chombo kimekwama sababu ya nyenzo yakuendesha engine imeisha
Nuclear battery
 
Unachosema ni sahihi na ndio maana Allah akasema; Enyi wanadamu bila shaka watakufikieni mitume kutoka miongoni mwenu na watakuelezeni aya zangu ----, (Qur'an 7:36), hii maana yake ni kwamba jukumu la kueleza maana za ndani za aya za Qur'an ni la mitume watakaokuja baada ya mtume mtukufu Muhammad (saw) sio jukumu la masheikh ambao kila siku hupinzana wao kwa wao katika taawili za aya za Qur'an matokeo yake waumini wanaowafuata wasijue ukweli upo wapi na hivyo kubaki na imani zenye mashaka, hivyo aya za Qur'an huwezi kuzipeleka jinsi akili yako inavyotaka isipokuwa zinatakiwa zifuatwe jinsi Allah anavyotaka na ndio maana mtume lazima aje kueleza, kusoma na kufundisha Qur'an.
Mtume wa kutufundisha kwa sasa duniani ni nani?
 
Mtume wa kutufundisha kwa sasa duniani ni nani?


Ni Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) muanzilishi mtukufu wa jumuiya ya Waisilamu wa Ahmadiyya, yeye alizaliwa mwaka 1835 na kufariki mwaka 1908, alipofariki aliacha ukhalifa, hadi leo Jumuiyya ya Waisilamu wa Ahmadiyya inaongozwa na ukhalifa, khalifa aliyepo sasa ni Hadhrat Mirza Masroor Ahmad (atba) ni khalifa wa 5 kuongoza jumuiya ya Waahmadiyya, hawa makhalifa walichaguliwa na na waaminio wenyewe na wanafuata na kufundisha Mafundisho sahihi ya Uisilamu yalivyofundishwa na Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) ambaye naye alifundisha Uisilamu uleule alioufundisha Mtukufu kipenzi chetu mtume Muhamad (saw), kifupi ni kwamba katika jumuiya ya waisilammu wa Ahmadiyya ndimo Uisilamu wa kweli unafundishwa humo, uisilamu aliouacha mtukufu mtume wetu na kipenzi chetu Mtume Muhammad (saw).
 
Ni Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) muanzilishi mtukufu wa jumuiya ya Waisilamu wa Ahmadiyya, yeye alizaliwa mwaka 1835 na kufariki mwaka 1908, alipofariki aliacha ukhalifa, hadi leo Jumuiyya ya Waisilamu wa Ahmadiyya inaongozwa na ukhalifa, khalifa aliyepo sasa ni Hadhrat Mirza Masroor Ahmad (atba) ni khalifa wa 5 kuongoza jumuiya ya Waahmadiyya, hawa makhalifa walichaguliwa na na waaminio wenyewe na wanafuata na kufundisha Mafundisho sahihi ya Uisilamu yalivyofundishwa na Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) ambaye naye alifundisha Uisilamu uleule alioufundisha Mtukufu kipenzi chetu mtume Muhamad (saw), kifupi ni kwamba katika jumuiya ya waisilammu wa Ahmadiyya ndimo Uisilamu wa kweli unafundishwa humo, uisilamu aliouacha mtukufu mtume wetu na kipenzi chetu Mtume Muhammad (saw).
Umesema tusiwafuate mashehe wanapotosha tuwafuate mitume, nimekuuliza kwa sasa mtume gani tumfuate unaanza kumtambulisha marehemu mtume Ghulam ambae hawezi kutusaidia chochote kuhusu Quran maana ashaoza kaburini......Au Hao makalifa ni mitume?? wana tofauti gani na mashehe wa kisunni??
Mimi bado nipo nawewe mpaka umtaje mtume wa sasa kama uliposema hapa chini
hii maana yake ni kwamba jukumu la kueleza maana za ndani za aya za Qur'an ni la mitume watakaokuja baada ya mtume mtukufu Muhammad (saw) sio jukumu la masheikh ambao kila siku hupinzana wao kwa wao katika taawili za aya za Qur'an
 
