Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Ben sadece Türkiye hayranıyım, başka bir şey değil.Türk gibi konuşuyorsun, değil mi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben sadece Türkiye hayranıyım, başka bir şey değil.Türk gibi konuşuyorsun, değil mi?
Tamam, çok güzel.Güzel insanlar ve iyi çevre
Sana sahip olduğuma sevindim.Ben sadece Türkiye hayranıyım, başka bir şey değil.
Shukran mkuu kwa kunikumbuka kwenye ufalme wako
Yes, MirzskaHii mada inanipa option nyingi sana za kutembelea maeneo mbalimbali ndani ya Turkey
Baada ya safari yangu ya Jordan iliyokuwa ifanyike May this year kukwama sababu ya COVID-19 nategemea kuelekea Turkey soon for holiday. Hii mada ni muongozo tosha mkuu
HakikaUturuki isipoangaliwa na Waarabu itakuja kuwasumbua sana. Kihistoria imesumbuana na Wairan wakatoka suluhu na baadae Warusi ila ikashindwa.
Kwa sasa kila nchi ya Kiislamu yenye vurugu utakutana na Mturuki.
Kwa sababu ya ushawishi au nguvu iliyokuwa nayo?Uturuki ni kati ya kibeberu kinacho chipukia kwa kasi mno.
Thanks bro.Yes, Mirzska
Hii ni honor kwako, hapa ni kujianda mapema na kuweka mkakati kwamba nitafika sehemu fulani na nitafanya kitu fulani.
SureThanks bro.
So you have come up with this just to honor me???
dah! Nimemkumbuka huyu goal keeper Mkuu kikosi kilikuwa moto ukimjumuisha naHasan SasNa plasta Yake chini ya jicho.
Kile kilikuwa Ni kikosi Cha kihistoria
Namaanisha Uturuki sasa hivi imekuwa na tabia ambazo tume zoea kuziona kwa mataifa ya kibeberu.Kwa sababu ya ushawishi au nguvu iliyokuwa nayo?
Tamaduni ipi ya kisasa ifuatwe kuweza kuvutia?Nchi hii hata haivutii, ina utamaduni wa kizamani sana.
Uturuki ya kombe la dunia 2002dah! Nimemkumbuka huyu goal keeper Mkuu kikosi kilikuwa moto ukimjumuisha naHasan Sas
Uturuki anafanya haya kulinda haki ya mipaka yake, hasa ardhi, ajira, usalama na fursa kwa kuhitaji kudhibiti wakimbizi toka Syria, Iraq na Libya. Uturuki ndio taifa pekee duniani lenye idadi kubwa ya wakimbizi, wakimbizi wanaoruhusiwa kuishi na jamii na sio katika kambi, wakimbizi wanaopatiwa fursa za ajira, afya na elimu sawa na raia.Namaanisha Uturuki sasa hivi imekuwa na tabia ambazo tume zoea kuziona kwa mataifa ya kibeberu.
Uturuki ukiiangalia kwa juujuu utaliona ni taifa la kawaida,lakini ukijaribu kuichimba kwa undani ni tofauti kabisa.
Uturuki siku hizi imekuwa mjunjaji mzuri wa sheria za kimataifa na mbabe kupita kiasi lakini hakuna anaye chukua hatua dhidi yake.
Uturuki inayakalia kwa nguvu maeneo ya Syria na Iraq lakini hakuna anaye thubutu kumchulia hatua.
Anaikalia kwa nguvu ardhi ya sypulas kusini na hakuna anaye dhubutu kumgusa.
Juzi juzi kaenda bahari ya Mediterranean kwenye maji yanayo milikiwa na Ugiriki kaanza kuchimba mafuta kibabe na wakati ni mwanachama mwenzake wa NATO.
Umoja wa mataifa umeweka vikwazo vya kuingiza silaa nchini Libya ,lakini uturuki kila kukicha meli za uturuki zina pereka silaha nchini Libya na hakuna anaye thubutu kuzigusa.
Hii kwakweli imekuwa ikinifikilisha sana.