Umesema tusiwafuate mashehe wanapotosha tuwafuate mitume, nimekuuliza kwa sasa mtume gani tumfuate unaanza kumtambulisha marehemu mtume Ghulam ambae hawezi kutusaidia chochote kuhusu Quran maana ashaoza kaburini......Au Hao makalifa ni mitume?? wana tofauti gani na mashehe wa kisunni??
Mimi bado nipo nawewe mpaka umtaje mtume wa sasa kama uliposema hapa chini


Kwani ni mimi ndiye niliyesema kwamba mitume watakuja kusoma/kutoa maelezo ya Qur'an ??!!,ni Allah mwenyewe ndiye aliyesema na Hadhrat Ahmad (as) katoa maelezo mengi kuhusu aya za Qur'an na Hadithi za mtume Muhammad (saw) ambapo ameandika vitabu zaidi ya 80 kuhusu masuala ya dini ya kiisilamu na Makhalifa wake wanafanya jambo hilo hilo na hiyo ndio maana ya aya (7:35), kwa maneno mengine, ili kupata taawili sahihi za masuala ya dini ya kiisilamu ni ndani ya jumuiya ya Waisilamu wa Ahmadiyya ndipo mtu atapata mafundisho sahihi ya Uisilamu nje ya hapo utakuta masheikh wakiradiana na kila mmoja akifutu vile akili yake inavyompeleka na ndio maana huishi kuona magomvi na misuguano miongoni mwa waisilamu ikimalizika ukichanganya na makundi ndani ya waisilamu hali ndio mbaya zaidi.
 
Kwani ni mimi ndiye niliyesema kwamba mitume watakuja kusoma/kutoa maelezo ya Qur'an ??!!,ni Allah mwenyewe ndiye aliyesema na Hadhrat Ahmad (as) katoa maelezo mengi kuhusu aya za Qur'an na Hadithi za mtume Muhammad (saw) ambapo ameandika vitabu zaidi ya 80 kuhusu masuala ya dini ya kiisilamu na Makhalifa wake wanafanya jambo hilo hilo na hiyo ndio maana ya aya (7:35), kwa maneno mengine, ili kupata taawili sahihi za masuala ya dini ya kiisilamu ni ndani ya jumuiya ya Waisilamu wa Ahmadiyya ndipo mtu atapata mafundisho sahihi ya Uisilamu nje ya hapo utakuta masheikh wakiradiana na kila mmoja akifutu vile akili yake inavyompeleka na ndio maana huishi kuona magomvi na misuguano miongoni mwa waisilamu ikimalizika ukichanganya na makundi ndani ya waisilamu hali ndio mbaya zaidi.
Hata Kama ni Allah ndiyo amesema ni mitume tu ndiyo watakaofundisha Quran....Je kwasasa ni mtume yupi aliyepo duniani wa kutufundisha Quran?
 
Hata Kama ni Allah ndiyo amesema ni mitume tu ndiyo watakaofundisha Quran....Je kwasasa ni mtume yupi aliyepo duniani wa kutufundisha Quran?


Kama Allah kasema, je Allah anaweza kusema uongo??,
(Allah apishe mbali) ---Allah hawezi kusema uongo kwamba Mitume watakuja kutusomea/kitufundisha Qur'an ukishatambua hilo sasa ni wajibu wako kumtafuta huyo mtume hivi sasa ambaye amejitangaza kwamba ni yeye katumwa na Allah ili kufundisha watu aya za Quran, na kamwe huwezi kumpata isipokuwa ni Hafhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) ndiye aliyetangaza kutumwa na Allah (sawt) na Allah akamuagiza aunde jumuiya ya kiisilamu ili watu wajiunge humo ili kujifunza uisilamu safi uisilamu aliouacha mtukufu mtume Muhammad (saw), hivyo ni ndani ya jumuiyya ya Waisilamu wa Ahmadiyya ndimo utakuta mafundisho sahihi ya dini ya kiisilamu na hiyo ndio maana ya yeye Hadhrat Ahmad (as) kufundisha Uisilamu vinginevyo hii leo hakuna mtume aliyekuwepo hai akifundisha Qur'an jinsi wewe unavyotaka ama kama Allah akipenda anaweza kuleta mtume wakati wowote anapoona inafaa lakini itoshe kusema kwamba ni Hadhrat Ahmad (as) ndiye mtume aliyeanzisha jumuiya hii ili kufundisha uisilamu safi.
 
Back
Top Bottom